Vipi updates za Bodi ya Mikopo (HESLB) kuhusu Value Retention Fee (VRF)?

Vipi updates za Bodi ya Mikopo (HESLB) kuhusu Value Retention Fee (VRF)?

Wamesema july 27 kila kitu kitakuwa clear!

Nan ametoa tamko hilo?wambie wafute VRF pamoja na penalty ,wambie Mungu anawaona sisi ni watanzania wenzao wasituumize,watekeleze agizo la Mh Raisi na Waziri wa Elimu waache kuwa na mioyo migumu kama farao
 
Nan ametoa tamko hilo?wambie wafute VRF pamoja na penalty ,wambie Mungu anawaona sisi ni watanzania wenzao wasituumize,watekeleze agizo la Mh Raisi na Waziri wa Elimu waache kuwa na mioyo migumu kama farao
Heslb wenyewe. Juzi niliingia website yao kuperuzi juu ya hilo nikapata hizo data pia waathirika wengi wahilo wanauliza sana juu yahilo majibu yao kwasasa nikwamba wapo kwenye maboresho ila 27 july everything will be clear juu ya hio VRF na kutolewa kwa penalty.
 
Wajinga sana, wanajifanya ile riba umeshailipa kabla 1st May. Hii inapelekea deni kuongezeka

Ile riba ya value retention fee haijalipwa kabisa,hilo deni wanalo wao kwenye data base yao walikuwa wanasubir den la kwenye salary slip liishe ili waanze kuwakata tena wanufaika,na nan mwenye nguvu kati ya bod na Waziri wa Elimu?maana nilimsikia Wazir wa Elimu akizungumza tarehe 2/7/2021 siku ya ijumaa saa tatu usiku wakati akizungumzia siku 100 za Mh Raisi Samia kwamba wanufaika walipe pesa waliyokopeshwa yaan disbursed amount sasa nyie watu wa bod mnashindwa nini kutekeleza hilo agizo?
 
Ile riba ya value retention fee haijalipwa kabisa,hilo deni wanalo wao kwenye data base yao walikuwa wanasubir den la kwenye salary slip liishe ili waanze kuwakata tena wanufaika,na nan mwenye nguvu kati ya bod na Waziri wa Elimu?maana nilimsikia Wazir wa Elimu akizungumza tarehe 2/7/2021 siku ya ijumaa saa tatu usiku wakati akizungumzia siku 100 za Mh Raisi Samia kwamba wanufaika walipe pesa waliyokopeshwa yaan disbursed amount sasa nyie watu wa bod mnashindwa nini kutekeleza hilo agizo?
Wakiondoa VRF yote wanaogopa madeni kurudisha hela za watu waliomaliza deni+VRF.
 
Wale waliomaliza maden hawakuwekewa value retention fee Pia aliyemalza yeye hana shida ya kurejeshewa maana tayar amelipa den lake

Sisi tunachokipigania waondoe value retention fee pamoja na penalty ili mtu alipe pesa aliyokopeshwa kalibia asilimia 95 ya wanufaika maden yao bado ni makubwa sana
 
Heslb wenyewe. Juzi niliingia website yao kuperuzi juu ya hilo nikapata hizo data pia waathirika wengi wahilo wanauliza sana juu yahilo majibu yao kwasasa nikwamba wapo kwenye maboresho ila 27 july everything will be clear juu ya hio VRF na kutolewa kwa penalty.

Ngoja tusubiri tuone,hilo tangazo la kufikia tarehe 27 kuwa wamefanya maboresho hilo tangazo lipo kwenye tovuti yao?
 
Sisi tunachokipigania waondoe value retention fee pamoja na penalty ili mtu alipe pesa aliyokopeshwa kalibia asilimia 95 ya wanufaika maden yao bado ni makubwa sana
Sana mm nilikopa 7m ila deni linasoma 13+m sasa si wizi huu
 
Sasa hyo tarehe 27 wengine tuendelee kukatwa tu kwenye mishahara yetu wakat wakiondoa retention fee tunakuwa tushamaliza deni na kudai tunadai
 
Ngoja tusubiri tuone,hilo tangazo la kufikia tarehe 27 kuwa wamefanya maboresho hilo tangazo lipo kwenye tovuti yao?
Hakuna tangazo kama hilo.
Mimi statement nimechukulia ofisini kwao Tazara juzi tu na deni limeongezeka.
Ingekuwa kuna maboresho tarehe 27 wangeniambia ila hawajasema chochote.
 
Hakuna tangazo kama hilo.
Mimi statement nimechukulia ofisini kwao Tazara juzi tu na deni limeongezeka.
Ingekuwa kuna maboresho tarehe 27 wangeniambia ila hawajasema chochote.

Sasa ulipokuta den limeongezeka walikupa ufafanuzi wa kina
 
Back
Top Bottom