mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,707
Mashabiki wa Yanga ni vema mkawaambia Watanzania ukweli juu ya Marefa na TFF kuibeba Lipuli ktk mchezo wa leo huko Iringa.Maana klabu yoyote ikishinda utawasikia Yanga wakisema Imebeba je Marefa na Tff wameibeba Lipuli mpaka mkabamizwa 2-0?