Vipimo vya awali vya Mheshimiwa Rais Samia Suluhu!

Rahisi sana kusema ila ngumu sana kutekeleza hayo mambo ni pesa ndefuuu sanaaa.

Au wewe ni wale ambao wanamwachia mke elfu mbili halafu unasema, " nikute umepika wali nyama " !?
 
Rahisi sana kusema ila ngumu sana kutekeleza hayo mambo ni pesa ndefuuu sanaaa.

Au wewe ni wale ambao wanamwachia mke elfu mbili halafu unasema, " nikute umepika wali nyama " !?
mimi ndio hao mkuu na maisha yanaenda
 
Hongera mhe Rais kwa hatua ya kwanza muhimu ya uendelezaji wa mradi wa EACOP
 
Kilichokamilika ni daraja la Tanzanite ambalo halipo kwenye orodha yako ndugu mleta mada.
 
Sio lazima afanye hayo anaweza anza na bandari ya Bagamoyo...na yeye hapangiwi na ukimshauri ndio utaharibu kabisa.

Mama mpendwa nenda vile utakavyo na sio kwa matakwa ya hawa watu wasikupangie.
Bandari ya Bagamoyo nashauri isijengwe kwenye awamu hii la sivyo itakuwa ni fimbo ya wapinzani ndani ya chama chao na wapinzani wa nje watabeba Bango na kuzunguka nalo Tanzania mzima,,, akumbuke kuwa issue yao ya Bagamoyo JPM alilaani sana na watu wake wamo kwenye chama
 
Hatimaye Ikulu imehamia Dodoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…