Vipimo vya DNA vipatikane Kirahisi, hii itasaidia Kuleta Nidhamu Katika Ndoa

Vipimo vya DNA vipatikane Kirahisi, hii itasaidia Kuleta Nidhamu Katika Ndoa

Etugrul Bey

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2020
Posts
6,514
Reaction score
15,247
Vipimo hivi vimekuwa ghari Sana na hata kupatikana kwake kuna mlolongo mrefu Kwa mujibu wa taarifa ambazo tunazisikia,na inasemwa kuwa mara nyingi wahusika wanalofanya hilo zoezi mara nyingi hawatoi majibu halisi Kwa kuhofia ndoa kuvunjika.

Kama kweli tunataka jamii ambayo itawajibika Kwa matendo yake basi kipimo hiki ni muhimu Sana katika jamii ili haki za wanandoa wenye mashaka juu ya kizazi Chao itafutiwe ufumbuzi.

Ni kweli kabisa kipimo hiki kikipatikana Kwa gharama rahisi na watu wakapewa majibu halisi hapa mwanzoni kutakuwa na sintofahamu nyingi na migogoro mingi itatokea hususani katika ndoa ambazo kuna kubambikiana watoto ambao sio WA mume husika.

Lakini lengo ni kujenga jamii ambayo huko mbele ya safari iepukane kabisa na hizi Tabia za kubambikiana watoto kiholela holela, kwasababu wanawake katika ndoa watajua sasa mume anao uwezo wa kupata kipimo hiko na kujua uhalisia WA mtoto kama ni wake au laa.

Huu utaratibu utasaidia Sana kuepushwa hizi dhuluma ambazo wanaume hukutana nazo katika Maisha ya kila siku katika ndoa zao,unalea mtoto Kwa mapenzi yote lakini mwisho wa siku na baadae Sana huko unakuja kugundua kwamba mtoto fulani si WA kwako.

Kwanza dhuluma ni Kwa Baba ambaye amebambikiwa mtoto ambaye si wake lakini pili ni Kwa mtoto kwakukosa kumjua Baba yake halisi. Kwahiyo Kwa kipimo hiki kupatikana Kwa bei nafuu na Kwa urahisi kitapunguza Sana hizi Tabia za kuleteana watoto ambao sio WA kwetu na kufanya jamii kuepukana na Tabia ambazo zinazidi kushamiri kila kukicha.

Hakika wakina mama Wana Siri nyingi Sana wamezibeba vifuani mwao,na ndio maana wahenga walisema " asili ya mtoto aijuaye ni mama". Sasa pamoja na kipaji Kikubwa walicho nacho cha kutunza hizo Siri basi ifikie kipindi tuwaambie hapana mama zetu na dada zetu mmeshatuumiza vya kutosha,na sasa kilichobaki ni mwendo WA vipimo Kwa kwenda mbele Kwa wale ambao Wana mashaka na kizazi Chao.

Hii imenikumbusha story moja ya kweli ilitokea huko Mombasa,Baba alienda Uingereza kutafuta Maisha na kuacha familia yake nyumbani,baada ya Miaka mitatu akaja rasmi kuwachukua wakaishi wote ughaibuni,lakini akataka kujua uhalali WA watoto wake,katika vipimo ikajulikana kwamba mtoto mmoja Kati ya wale watatu sio wake,Ila sikujua je alienda nao wote huko ughaibuni au laa coz sikutaka kujua.

Haya ndio mambo ambayo hutokea kila siku katika Maisha yetu,lakini hii haituhusu Sisi ambao Mungu katujalia ukipata mtoto inatoka chata ambayo Katu haina mashaka ndani yake, ishu inakuja pale ambapo chata ya mtoto haisomeki kabisa hapo ndio penye shida na kuleta wasiwasi na hapo ndio mwanzo WA kipimo kuhusika.

Lakini Kwa upande wa Dini mwenye shamba ndio mwenye mtoto, Yani hata akitokea mtu kaja kulima kwenye shamba langu basi Yale mazao ni yangu mimi, Kwa maana wewe ukipita na mke wangu huyo mtoto sio wako ni WA kwangu kwasababu Mimi ndio mwenye mke,ni Sawa na wewe ukipita na mke WA mtu huyo mtoto sio wako.

Nahitisha Kwa kusema kwamba Kwa maoni yangu binafsi naona kuna haja kubwa Sana ya kipimo hiki kisionekani kuwa Ni cha watu wenye uwezo Tu au watu WA kundi fulani bali kiwe Kwa ajili ya watu wote ili hatimaye tukomesha kabisa hii tabia ambayo imezidi kujenga mizizi katika jamii yetu kwasasa.

Ni hayo Tu!
 
Vipimo vikirahisishwa ndoa nyingi zitavunjika, unapima kwako ni negstive ukipima kwa house boy ni positive

halafu hapo bado kuna stress za kugawana mali

yakheee!!
Chief

Ndio maana nikasema hapa mwanzoni lazima kuna watu wajitoe muhanga Kwa kupitia kipindi kigumu Sana ili hapo baadae kizazi chetu kije kuwa salama.

Kwa kila mafanikio lazima kuna baadhi ya watu walipe gharama
 
KATAA USHOGA NI LAANA.

USHOGA NI LAANA ITAYOAMBATANA NA KIZAZI CHAKO CHA TATU HADI CHA NNE.

FAMILIA NZIMA ZITANUKA KINYESI TUPU BADALA YA KUNUKIA BARAKA NA AMANI ZA UCHAJI MUNGU.
Mimi naishi katika falsafa za uchaMungu tangu Mdogo that way sihitaji dhambi za Uzinzi
 
Mm napenda watoto warithi ubini kwa kina mama maana kinababa wengi wanajivunia watoto wasio wao

#kataa#ndoa ni utumwa
##ndoa ni haramu
 
Vipimo hivi vimekuwa ghari Sana na hata kupatikana kwake kuna mlolongo mrefu Kwa mujibu wa taarifa ambazo tunazisikia,na inasemwa kuwa mara nyingi wahusika wanalofanya hilo zoezi mara nyingi hawatoi majibu halisi Kwa kuhofia ndoa kuvunjika.

Kama kweli tunataka jamii ambayo itawajibika Kwa matendo yake basi kipimo hiki ni muhimu Sana katika jamii ili haki za wanandoa wenye mashaka juu ya kizazi Chao itafutiwe ufumbuzi.

Ni kweli kabisa kipimo hiki kikipatikana Kwa gharama rahisi na watu wakapewa majibu halisi hapa mwanzoni kutakuwa na sintofahamu nyingi na migogoro mingi itatokea hususani katika ndoa ambazo kuna kubambikiana watoto ambao sio WA mume husika.

Lakini lengo ni kujenga jamii ambayo huko mbele ya safari iepukane kabisa na hizi Tabia za kubambikiana watoto kiholela holela, kwasababu wanawake katika ndoa watajua sasa mume anao uwezo wa kupata kipimo hiko na kujua uhalisia WA mtoto kama ni wake au laa.

Huu utaratibu utasaidia Sana kuepushwa hizi dhuluma ambazo wanaume hukutana nazo katika Maisha ya kila siku katika ndoa zao,unalea mtoto Kwa mapenzi yote lakini mwisho wa siku na baadae Sana huko unakuja kugundua kwamba mtoto fulani si WA kwako.

Kwanza dhuluma ni Kwa Baba ambaye amebambikiwa mtoto ambaye si wake lakini pili ni Kwa mtoto kwakukosa kumjua Baba yake halisi. Kwahiyo Kwa kipimo hiki kupatikana Kwa bei nafuu na Kwa urahisi kitapunguza Sana hizi Tabia za kuleteana watoto ambao sio WA kwetu na kufanya jamii kuepukana na Tabia ambazo zinazidi kushamiri kila kukicha.

Hakika wakina mama Wana Siri nyingi Sana wamezibeba vifuani mwao,na ndio maana wahenga walisema " asili ya mtoto aijuaye ni mama". Sasa pamoja na kipaji Kikubwa walicho nacho cha kutunza hizo Siri basi ifikie kipindi tuwaambie hapana mama zetu na dada zetu mmeshatuumiza vya kutosha,na sasa kilichobaki ni mwendo WA vipimo Kwa kwenda mbele Kwa wale ambao Wana mashaka na kizazi Chao.

Hii imenikumbusha story moja ya kweli ilitokea huko Mombasa,Baba alienda Uingereza kutafuta Maisha na kuacha familia yake nyumbani,baada ya Miaka mitatu akaja rasmi kuwachukua wakaishi wote ughaibuni,lakini akataka kujua uhalali WA watoto wake,katika vipimo ikajulikana kwamba mtoto mmoja Kati ya wale watatu sio wake,Ila sikujua je alienda nao wote huko ughaibuni au laa coz sikutaka kujua.

Haya ndio mambo ambayo hutokea kila siku katika Maisha yetu,lakini hii haituhusu Sisi ambao Mungu katujalia ukipata mtoto inatoka chata ambayo Katu haina mashaka ndani yake, ishu inakuja pale ambapo chata ya mtoto haisomeki kabisa hapo ndio penye shida na kuleta wasiwasi na hapo ndio mwanzo WA kipimo kuhusika.

Lakini Kwa upande wa Dini mwenye shamba ndio mwenye mtoto, Yani hata akitokea mtu kaja kulima kwenye shamba langu basi Yale mazao ni yangu mimi, Kwa maana wewe ukipita na mke wangu huyo mtoto sio wako ni WA kwangu kwasababu Mimi ndio mwenye mke,ni Sawa na wewe ukipita na mke WA mtu huyo mtoto sio wako.

Nahitisha Kwa kusema kwamba Kwa maoni yangu binafsi naona kuna haja kubwa Sana ya kipimo hiki kisionekani kuwa Ni cha watu wenye uwezo Tu au watu WA kundi fulani bali kiwe Kwa ajili ya watu wote ili hatimaye tukomesha kabisa hii tabia ambayo imezidi kujenga mizizi katika jamii yetu kwasasa.

Ni hayo Tu!
Njia rahisi hapa ni kuwekwa sheria tu,kuwa pale tu mtoto anapozaliwa afanyiwe kipimo hicho na baba yake hapo!!ila baba naye atakuwa na wajibu ,endapo utamtelekeza mtoto huyo wakati ni wako,kifungo kisichopungua miaka 10 jela ,tena zinakuwa ni kama zile mahakama za city,kesi ni hapo hapo na hukumu ni muda huo huo.Kwani wanawake nao kumbambikia watu watoto itakuwq imekwisha.Serikali hajiaamua tu kuwa serious ni jambo hili,Yaani mtu kutunza mtoto wake inakuwa kama hisani tu!
 
Mbona lipo wazi hilo kataa Ndoa maana wake za watu wanachakatwa Hadi huruma
Unaweza ukawa na watoto bila ndoa acha uzwazwa na tutolee stress zako za kupigwa vibuti, nani aliyekuambia kila mwenye watoto ana ndoa

Huyo mwanamke aliyekupiga kibuti alihakikisha na ubongo wote aliutawanyisha
 
Vikipatikana hivyo vipimo kirahisi sio ndoa tu zitavunjika bali 'maboss lady' wengi wataumbuka na kufilisika.

Kuna watu wanamiliki ma boutique kwa kupitia mtoto mmoja ambae kapewa kwa mababa hata 3.
 
Unaweza ukawa na watoto bila ndoa acha uzwazwa na tutolee stress zako za kupigwa vibuti, nani aliyekuambia kila mwenye watoto ana ndoa

Huyo mwanamke aliyekupiga kibuti alihakikisha na ubongo wote aliutawanyisha
Wewe endelea kutulelea watoto wetu
 
Njia rahisi hapa ni kuwekwa sheria tu,kuwa pale tu mtoto anapozaliwa afanyiwe kipimo hicho na baba yake hapo!!ila baba naye atakuwa na wajibu ,endapo utamtelekeza mtoto huyo wakati ni wako,kifungo kisichopungua miaka 10 jela ,tena zinakuwa ni kama zile mahakama za city,kesi ni hapo hapo na hukumu ni muda huo huo.Kwani wanawake nao kumbambikia watu watoto itakuwq imekwisha.Serikali hajiaamua tu kuwa serious ni jambo hili,Yaani mtu kutunza mtoto wake inakuwa kama hisani tu!
Chief

Umeongea Jambo la mbolea Sana,hakika Jambo Hilo lingefanyika ndio ungekuwa mwarobaini WA hili tatizo.

Kwanza Baba angewajibika kulea mtoto na wakati huo huo mama nae angeumbuka na kumtafuta Baba halisi WA mtoto husika,na huu upuuzi ungeisha kabisa.

Hawa mama na dada zetu ujue sometime wanaamua kumzalia mtu kama kuonyesha shukrani labda Kwa kupewa hela mara Kwa mara au Kwa kujaaliwa vizur na huyo Mchepuko wake pasina kuwaza Athari ambazo zinaweza tokea katika ndoa yake.

Uishi maisha marefu chief nimependa wazo lako Sana 💪💪
 
Wenye hii kampeni wengi wao wana stress ndo maana wanashindwa kuelewa unaweza ukawa na watoto bila hata kuwa na ndoa

Chief

Nakubaliana na wewe kabisa,hakika ni dhahir wanatafunwa Sana stress
 
Vikipatikana hivyo vipimo kirahisi sio ndoa tu zitavunjika bali 'maboss lady' wengi wataumbuka na kufilisika.

Kuna watu wanamiliki ma boutique kwa kupitia mtoto mmoja ambae kapewa kwa mababa hata 3.
Chief

Usemayo ni kweli kabisa lakini ni Bora waumbuke sasa na baadhi ya ndoa kupata misukosuko Ili huko mbele ya safari tuwe jamii yenye kujali utu na hisia za watu
 
Back
Top Bottom