Vipimo vya HIV vinanichanganya

Vipimo vya HIV vinanichanganya

Kwa nini unakuwa rude hivyo kwa mwenzako? Hujafa hujaumbika. Labda uwe huna mahusiano yoyote diniani sexually. Pia hujui ndugu na wanao watakuwa na maisha gani. Ngoja yakufike au yaifike familia yako. HIV is nothing duniani. Mimi ninaogopa cancer tu. With HIV unadunda miaka ukiikubali hali. Tell me about cancer!!!???

Tatizo la Tanzania Wakweli au Wawazi hatupendwi halafu na Jamii yetu kubwa nayo imeshaambukizwa kuuchukia Ukweli hivyo sikushangai Wewe kupovuka huku. Kwani una uhakika gani labda kuwa Mimi ni HIV- Mkuu? Yawezekana nikawa ni Muathirika hivyo kupitia uzoefu wangu nimeamua tu kumpa huyo Mtu msaada ambao labda alikuwa haujui ili aweze kujiandaa kuliko kutegemea kusikia tu pole zenu ambazo nyingi zinaweza kuwa ni za Kinafiki tu. Najiona nimekuwa Shujaa kwa kunyoosha maelezo na kumwambia ukweli huyo Mleta uzi na natumai amenielewa pia.
 
Tatizo la Tanzania Wakweli au Wawazi hatupendwi halafu na Jamii yetu kubwa nayo imeshaambukizwa kuuchukia Ukweli hivyo sikushangai Wewe kupovuka huku. Kwani una uhakika gani labda kuwa Mimi ni HIV- Mkuu? Yawezekana nikawa ni Muathirika hivyo kupitia uzoefu wangu nimeamua tu kumpa huyo Mtu msaada ambao labda alikuwa haujui ili aweze kujiandaa kuliko kutegemea kusikia tu pole zenu ambazo nyingi zinaweza kuwa ni za Kinafiki tu. Najiona nimekuwa Shujaa kwa kunyoosha maelezo na kumwambia ukweli huyo Mleta uzi na natumai amenielewa pia.
Mhhhhhhh hata ndugu. Kila la heri.
 
Sd bioline( kipimo cha kwanza) kiko sensitive sana hata kwa other infection kama syphillis,tb nk,,ningeshauri afanye kipimo cha VDRL kwanza
 
Sd bioline( kipimo cha kwanza) kiko sensitive sana hata kwa other infection kama syphillis,tb nk,,ningeshauri afanye kipimo cha VDRL kwanza
Vdrl nikipimo chann mkuuu sorry?
 
Salaaam sanaa wana JF awaliyayote napenda kumshukuru mungu kwa kutujalia afya na uzima

Niliwahi kuleta mada ya mtu wangu wakaribu aliwahi kwenda Hospital kupima hiv kipimo cha kwanza hambacho ndio mara nyingi huanziwa kupima HIV kilisoma mistari miwili lakini cha pili ambacho wanaita cha kuthibitisha kilisoma mstari mmoja tu hivyo

Nikaleta uzi kwa ajili yaushauri wengi wakasema akae kwa mda apime tenaa sasa imepita miezi 3

Leo kaenda kupima tena kipimo cha kwanza kimesoma mistari miwili na chapili chakuthibitisha kimesoma mstari mmoja

Tafadhali wataalamu naombeni mumsaidie je atakuwa na HIV au atakuwa na efecktion zingine ??

Kwani anaishi kwa mashaka sanaa nahajui awe kundi la positive or negative

Naombeni ushauri wenu wataalamu



Ahsnteni
Ana dalilo gani maana ni bora kama anawasiwasi ajiweke upande wa postive maana ili isiwe suplaizi maana....
 
kama amebadili center na majibu ya mwanzo ni hayo hayo huyu ana ukimwi wanasita kumpa majibu sahihi kwa sababu inaonesha amepanic..
hebu mpeleke center nyingine kafanye kipimo cha kuhakiki tu
 
raha ya ukimwi uupende utaishi kwa raha zako ukiuchukia na wenyewe unakuchukia
 
Salaaam sanaa wana JF awaliyayote napenda kumshukuru mungu kwa kutujalia afya na uzima

Niliwahi kuleta mada ya mtu wangu wakaribu aliwahi kwenda Hospital kupima hiv kipimo cha kwanza hambacho ndio mara nyingi huanziwa kupima HIV kilisoma mistari miwili lakini cha pili ambacho wanaita cha kuthibitisha kilisoma mstari mmoja tu hivyo

Nikaleta uzi kwa ajili yaushauri wengi wakasema akae kwa mda apime tenaa sasa imepita miezi 3

Leo kaenda kupima tena kipimo cha kwanza kimesoma mistari miwili na chapili chakuthibitisha kimesoma mstari mmoja

Tafadhali wataalamu naombeni mumsaidie je atakuwa na HIV au atakuwa na efecktion zingine ??

Kwani anaishi kwa mashaka sanaa nahajui awe kundi la positive or negative

Naombeni ushauri wenu wataalamu



Ahsnteni
Aanze kujiandaa kisaikolojia tu!! Ukweli ni kwamba anao!!!
 
Dah..huu ugonjwa ni amsha popo....usikie kwa mwingine tu...ila usikufume...Mungu ni mwema wakati wote
 
Kwani ni lazima apimie hapo hapo, si aende na kituo kingine apime aone majibu yanakuwaje?
 
Back
Top Bottom