Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Satan agents kumbe mpo jf?
Mungu kwanza mengine baadae, hayo maarifa yanatoka kwa Mungu, sheria zote zimetoka kwenye Biblia tukaziboresha, mtito akikulia dini hawoi mwovu, acha upuuzi wako wa kumdharau Mungu wa Israel.
Ni Kiranga aliyechangamka na ulozi huyo.Wewe ni mpagani bila shaka.
Wale waliofanikiwa kupata elimu ya darasani angalau ya darasa la saba na kuendelea watakumbuka vipindi vya dini ambavyo vilitengwa rasmi kulingana na madhehebu mbalimbali na wanafunzi wote ni lazima kuhudhuria katika vipindi hivyo.
Mara nyingi vipindi hivi huwa Ijumaa kuanzia muda wa saa nne ili kuwapa fursa waislamu kwenda msikitini kwa sababu mara nyingi wao huwa hawatumii madarasa kuswali katika vipindi vya dini kama wenzao Wakristo.
Wakati mjadala wa tija elimu yetu ukiwa mkali bungeni na mtaani ipo haja ya kuliangazia pia jambo hili na kuona kama kuna tija yeyote kuwa na hivi vipindi.
Ukiangalia kwa makini utagundua vipindi hivi vya dini havina tija yoyote kwa wanafunzi zaidi ya kuwachukulia muda wao ambao ungweza kutumika katika mambo mengine muhimu kama sanaa za uchoraji, uchongaji, kuimba, kuogelea, ushonaji n.k
Ni wakati sasa mamlaka zinazohusika na elimu zitoe muongozo wa vipindi hivi kufutwa na kuongeza mambo mengine secular au kupunguza muda wa wanafunzi kukaa darasani.
Mimi vipindi vya dini vilinisaidia sana kuwa mwanafunzi mwenye tabia nzuri. Nilikuwa mkorofi shuleni, lakini Neno la Mungu (kupitia kwa walimu wa dini waliokuwa wanakuja kufundisha) lilinisaidia kubadilika na kuwa mwanafunzi mtulivu. Kizazi cha sasa ni cha dotcom. Usipowafundisha wanafunzi mambo ya dini watafundishwa na ulimwengu; wataokota mambo machafu kutoka kwenye mitandao then tutaendelea kulia lia kwamba siku hizi kuna mmomonyoko wa maadili.Wale waliofanikiwa kupata elimu ya darasani angalau ya darasa la saba na kuendelea watakumbuka vipindi vya dini ambavyo vilitengwa rasmi kulingana na madhehebu mbalimbali na wanafunzi wote ni lazima kuhudhuria katika vipindi hivyo.
Mara nyingi vipindi hivi huwa Ijumaa kuanzia muda wa saa nne ili kuwapa fursa waislamu kwenda msikitini kwa sababu mara nyingi wao huwa hawatumii madarasa kuswali katika vipindi vya dini kama wenzao Wakristo.
Wakati mjadala wa tija elimu yetu ukiwa mkali bungeni na mtaani ipo haja ya kuliangazia pia jambo hili na kuona kama kuna tija yeyote kuwa na hivi vipindi.
Ukiangalia kwa makini utagundua vipindi hivi vya dini havina tija yoyote kwa wanafunzi zaidi ya kuwachukulia muda wao ambao ungweza kutumika katika mambo mengine muhimu kama sanaa za uchoraji, uchongaji, kuimba, kuogelea, ushonaji n.k
Ni wakati sasa mamlaka zinazohusika na elimu zitoe muongozo wa vipindi hivi kufutwa na kuongeza mambo mengine secular au kupunguza muda wa wanafunzi kukaa darasani.
Umenena,iliyo kweli tupu.Taifa au familia yoyote bila misingi ya dini (haijalishi Ni dini ipi)
Iyo familia itageuka familia ya hovyo Sana.
- Kuua
-kubaka
-wizi
-Chuki
-unafiki
-mapenz na Ndugu
-mapenz ya jinsia moja
-mapenz kinyume na maumbile
-mapenz na wanyama
-ukatili
- ulevi na madawA
-ushirikina
-umalaya na ukahaba
-Nidhamu mbovu
-uzalendo sifuri
-utii hamna
Ndo maana serikali
imeruhusu na inazilea taasisi za kidini (hazilipi Kodi) ili kuisaidia serkali kujenga mshikamano, Aman, utulivu na kutunza ustaarabu wa wananchi wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kuwa na vipindi vya dini ya kiislam au kikristo ndiyo hofu ya Mungu?Baada ya kusoma huu Uzi,
Kuna Mambo kadhaa nimegundua kwa mtoa mada
1. Ana umri mdogo bila Shaka
(huenda Ni mwanafunzi bado)
2. Hana familia
(Hata Kama anayo Basi inalelewa na Ndugu,wakwe au wazazi wake)
3. Ana upeo mdogo Sana wa kufikiri.
(Haiwazii kabisa athari ya Jambo kabla ajalitekeleza, Anaendeshwa na mihemko)
4. Hana hofu ya Mungu kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli,hakuna mwanafunzi anayelazimishwa kwenda kwenye vipindi vya dini.Hata wapagani ni raia kamili na wana haki zote katika hii nchi. Kuna shule zinalazimisha kwa viboko wanafunzi wote waende kwenye vipindi vya dini. Hii sio sahihi.
Aliyekudanganya,kakudanganya sana,hizo nchi,zina watu wengi wanaomini uwepo wa Mungu,kuliko nchi zote duniani.China, Japan, Korea, Vietnam, Sri Lanka, Thailand na nchi nyingi za Asia hazijawahi kuwa na habari na kitu kinaitwa Biblia au Quran ila zina sheria na wanaishi kama binadamu waliostaarabika kwa kiwango cha juu sana.
Umesema kweli tupu.Mimi vipindi vya dini vilinisaidia sana kuwa mwanafunzi mwenye tabia nzuri. Nilikuwa mkorofi shuleni, lakini Neno la Mungu (kupitia kwa walimu wa dini waliokuwa wanakuja kufundisha) lilinisaidia kubadilika na kuwa mwanafunzi mtulivu. Kizazi cha sasa ni cha dotcom. Usipowafundisha wanafunzi mambo ya dini watafundishwa na ulimwengu; wataokota mambo machafu kutoka kwenye mitandao then tutaendelea kulia lia kwamba siku hizi kuna mmomonyoko wa maadili.
Acha mzahaWale waliofanikiwa kupata elimu ya darasani angalau ya darasa la saba na kuendelea watakumbuka vipindi vya dini ambavyo vilitengwa rasmi kulingana na madhehebu mbalimbali na wanafunzi wote ni lazima kuhudhuria katika vipindi hivyo.
Mara nyingi vipindi hivi huwa Ijumaa kuanzia muda wa saa nne ili kuwapa fursa waislamu kwenda msikitini kwa sababu mara nyingi wao huwa hawatumii madarasa kuswali katika vipindi vya dini kama wenzao Wakristo.
Wakati mjadala wa tija elimu yetu ukiwa mkali bungeni na mtaani ipo haja ya kuliangazia pia jambo hili na kuona kama kuna tija yeyote kuwa na hivi vipindi.
Ukiangalia kwa makini utagundua vipindi hivi vya dini havina tija yoyote kwa wanafunzi zaidi ya kuwachukulia muda wao ambao ungweza kutumika katika mambo mengine muhimu kama sanaa za uchoraji, uchongaji, kuimba, kuogelea, ushonaji n.k
Ni wakati sasa mamlaka zinazohusika na elimu zitoe muongozo wa vipindi hivi kufutwa na kuongeza mambo mengine secular au kupunguza muda wa wanafunzi kukaa darasani.
Mimi nafikiri uende shule za watoto wako ukawaambie walimu kuwa wanangu ni wapagani kwahiyo msiwalazimishe kuingia vipindi vya dini kwasababu wewe baba yao huamini katika Mungu..na sio kutaka vijana/watoto wetu wapotee kwa kukosa misingi mema ya imani/dini..
Kwani wewe unaumia wapi mkuu,.??naona jambo hili linataka likutoe machozi ya uchungu,..Misingi ya imani/dini wajengee nyumbani kwako, kanisani, msikitini au kwa waganga wa kienyeji. Hiyo haipaswi kuwa kazi ya serikali. Zaidi sana kuna shule za seminary na za mashirika ya dini, wafanye hiyo kazi.
Mimi vipindi vya dini vilinisaidia sana kuwa mwanafunzi mwenye tabia nzuri. Nilikuwa mkorofi shuleni, lakini Neno la Mungu (kupitia kwa walimu wa dini waliokuwa wanakuja kufundisha) lilinisaidia kubadilika na kuwa mwanafunzi mtulivu. Kizazi cha sasa ni cha dotcom. Usipowafundisha wanafunzi mambo ya dini watafundishwa na ulimwengu; wataokota mambo machafu kutoka kwenye mitandao then tutaendelea kulia lia kwamba siku hizi kuna mmomonyoko wa maadili.