Vipipi kifua, Colgate na Asali mpaka sasa ndio viungo vya ukweli kwa shoo za kibabe zinazoacha legacy kwenye mapenzi

Vipipi kifua, Colgate na Asali mpaka sasa ndio viungo vya ukweli kwa shoo za kibabe zinazoacha legacy kwenye mapenzi

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Shalom,

Ninawajibu wa kuwapa taarifa, kuwasanua, na kuwakumbusha kuhusu umuhimu wa kuyaenzi mapenzi katika namna yenye ubora, tija, yenye kuacha Alama ama Legacy katika mapenzi.

Unapoingia kwenye mapenzi hakikisha unafahamu nyenzo muhimu zenye kuacha Alama ama Legacy kwenye Mapenzi.

Unapoishi maisha basi huna budi kuwa ni mtu mwenye kusimuliwa kwa Hadithi nzuri kuhusu tija na ubara na umaridadi unaocha kumbukumbu za shoo kali na tamu kwenye vichwa vya Maex na etc.

USHUHUDA: kiasi wa matokeo chanya na legacy yangu kwa madamu zangu wa zamani wanapikuwa na waume zao au wapenzi wapya wakinikuta popote nasalimiwa mara nne hapo hapo Wadiz Wadiz Wadiz Wadiz, wee Shaz x4 husikii ?

Ni hayo tu ikawe alhamisi njema na yenye kuleta pesa na mahaba kwetu sote.

Good day

Wadiz
 
Shalom,

Ninawajibu wa kuwapa taarifa, kuwasanua, na kuwakumbusha kuhusu umuhimu wa kuyaenzi mapenzi katika namna yenye ubora, tija, yenye kuacha Alama ama Legacy katika mapenzi.

Unapoingia kwenye mapenzi hakikisha unafahamu nyenzo muhimu zenye kuacha Alama ama Legacy kwenye Mapenzi.

Unapoishi maisha basi huna budi kuwa ni mtu mwenye kusimuliwa kwa Hadithi nzuri kuhusu tija na ubara na umaridadi unaocha kumbukumbu za shoo kali na tamu kwenye vichwa vya Maex na etc.

USHUHUDA: kiasi wa matokeo chanya na legacy yangu kwa madamu zangu wa zamani wanapikuwa na waume zao au wapenzi wapya wakinikuta popote nasalimiwa mara nne hapo hapo Wadiz Wadiz Wadiz Wadiz, wee Shaz x4 husikii ?

Ni hayo tu ikawe alhamisi njema na yenye kuleta pesa na mahaba kwetu sote.

Good day

Wadiz
Kudaadadeeki!Hadi kuzagamuana kuna legacy?😂😂😂😂😂
 
Shalom,

Ninawajibu wa kuwapa taarifa, kuwasanua, na kuwakumbusha kuhusu umuhimu wa kuyaenzi mapenzi katika namna yenye ubora, tija, yenye kuacha Alama ama Legacy katika mapenzi.

Unapoingia kwenye mapenzi hakikisha unafahamu nyenzo muhimu zenye kuacha Alama ama Legacy kwenye Mapenzi.

Unapoishi maisha basi huna budi kuwa ni mtu mwenye kusimuliwa kwa Hadithi nzuri kuhusu tija na ubara na umaridadi unaocha kumbukumbu za shoo kali na tamu kwenye vichwa vya Maex na etc.

USHUHUDA: kiasi wa matokeo chanya na legacy yangu kwa madamu zangu wa zamani wanapikuwa na waume zao au wapenzi wapya wakinikuta popote nasalimiwa mara nne hapo hapo Wadiz Wadiz Wadiz Wadiz, wee Shaz x4 husikii ?

Ni hayo tu ikawe alhamisi njema na yenye kuleta pesa na mahaba kwetu sote.

Good day

Wadiz
Yaani uwe huna hela halafu ule pipi kifua hujala au umekula ugali furu kisha uwe na shoo za kibabe? Ah wapi!
 
Kuna siku moja nipo zangu Korogwe kumpa hai Mjomba! Mida ya usiku nikakutana na mzee mmoja! Alinitengenezea cocktail ya kibabe sana! Tikiti maji, tende, hiriki kisha kaweka na tangawizi pamoja na ndizi mbivu na maganda yake! ila kabla hajanipa aliniuliza kama nimeoa au ni bachelor! Nikacheka na kumwmabia bado! Mzee wa watu alidai kuwa ameshanitengenza niwe malaya mbeleni!
 
Back
Top Bottom