Vipipi kifua, Colgate na Asali mpaka sasa ndio viungo vya ukweli kwa shoo za kibabe zinazoacha legacy kwenye mapenzi

Vipipi kifua, Colgate na Asali mpaka sasa ndio viungo vya ukweli kwa shoo za kibabe zinazoacha legacy kwenye mapenzi

Katika vitu nilivyojifunza, ukiona mtu anajisifu kwenye ngono au anaenda extra mile ili aheshimike kwenye ngono. Huwa kuna tatizo kubwa sana ndani yake haswa kwenye self esteem lakini pia kukosekana kwa potential au mafanikio kwenye sehemu zingine za maisha yake,

Hivyo, ili kupata ile hali ya kuonekana ni muhim inabidi ajiboost kupitia ngono maana watz haswa wa hali zetu. Tunaitukuza kwa kukosa vyanzo vingine vya starehe
 
Katika vitu nilivyojifunza, ukiona mtu anajisifu kwenye ngono au anaenda extra mile ili aheshimike kwenye ngono. Huwa kuna tatizo kubwa sana ndani yake haswa kwenye self esteem lakini pia kukosekana kwa potential au mafanikio kwenye sehemu zingine za maisha yake,

Hivyo, ili kupata ile hali ya kuonekana ni muhim inabidi ajiboost kupitia ngono maana watz haswa wa hali zetu. Tunaitukuza kwa kukosa vyanzo vingine vya starehe
Upo sawa. Kuna jamaa ana mke na mkewe alitaka kumuua akamwagia tindikali sehemu za siri jamaa aliugua miezi kama sita hajaingia job maana ilikuwa almanusura apoteze mjamaa wake.

Sasa siku hizi karudi job na story zake ni kuwa amekula manzi fulani na fulani na hata job yupo karibu zaidi na wanawake ndio company yake na anajisifia wote kapita nao.

Wenye akili tunajua tu kinachomtesa ni kuwa hana uwezo huo anaojigamba nao. Very low self esteem, inferiority complex and some kinf of personality disorder ndio changamoto.

Cc: Maghayo mkaldayo we ni umbwaa
 
Upo sawa. Kuna jamaa ana mke na mkewe alitaka kumuua akamwagia tindikali sehemu za siri jamaa aliugua miezi kama sita hajaingia job maana ilikuwa almanusura apoteze mjamaa wake.

Sasa siku hizi karudi job na story zake ni kuwa amekula manzi fulani na fulani na hata job yupo karibu zaidi na wanawake ndio company yake na anajisifia wote kapita nao.

Wenye akili tunajua tu kinachomtesa ni kuwa hana uwezo huo anaojigamba nao. Very low self esteem, inferiority complex and some kinf of personality disorder ndio changamoto.

Cc: Maghayo mkaldayo we ni umbwaa
Huyo jamaa anapitia mazito ila ndio hivyo self esteem ni tatizo kubwa. Na wengi ndio wanaiita mental health issue
 
Upo sawa. Kuna jamaa ana mke na mkewe alitaka kumuua akamwagia tindikali sehemu za siri jamaa aliugua miezi kama sita hajaingia job maana ilikuwa almanusura apoteze mjamaa wake.

Sasa siku hizi karudi job na story zake ni kuwa amekula manzi fulani na fulani na hata job yupo karibu zaidi na wanawake ndio company yake na anajisifia wote kapita nao.

Wenye akili tunajua tu kinachomtesa ni kuwa hana uwezo huo anaojigamba nao. Very low self esteem, inferiority complex and some kinf of personality disorder ndio changamoto.

Cc: Maghayo mkaldayo we ni umbwaa
Damn... alifanya kosa gani mpaka mke akamwagia hiyo tindikali?
 
Yaani mwanamke nimlipe, bado tu nihangaike kumridhisha.. haiwezekani, najiridhisha mimi akitaka na yeye anilipe nimpe sho sho(show show) mpaka aridhike. 😂🤣🤣

Tusitesane nalipa hela ili mimi niburudike. 🤣😂😂
😂😂😂😂 Wakupe na risiti sasa sheikh wangu
 
😂😂😂 basi wakutolee na VAT uendelee kuenjoy huduma.!
Wacha niendelee kulipa VAT kuchangia pato la serikali, ili viongozi wanunue mavieite, kisha wapate nyingine za kuhonga, halafu mdada apate kujishebedua na kigari chake cha kuhongwa, kumbe kahongwa mchango wangu kwa taifa.
🤣😂
 
Wacha niendelee kulipa VAT kuchangia pato la serikali, ili viongozi wanunue mavieite, kisha wapate nyingine za kuhonga, halafu mdada apate kujishebedua na kigari chake cha kuhongwa, kumbe kahongwa mchango wangu kwa taifa.
🤣😂
🤣🤣🤣🤣 Kiongozi wa backbenchers kwenye ubora wako
 
Back
Top Bottom