Viroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)

Viroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)

Baada ya graduu yangu chuo.Tukarudi mkoa na maza. Fastjet ndo imeanza, mara yetu ya kwanza wote.
1. Mama anataka kukaa akakuta juu ya siti sehemu ya mizigo kuna mtu kashaweka wake. Akatia,"wee kondaa,we kondaa wéeh, hebu njoo kwanza"

2. Nikajaribu kwenda choóni japo sijabanwa alimradi tu nione pakoje

3 .Facebook page yangu iliomba poo. Mara checkin in at JKİ Airport. Mara nitupie picha alimradi kila mtu ajue.

4. Tulivyofika madreva tax wakaanza kututukana eti "hamna lolote nyie mtakuwa fastjet tu" hapo kisa ni baada ya wao wanatugombania sie hatuna time tunaenda kwenye daladala.

5. Jioni napokea simu toka kwa mjomba: "ah mjomba nimeamini ushamba mzigo wa mwiba".Nkamuuliza kwanini? Akasema,"leo sina raha. mama yako kutwa nzima anantambia kwenye simu kisa kapanda ndege"
 
baada ya gradu yangu chuo.Tukarudi mkoa na maza. Fastjet ndo imeanza.Nı mara yetu ya kwanza wote.
1. Mama anataka kukaa akakuta juu ya siti sehemu ya mizgo kuna mtu kashaweka wake.Akatia,"wee kondaa,we kondaa wéeh,hebu njoo kwanza"

2. Nikajaribu kwenda choóni japo sijabanwa alimradi tu nione pakoje

3.Facebuk page yangu iliomba poo. Mara checkin in at JKİ Airport. Mara nitupie picha alimradi kila mtu ajue.

4. Tulivofika madreva tax wakaanza kututukana eti "hamna lolote nyie mtakuwa fastjet tu" hapo kisa ni baada ya wao wanatugombania sie hatuna time tunaenda kwny daladala.

5. Jioni napokea simu toka kwa mjomba: "ah mjomba nimeamini ushamba mzigo wa mwiba".Nkamuuliza kwanini? Akasema,"leo sina raha. mama yako kutwa nzima anantambia kwny simu kisa kapanda ndege"

Mkuu nimecheka sana ..dah
 
baada ya gradu yangu chuo.Tukarudi mkoa na maza. Fastjet ndo imeanza.Nı mara yetu ya kwanza wote.
1. Mama anataka kukaa akakuta juu ya siti sehemu ya mizgo kuna mtu kashaweka wake.Akatia,"wee kondaa,we kondaa wéeh,hebu njoo kwanza"

2. Nikajaribu kwenda choóni japo sijabanwa alimradi tu nione pakoje

3.Facebuk page yangu iliomba poo. Mara checkin in at JKİ Airport. Mara nitupie picha alimradi kila mtu ajue.

4. Tulivofika madreva tax wakaanza kututukana eti "hamna lolote nyie mtakuwa fastjet tu" hapo kisa ni baada ya wao wanatugombania sie hatuna time tunaenda kwny daladala.

5. Jioni napokea simu toka kwa mjomba: "ah mjomba nimeamini ushamba mzigo wa mwiba".Nkamuuliza kwanini? Akasema,"leo sina raha. mama yako kutwa nzima anantambia kwny simu kisa kapanda ndege"



Hii kiboko, dah!
 
Day 1 nili enjoy sanaaaa yani sanaaaa

Baada ya hapo safari zilizofata ni hofu tupu as.. sipendi wakati inapoanza kuruka na wakati wa kutua. Pia hali ya hewa ikiwa mbaya safari inakuwa hovyo.

Kioja changu kilikuwa kwenye passport jamani.. nilipata ile ya muda as ilikuwa ya karatasi huyo mbio stationary kuifanyia lamination eti isiharibike. Walahi kama sio yule binti wa stationery sijui huko airport ingekuwaje ..looo!
 
Nakumbuka mara yangu ya kwanza ni mwaka 1992 pale KIA kwenda Mwanza.

Nilipanda nikiwa abiria wa mwisho kabisa nilipokaribia mlango nikaingiwa uoga hadi nikataka kurudi nilikotoka mpaka mdada mhudumu aliponishangaa na kunisihi niingie ndani.

Huko ndani sasa acha kabisa nilikuwa naona kama mwisho umefika! Huwa nikikumbuka nacheka mwenyewe maana nilihaha kweli!!
 
baada ya gradu yangu chuo.Tukarudi mkoa na maza. Fastjet ndo imeanza.Nı mara yetu ya kwanza wote.
1. Mama anataka kukaa akakuta juu ya siti sehemu ya mizgo kuna mtu kashaweka wake.Akatia,"wee kondaa,we kondaa wéeh,hebu njoo kwanza"

2. Nikajaribu kwenda choóni japo sijabanwa alimradi tu nione pakoje

3.Facebuk page yangu iliomba poo. Mara checkin in at JKİ Airport. Mara nitupie picha alimradi kila mtu ajue.

4. Tulivofika madreva tax wakaanza kututukana eti "hamna lolote nyie mtakuwa fastjet tu" hapo kisa ni baada ya wao wanatugombania sie hatuna time tunaenda kwny daladala.

5. Jioni napokea simu toka kwa mjomba: "ah mjomba nimeamini ushamba mzigo wa mwiba".Nkamuuliza kwanini? Akasema,"leo sina raha. mama yako kutwa nzima anantambia kwny simu kisa kapanda ndege"
Hahahahaah!! Hii ni kali kuliko.
 
Mama yangu alikuwa hajawahi panda ndege hata mara moja so akapanga mi na mwanangu(akiwa na miezi 6)tumsindikize Nairobi asafishe macho.

Eeh bwana eeh ndege ilikuwa ya saa nne asubuhi lakini alinichukua kwangu saa kumi na moja asubuhi.. huko njiani sasa kuelekea airport ni shida..eti tutachelewa ndege bureee

Ile tumepanda ndege tu, mwanangu akalala fofofo halafu tukatangaziwa kwamba kuna mvua huko tuendako so hali ya hewa si nzuri..sasa vile ndege inavyokuwa kama inapita kwenye makorongo, nilitamani nihame seat. Mama alisali sala zote anazozijua mpaka toba eti tunakufa.

Halafu mdogo wangu anasomea hayo mambo ya aviation, mama akasema kama mambo yenyewe ndo haya nampiga marufuku dogo kuendelea na hiyo kozi "..eeh yesu eeh tusife leo baba ila sipandi ndege tenaa...".sahv kashasahau anataka safari ya mbali zaidi nimemwambia atafute escort mwingine mi siendi nae
 
Mama yangu alikuwa hajawahi panda ndege hata mara moja so akapanga mi na mwanangu(akiwa na miezi 6)tumsindikize nairobi asafishe macho

Eeh bwana eeh ndege ilikuwa ya saa nne asubuhi lakini alinichukua kwangu saa kumi na moja asubuhi..huko njiani sasa kuelekea airport ni shida..eti tutachelewa ndege bureee

Ile tumepanda ndege tu,mwanangu akalala fofofo halafu tukatangaziwa kwamba kuna mvua huko tuendako so hali ya hewa si nzuri..sasa vile ndege inavyokuwa kama inapita kwenye makorongo,nilitamani nihame seat.mama alisali sala zote anazozijua mpaka toba eti tunakufa

Halafu mdogo wangu anasomea hayo mambo ya aviation,mama akasema kama mambo yenyewe ndo haya nampiga marufuku dogo kuendelea na hyo kozi "..eeh yesu eeh tusife leo baba ila sipandi ndege tenaa...".sahv kashasahau anataka safari ya mbali zaidi nimemwambia atafute escort mwingine mi siendi nae

Hahaha
 
Back
Top Bottom