Siku ya kwanza kupanda ndege ilikuwa 2011, niliwahi kufika Airport nikielekea SA na Baadae Germany, Ushamba kitu kibaya sana niliachwa na ndege OR Tambo kwa kutokufuata maelekezo ya boarding gate, huwezi amini nililala Airport for one day before connecting to Frankfult
+Ni kazi especially siku ya kwanza. Aidha wakati mwingine zinachanganya hata kwa mzoefu! Ndio maana kasema kishajifunza!Ulikuwa mzembe wa kusoma hukuiona reporting time.
Jamani so nice safi sana watu wa Mbeya tena ina mandhari mazuri saaana. Nakumbuka tulivyokuwa wadogo tulikuwa tunaupara na kwenda stesheni, Dodoma.Ukitaka kujua ushamba wa wanyakyusa tembelea Songwe international airport mbeya, yaani watu wanatembea yapata 10kms kuja kushangaa fastjet
Mimi sikumbuki vizuri,ila nina zaidi ya masaa laki moja hewani
Ukitaka kujua ushamba wa wanyakyusa tembelea Songwe international airport mbeya, yaani watu wanatembea yapata 10kms kuja kushangaa fastjet
Niko Primary dadangu akapata safari ya uingereza.(Kipindi hicho tunasema ulaya v haijalishi hata kama umeenda Marekani). Hakuna yeyote alowah kusafir na ndege kwetu mpk muda huo achilia mbali kwenda nje ya nchi tu. Bana weh,
1.Alishonesha suti kwa fundi kama ya sarafina pale wakati movie inaisha.
2. Tulikodi tax tatu kumsindkiza airport.
3. Mzee alituma nauli kwa shangazi na bibi wiki moja kabla ili watoke Mbeya kuja kumsindikiza dada airport.
4. Pale airport tukajipanga warefu nyuma, wafupi wachuchumae, tukapga picha. Ni moja kati ya picha dada hazipendi sana leo akikumbuka tulivokuwa washamba.
Mimi ilikuwa 2007 nilipata ride ya kwenda serengeti, nikapiga suti na scaf; kuingia kwenye ndege (hizi ndogo za watu 12) nakuta watu wamevaa simple sana kwa kuwa wanaenda bush; nilijisikia vibaya sana...
Siku ya kwanza mimi kupanda ndege sikubabaishwa na mikanda,TV etc ila wakati ndege inapaa ilivyokuwa inatumia nguvu,inaunguruma halafu naona kama haipai in a struggle niliogopa sana! Lakini nikiwatazama abiria wengine wanaendelea na stories Kama kawaida hapo ndio roho kidogo ikatulia! Ila hadi kesho sijawahi kuipenda safari ya ndege if possible natumia usafiri mwingine!
Mimi ilikuwa 1999,uelekeo nairobi, mke wangu akaniambia kwa uzoefu aliohadithiwa na babaake huko hewani mtu lazima usikie njaa sana,akaniandalia hotpot la makande, nasikitika sana maana lilibakia airport,kipindi hicho hakuna vifaa vizuri vya ku-detect madawa,kwa hiyo wakayafananisha na madawa!!! Ushamba gunia la misumari, unarekebisha mmoja, tisa inakuchoma!!!
Niko Primary dadangu akapata safari ya uingereza.(Kipindi hicho tunasema ulaya v haijalishi hata kama umeenda Marekani). Hakuna yeyote alowah kusafir na ndege kwetu mpk muda huo achilia mbali kwenda nje ya nchi tu. Bana weh,
1.Alishonesha suti kwa fundi kama ya sarafina pale wakati movie inaisha.
2. Tulikodi tax tatu kumsindkiza airport.
3. Mzee alituma nauli kwa shangazi na bibi wiki moja kabla ili watoke Mbeya kuja kumsindikiza dada airport.
4. Pale airport tukajipanga warefu nyuma, wafupi wachuchumae, tukapga picha. Ni moja kati ya picha dada hazipendi sana leo akikumbuka tulivokuwa washamba.
mwaka 1999..haaikuwa mara yangu ya kwanza infact, nilienda kuiwakilisha Tanzania kwenye Bunge la watoto(The World Parliament of Children-Paris), sasa ile program ilinifanya nichoke sana manake sikuwa na muda mzuri wa kupumzika mara zote tulikuwa tupo busy sana!! Sasa siku ya kurudi tumepanda Swiss Air mpaka Zurich- wakati tunasubiri connection aisee nilipiga usiingizi wa kufa mtu pale,hadi muda wa ndege umefika mi nimelala tu..wale wenzangu (wawili)wakawa wameshapanda ndege mi nakoroma pale kwenye kochi...sielewi ilikuwaje manake ndege yote bado mm tu kupanda na air hostess wameshaambiwa kwamba kuna mtu mmoja amemiss
Ikabidi ndege isiondoke wakatumwa askari wa airport kunitafuta mule ndani...nikaja kuamshwa nio na lepe la usingizi wakaniambia ndege inakusubiria...wakanipeleka hadi boarding ile naingia tu mlango ukafungwa na kila mdada ananishangaa ulikuwa wapi...!!
Kikubwa mpaka leo sijajua ile ndege kweli ikinisubiri mimi au muda wake wa kuruka ulikuwa bado haujafika.
nilifika kitu cha kwanza kutafuta ilikuwa ni PARACHUTE cha kushangaza naonyeshwa maboya ya kuogelea.
Du nikachoka
haha yego mseza mkulu magambo ki?
Niko Primary dadangu akapata safari ya uingereza.(Kipindi hicho tunasema ulaya v haijalishi hata kama umeenda Marekani). Hakuna yeyote alowah kusafir na ndege kwetu mpk muda huo achilia mbali kwenda nje ya nchi tu. Bana weh,
1.Alishonesha suti kwa fundi kama ya sarafina pale wakati movie inaisha.
2. Tulikodi tax tatu kumsindkiza airport.
3. Mzee alituma nauli kwa shangazi na bibi wiki moja kabla ili watoke Mbeya kuja kumsindikiza dada airport.
4. Pale airport tukajipanga warefu nyuma, wafupi wachuchumae, tukapga picha. Ni moja kati ya picha dada hazipendi sana leo akikumbuka tulivokuwa washamba.
Kikwete amefikishaHata kama utakuwa rubani huwezi kufikisha masaa laki moja