Viroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)

Wadau wiki ijayo nakwea tena pipa naelekea LOS ANGELES kwa KLM (kupitia AMSTERDAM) but this time around nishazoea msihofu wadau nitawawakilisha vema.
Wadau wiki ijayo nakwea tena pipa naelekea LOS ANGELES kwa KLM (kupitia AMSTERDAM) but this time around nishazoea msihofu wadau nitawawakilisha vema.
nikusindikize mkuu? mimi sijawahi af umri unaenda
 
Haka kauzi niliwahi kukapitia mwaka jana nikiwa hata sijui ndege nitapanda lini?

Kalinisaidia kujifunza baadhi ya vitu ambavyo ningekutana navyo. BTW March 2015 nikakwea pipa for the first time in my history, ka fastjet pyaa Dar-Mwanza. Mwezi July ikawa tena from Mza to Dar and back to Mwanza

Hope this April, nitakwea tena kuja huko Dar na kurudi na nitatoka nje ya nchi kabla mwaka haujaisha.

Nilichojifunza, kwenye plane hamna jipya kwa sisi watoto wa mjini au ukiwa mjanja mjanja hutaaibika.

Asante my employer, my company kwa kunitua ushamba. Viva my Company.
 

Wow! I wish na mimi nipande kwa mara ya kwanza mwaka ujao wa fedha! Make kwa sasa hata nauli ya fast jet sina
 
Mara ya kwanza kuoanda ndege nilikuwa nakwenda Uingereza. Niliogopa kula kwenye ndege. Nilipofika Amsterdam nilipotea njia ikabidi nitafutwe kwa kuitwa jina kwenye loud speaker kabla ya kupatikana na kukimbizwa kwenye ndege.

Nilipokuwa ninakwenda chuoni nilianguka kwenye escalator kwani ilikuwa mara ya kwanza kuziona. Acha tu. Nilichubuka miguu nikashindwa kutembea kwa takriban wiki moja. Ushamba kazi aisee.
 
Hahahaha pole sana mkuu
 
Mwezi Januari nilienda NEW DELHI duuh pale airport hakuna sijui kutangaza wala nini ni KIMYA KIMYA tu ukisubiri matanagazo utastukia ndege ishakuacha.
 
Delhi ule uwanja bomba kupitiliza, pengine kushinda hata Dubai pale hakuna kelele/matangazo ni ww kuangalia screen tu.
 
Ha ha ha till Rolling On The Floor Laughing.
 
Hii nzuri! Inafunzo zuri sana, thanks for sharing!
 
Uliamisha mzigo nn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…