Viroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)

Mkuu mito sijui kama ulipata bahati ya kuupitia huu uzi, nao unachekesha sana.
 
Mkuu mito sijui kama ulipata bahati ya kuupitia huu uzi, nao unachekesha sana.
Hahaaaaa huu sasa ndo nilichekaga hatari, ila sikumbuki kama niliandikaga kitu, unachekesha mbaya!! ngoja nicheki tena kama kuna updates mkuu
 
Reactions: BAK
Sasa blessings si ungeenda kukata gogo vyoo vya kwenye ndege ama ulizidiwa?
 
Chekazogo ya 5000 hiyo.
 
Mimi mara ya kwanza kukwea 1989 dege la jeshi kutoka musoma nilikuwa bado mdogo nilipoambiwa tumefika tushuke nikashangaa, nilijua ndege bado ipo palepale sasa iweje tushuke!!!, kutahamaki tushafika Dar.
 
Wee utamu wa mfereji maringo huwez kufananisha na kukwea pipa kwa masaa Machache
 
kuna mtu alipiga magoti Amsterdam wakati wanaunga ndege waende switz. Haya ni maneno waliokuwa karibu walimsikia akisema.
"eh baba! ushukuriwe kwa kunifikisha huku juu mbinguni baba! duniani dhiki na shida nyng baba! Mweh ndaga mwalafyale mweh"
JAMANI JAMANI NIMECHEKA MPAKA NIMEPALIWA
 
watanzania tofauti na Wa-Naija ama Wa-Kenya tumelala sana, waoga kujaribu opportunities za nje (kufundisha kiswahili, Mpira/Football/Basketball, filamu) so hata hizo ndege kuzipanda ni nadra sana. Nadhani ubovu wa kutojua lugha za "KIMATAIFA" unazidi kututia unyonge zaidi. Lakini kwa sasa si hoja mbona Wachina/Wacongo hawajui kiingereza wanaruka nje ya nchi zao? wamejaa hapa nchini utadhani kwao. TUAMKE.
 
Mimi ilikuwa 2009 pale JNIA naelekea Ethiopia wakati niko kwenye escaletor ile nafika juu nikawa nimetulia tu kama gogo ilibakia almanusura nidondoke sikujua kuwa pale mwishoni una step ili kuiacha,anyway it was a lesson.
 
ahahahahaha
 
Hapa tunajitetea sana,kutokujua kwetu lugha (ENGLISH) kwa watanzania inatuondolea confidence sana,tuanajifanya kujitutumua tu lakini huo ndio ukweli,angalia watanzania wenzetu ambao wako vizuri kwenye kimombo jinsi wanavojiamini hawana tofauti na wale wengine wa nchi zinazotumia kiengeraza kama lugha ya mawasiliano,take it or leave it huo ndio ukweli.
 
ki ukwel ndenge ni syllabus nyingine kabisa, ukitaka kujuabkuwa inashida, siku rubani atangaze kuwa ndege imeshindwa kutoa matail, na hvyo anaishisha hvyo hvyo weeeee, watu huwa wanasema makosa yote walio wahi kuyatoa,

tusimuliane tu kama hadithi il huo usafiri hauzoeleki kabisa, hata walio uzoea wanajua risk yake, na ukiona kuwa unauzoea huo usafiri ujue na kufa kunakarbia[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
sasa leo nasikia tena eti mafuta ya ndege sijui yamechakachuliwa daah mbona wanazidi kutupa hofu wasafiriii wa angani jamanii!
 
Fastjet kujeni na vindege vidogo hata sisi wa Iringa na Tanga tunahitaji hii huduma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…