Viroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)

Hivi kwa pale Mwanza plan B yake kwa ndege kubwa ni wapi? Poleni sana. Mi naomba Mungu lisinitokee hilo
Plan B kwa ndege ndogo ni RUBONDO Airstrip (kisiwani), kwa ndege kubwa labda KIA ama Nairobi . Inshallah tuombe dua (CHATTLE INT'L AIRPORT iishe tutakimbilia huko.

**Halafu kukitokea hivyo marubani wa Fastjet (wengi Wageni/Wazungu si wazoefu) huvizia PW atue kwanza yeye ndo afuatie.
 
Nilipata tabu sana OR Tambo airport kwa kutojua sehemu nitakayokuta mzigo wangu! Hakika ushamba ni mzigo jamani! Nilidhani mzigo unachukua kama vile unavoshuka kwenye basi
 
Nilipata tabu sana OR Tambo airport kwa kutojua sehemu nitakayokuta mzigo wangu! Hakika ushamba ni mzigo jamani! Nilidhani mzigo unachukua kama vile unavoshuka kwenye basi
Nani alikuelekeza sasa ndugu? maana sipati picha umepanda zako Fastjet (Bei ya Promosheni) unafika South (OR Tambo) Macho yanavyokutoka ukisubiri mzigo wako
 
Huo ni udhaifu mkubwa sana kwa hao marubani. Vipi kama Siku hiyo wakiwa wenyewe. Si yatakuwa majanga
 
Nani alikuelekeza sasa ndugu? maana sipati picha umepanda zako Fastjet (Bei ya Promosheni) unafika South (OR Tambo) Macho yanavyokutoka ukisubiri mzigo wako
Acha tu ndugu yangu, niliona kila abiria yupo busy na mishe zake, hakuna hata wa kumuuliza, Ilibidi niende kwenye madirisha ya ku check in kuuliza mzigo wangu nitaupata wapi. Niliuliza kwa kiingereza cha Kiswanglish mkuu si unajua tena.
 
Uko sahihi! namiss sana kisiwa kile!
 
Huo ni udhaifu mkubwa sana kwa hao marubani. Vipi kama Siku hiyo wakiwa wenyewe. Si yatakuwa majanga
Siku kama hawajatangulizana na PW na yakitokea hayo naona kama na wese nalo limeisha (maana nasikia hao marubani wa ki-south) hawajazi mafuta nje ya dar, kwa Tanzania. naona watalingurumisha kwa mzee wetu pale mitaa ya kati (Jina kapuni).
 
Acha tu ndugu yangu, niliona kila abiria yupo busy na mishe zake, hakuna hata wa kumuuliza, Ilibidi niende kwenye madirisha ya ku check in kuuliza mzigo wangu nitaupata wapi. Niliuliza kwa kiingereza cha Kiswanglish mkuu si unajua tena.
Ila pamoja na kwamba ulitumia kiingereza chenye asili ya kemia si ulieleweka? Pole ndugu, mimi hapo OR Tambo nusura niibue (Taxi dreva) ziggo lina wezere la maana anadai ananijua sijui nimetokea zimbabwe. Nikamuona huyu mwizi, aliponimaliza alikuwa anataka 300 USD/night. ila so far, South ni pazuri kuzidi hata Dubai kwa shopping zetu wa kuunga unga na hoteli pia+VISA FREE.
 
Reactions: SDG
U made my day,..namna vile ulikuwa unakula.....vingine ni viambata ila ukala kivyakevyake utimize lengo...nimecheka sana
 
PRECISION AIR ilitetereka tukitua mwanza kwa ajili ya mvua ilikuwa inanyesha nikamkumbuka mwanangu wa miaka 2 atakavyoishi bila baba (Yatima), Aisee, ndege tuzione angani tu.
 
Nisaidie hii Process hatua moja Hadi nyingine jmatatu ndo naenda kuanza
 
Ndege za Middle East ndo zenye starehe Zaidi safarini. Hususani ETIHAD
 
Reactions: SDG
[emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…