Viroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)


Mkuu barafu najaribu kuunganisha hii post na ule uzi wako wa Wabeshi, kati ya hii au ile kuna moja siyo sahihi ingawa ni mazingira sawa.
 
Mkuu barafu najaribu kuunganisha hii post na ule uzi wako wa Wabeshi, kati ya hii au ile kuna moja siyo sahihi ingawa ni mazingira sawa.
Mkuu salama?Ndio maana yankutumia "fake ID",na hasa pale unapokwepa wanaokutafuta kutokukuelewa kutumia maandishi yako.Ni lazima usiache alama nyuma zinazoweza kukutambulisha

Mchanganyo huu kwako,kwangu ni faida!!
 
Mkuu salama?Ndio maana yankutumia "fake ID",na hasa pale unapokwepa wanaokutafuta kutokukuelewa kutumia maandishi yako.Ni lazima usiache alama nyuma zinazoweza kukutambulisha

Mchanganyo huu kwako,kwangu ni faida!!

Ha ha ha, mkuu mimi nimesoma ShyBush, sasa ule uzi unanikumbusha mambo kadha wa kadha ya enzi hizo.

Ila nilivyoona hii comment nikakumbuka ule uzi, nimekuelewa mkuu.

Ndo maana tuliambiwa na mstaafu, "Akili za kuambiwa ..."
 
Changanya na za mission town lol! Ukikosea tu umejianika na wenye Nissan nyeupe na SMG zao wanaweza kuanza kukufuatilia ili kutimiza matakwa ya watoa roho za wenzao wasio na hatia. Sinyongi mie! Ila nakumiminia risasi.

Ha ha ha, mkuu mimi nimesoma ShyBush, sasa ule uzi unanikumbusha mambo kadha wa kadha ya enzi hizo.

Ila nilivyoona hii comment nikakumbuka ule uzi, nimekuelewa mkuu.

Ndo maana tuliambiwa na mstaafu, "Akili za kuambiwa ..."
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]kondaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pole sana
 
Hv perfume huwa znakatazwa kweny ndeg za nje ya nchi au hadi zle za safar ya ndani?
 
Hv perfume huwa znakatazwa kweny ndeg za nje ya nchi au hadi zle za safar ya ndani?
Swali lingekuwa kwa nini wanakataza perfume kwenye ndege?
JIBU : ni moja ya aina ya mlipuko ambao ukiwa ujazo mkubwa (kuzidi 100ml) watu wanaweza kufanya yao angani
 
Changanya na za mission town lol! Ukikosea tu umejianika na wenye Nissan nyeupe na SMG zao wanaweza kuanza kukufuatilia ili kutimiza matakwa ya watoa roho za wenzao wasio na hatia. Sinyongi mie! Ila nakumiminia risasi.

Ha ha ha, kweli mkuu.
 
Hivi ni kitu gani kinafanya ndege kupaa? Maana pamoja na kusomea kumwagilia bustani JKKKT bado sijaelewa kwa nn ndege inapaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…