Baba musa333
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 423
- 238
Hahahabukoba -mwanza.....vile vindege vidogo...hiyo siku kulikuwa na mvua sana asubuhi..wakati tunaingia kwenye ndege tukaambiwa tuzime simu zetu ila kuna watu nikawaona wanaendelea kutumia simu wakiwa ndani kabla hatujaondoka...ile tunaondoka tu airport kandege kakaanza kuyumba yumba mara pailot akarudia tangazo watu wote wazime simu...mimi simu yangu nilitoa na betri kabisaaaa..
HahahahaMimi ilikuwa 1999,uelekeo nairobi, mke wangu akaniambia kwa uzoefu aliohadithiwa na babaake huko hewani mtu lazima usikie njaa sana,akaniandalia hotpot la makande, nasikitika sana maana lilibakia airport,kipindi hicho hakuna vifaa vizuri vya ku-detect madawa,kwa hiyo wakayafananisha na madawa!!! Ushamba gunia la misumari, unarekebisha mmoja, tisa inakuchoma!!!
mbavu zanguMie mbona sitasahau,,,,,,,,,,
cku iyo nilijipodoa kama naenda harusini kufika airport parfume yng ikawekwa kwny dustibini niliumia sana.............
nilipoingia ndani sijui ni uoga nikaita air host aje kunifunga mkanda kasheshe wkt wa kushuka mkanda ukanishinda kufungua ikabidi jirani yng kk mmoja anisaidie..
[emoji23][emoji23] we kiboko virobamimi ilikua 2014 dar to mbeya. Nilikua napiga kelele kua Ticket yangu Haina City No. kumbe unapewa City No. pindi napanda.
nilipopanda nikawa nakenua meno kila mtu ananishangaa. alafu nilikua na viroba vya konyag
Kwan ndege inaweza ondoka kabla wengine hamjakaa na kufunga mikanda????Dah! ndege ina speed jamani nilipanda AURIC AIR toka Njombe to Iringa ile naingia tu nasogea kwenye siti yangu ili nikae naambiwa "wa kushuka Iringa",nikadata nauliza wa kushuka Iringa mnamaanisha nini,yule kaka akasema tushafika Iringa,sikuonja hata siti ya ndege ikanibidi nishuke maana tuliisha fika Iringa,duh! ndege inakimbia jamani!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]1992...ndege ya serikali dar to kia...ndani ya ndege hakukuwa na vituko...kasheshe ilikuwa ni baada ya kufika....yaaani nilihajikisha kila ninayepishana nae anajua kuwa nimekuja kwa ndege
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kiukweli SITASHAU siku ile maana ilibidi nikodishe HIACE ya wasindikizaji wakati mimi, mke wangu na wazazi tumetangulia na TAXI uwanjani yaani ilikuwa kama harusi Fulani hiv ushamba huu aisee ni hatari
hahahaakuna mtu alipiga magoti Amsterdam wakati wanaunga ndege waende switz. Haya ni maneno waliokuwa karibu walimsikia akisema.
"eh baba! ushukuriwe kwa kunifikisha huku juu mbinguni baba! duniani dhiki na shida nyng baba! Mweh ndaga mwalafyale mweh"
Buku tisini/thamanini tu mkuu unaosha nyota,unaruka na mwewe.Mimi hata sijawai sema Mungu ni mwema