Viroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)

Tar 16.10.2017 nlifika airport ya songwe mbeya mapeeemaa sna badae tukapewa taarifa ndege haitoondoka siku hiyo nikaisi ndo tayar shetan anafny yake gundu liendelee kuniganda baati nzur tulipelekwa hotel thn 17.10.2017 nilipanda ndeg kwa Mara ya kwanz ni raha sanaaaa kalikua ka lisaaa tuuu[emoji1][emoji1][emoji1] ntapand tena
 
Sitasahau siku bombardier imeteleza hapo angani nilitokaje kajasho kidg nife na presha[emoji28][emoji28][emoji1][emoji1]
 
Hahaha
 
Hahahaha
 
mbavu zangu
 
mimi ilikua 2014 dar to mbeya. Nilikua napiga kelele kua Ticket yangu Haina City No. kumbe unapewa City No. pindi napanda.
nilipopanda nikawa nakenua meno kila mtu ananishangaa. alafu nilikua na viroba vya konyag
[emoji23][emoji23] we kiboko viroba
 
Kwan ndege inaweza ondoka kabla wengine hamjakaa na kufunga mikanda????
 
kuna mtu alipiga magoti Amsterdam wakati wanaunga ndege waende switz. Haya ni maneno waliokuwa karibu walimsikia akisema.
"eh baba! ushukuriwe kwa kunifikisha huku juu mbinguni baba! duniani dhiki na shida nyng baba! Mweh ndaga mwalafyale mweh"
hahahaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…