M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Soma tenaNdege Ni mkusanyiko wa chuma!!!??hakuna usafir wa uhakika duniani siku yako ikiwa imefika chief.hata baiskeli nayo Ni hatari siku ya ajali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma tenaNdege Ni mkusanyiko wa chuma!!!??hakuna usafir wa uhakika duniani siku yako ikiwa imefika chief.hata baiskeli nayo Ni hatari siku ya ajali.
Nilisoma vizur ndio maana nikajibu labda ewew ndio usome upya.,...kwa kukusaidia nilimqoute aliesema kuhusu mkusanyiko wa mabati na injini ubungo akimaniisha mabasi,,,nikamuulize kwani ndege Ni mkusanyiko wa chuma Hadi awe na uhakika wa usalama kiasi hicho!!!!nachoamini hakuna usafir salama duniani Kama siku ya ajali imefika..kikubwa kumuomba mungu na kuwa waangalifu tu.Soma tena
2022 inshallah naenda Qatar World CupNdege Tamu ajab
Kwani SOLE za viatu vyako vilikuwa upande sawa na waalimu wetu?tinna cute pole sana. mimi perfume na dawa za mswaki zilitupwa kwenye waste bin ile kufika kwa jamaa wa uhamiaji wananiuliza vipi mkuu unaenda kufundisha KISWAHILI ughaibuni? sijui nnimekaa kama mwalimu. Mwishoni akamalizia kwa kuomba hela ya Chai UHAMIAJI AIRPORT punguzen njaaa.
Ha ha haKwani SOLE za viatu vyako vilikuwa upande sawa na waalimu wetu?
ShangaaUlichunguliaje nje? Hayo madirisha yanafunguka?
Kwa ukaribu wa uonekano wa hayo majengo hapa lazima ni karibu na Airport, Arusha hapana haiko hivi wala ya Dar wala ya Zanzibar wala ya Kilimanjaro, hapo ndio nawaza wapi huenda Mwanza maana sijawah kufika ukubwan?Me nilichungulia sana nje, sasahv nimeshazoea...... Hii ni precision air.. Wataalamu location wapi hapo [emoji38]View attachment 1549924
Dar hapo mkuu karibia na airport tulikuwa tunatuaKwa ukaribu wa uonekano wa hayo majengo hapa lazima ni karibu na Airport, Arusha hapana haiko hivi wala ya Dar wala ya Zanzibar wala ya Kilimanjaro, hapo ndio nawaza wapi huenda Mwanza maana sijawah kufika ukubwan?
Au ulikua na sharubu kama walimu wa Kemia hehehKwani SOLE za viatu vyako vilikuwa upande sawa na waalimu wetu?
UVIKO bado haijaisha dunianiNatumaini tutaanza upya tena kupanda madege
Mambo mazuriCheka weekend hii.
Nakumbuka ilikuwa Mwaka 2008 mwezi Juni nilikuwa naenda kikazi Lusaka, Zambia basi sijui hili wala lile kwenye tiketi iliandikwa saa ya ndege kuondoka saa 12 asubuhi (ndege ndo inapaa) mimi nikajipa kama dakika 20 kutoka home Tabata mpaka Airport, nikidhani ni kama Mabasi ya Mkoani pale Ubungo stendi duuh ile kufika nikaambiwa muda umeisha daah! Nilichokaje. But taratibu nikajifunza muda wa kufika airport, vitu visivyoruhusiwa kubeba kwenye ndege.
**NEW DEVELOPMENT
Mwezi Juni 2015 nilipata safari ya kwenda CAMEROON (kwa hisani ya Watu wamarekani USAID) sasa tukiwa huko tukalipwa posho kwa hela ya huko Central African Franc sasa nikazibana nije kubadilishia Bongo nafika bongo Bureau De Change zote hawabadilishi hizi pesa yaani nmepagawa sijui nikazitupe Coco maana....
****MPYA ya 2016
Mwezi Januari nilienda NEW DELHI duuh pale airport hakuna sijui kutangaza wala nini ni KIMYA KIMYA tu ukisubiri matangazo utastukia ndege ishakuacha.
View attachment 336440
HAKIKA USHAMBA MZIGO!
ulikuwa unaenda wapi mzeeSiku ya kwanza kupanda ndege aisee nilizinguana na muhudumu kakagua vitu vyangu sasa nashangaa mabeg yangu wanachukua wanapita nayo nyuma kule nami nikajua ndege tunaenda pandia huko huko wanapopeleka mizigo ile muhudumu kuzubaa nshapita afu ww kaka ndege wanaenda kupandia kule watu wote airport hoi bahat nzur ilikuwa ndege ya ucku saa 11
Nomaaulikuwa unaenda wapi mzee
Kenyaulikuwa unaenda wapi mzee