Viroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)

Viroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)

Nimepanda aina tofauti tofauti ila iliyoniudhi na kuniogopesha ni hizi ATR za PW kutoka Nairobi kuja Dar kupitia Zanzibar afu nimekaa karibu na yale mapanga boi wee nilisinzia safari nzima
 
Mimi waliniuliza utakula nini? Nikaanza ngonjera(nilishaambiwa nikitaka kurudi na gari ya mtumba nisave kwenye mlo)
Wakaniambia tuna hiki na kile nami nikajitutumua kuuliza bei nikajibiwa ooh no it is inclusive in your ticket basi nikawaaambia walete tu nivikomoe kumbe loh na vile vikali vidogo vidogo vikali kweli
Hadi blanket nikasahau nimeshtuka nashikwa bega kuwa tumefika...hoii halafu hata kongolo hawana siwasahau wale
 
Mimi haikuwa mara ya kwanza kupanda ndege but ilikuwa ni mara ya kwanza kufika Jomo kenyata airport, siwezi kuzisahau hizo ngazi, sikuanguka lakini duh..... hadi leo sipendi ngazi za umeme kwenye ma-airport


Duh, sitasahau zile ngazi za lift pale JKNIA zilivyoniumbua, nilianguka alafu kuangalia kila mtu ananikodolea na pole zao nikaona kama za kinafiki wakati inawezekana walikuwa sincere, otherwise mambo mengine nilichukulia poa
 
duuh we jamaa CLASI umeniacha hoi yaani ukabeba na timu ya kukusindikiza Airport? Hatari sana wewe!!!
 
Mi nakumbuka kutoka mwz dar,nko airtz hakika nilikuwa naogopa sana dege likiyumbia kushoto mi nalalia kulia naona labda nitalisaidi,ila mi nimepanda mara 4 hakika ndege hapana uoga mwing
 
ndege kitu ingine wakubwa. japo si nafuu kama basi lakini inaokoa muda sana
 
fastjet nimewakubali sana aisee. ndo mmefanya watanzania weng kupanda ndege kwa mara ya 1
 
Mm nilichelewa kuingia passengers lounge nilijua ndege ikikaribia kuondoka ndo wanaingia, chup chup nikataliwe
 
Mimi was 2005 to USA..dah vituko vilikuwa vingi but kwa uchache nilishindwa kuflashi choo, airpot Michgan nilirukia elevator inayoshuka badala ya inayopanda nk!

aree wang'u, so lela maimbe elombe mbuyane.
 
Huwa siachi kujiuliza hilo swali kila ninapotumia huo usafiri...na ndio sababu siupendi ila basi tu...
 
Mimi waliniuliza utakula nini? Nikaanza ngonjera(nilishaambiwa nikitaka kurudi na gari ya mtumba nisave kwenye mlo)
Wakaniambia tuna hiki na kile nami nikajitutumua kuuliza bei nikajibiwa ooh no it is inclusive in your ticket basi nikawaaambia walete tu nivikomoe kumbe loh na vile vikali vidogo vidogo vikali kweli
Hadi blanket nikasahau nimeshtuka nashikwa bega kuwa tumefika...hoii halafu hata kongolo hawana siwasahau wale
wabahili ka nin vikopo vya soda vidogo kama nin
 
napita...kwan mbna kila mtu ndege ndege?!!! watu tumepanda helkopta bana..!
 
First time mimi niliskia poa tu kama adventure vile, ilikuwa natoka dar kwenda mwanza ila tukapitia Kia, isssue ni pale tulipotoka kia kuitafuta mwanza tulipofika nadhani ndio ngorongoro kitu ilikuwa inatikisika mabawa sijui kwanini mpaka unaogopa.
 
aisee mimi natamani sana kupanda lile JUMBO la EMIRATES naliangaliaga YOUTUBE tu ila nalitamani sana najipanga siku niende mbali kama NEW ZEALAND huko nifaidi ndege vizuri
 
Ombea usianzie kwenye ndege za jeshi,utajuta! But saiv naona kwaida tu kwenye ndege za aibiria na jeshi pia
Daaaaaaaaa mi wala sikupata shida yoyote hasa kama unajua kiingereza ni kufuata maelekezo tu na tiketi yako inasemaje,nilipanda Qatar Airways Dar to Beirut via Doha walah vitu vilivyomo ndani yani wanakusahaulisha kama uko angani futi 36 elfu maana ni movies, music kahawa/tea, mkikaribia moshi anapita maeneo ya mt kili yani unauona on top nilienjoy sana na tulipoanza kutaka kutua Qatar ndo balaa nilifikir tumepitia nchi moja wapo ya Ulaya kwa jinsi mji ulivyokuwa unavutia hyo airport usiseme yani ndege zao zimejaa balaa nikakumbua vindege vyetu vya atc
 
Back
Top Bottom