Viroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)

Viroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)

Njalamatata nacheka hatari uliumbuka na kuumia sana.mabegi yanapita huwezi yabeba hahaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Ilikuwa mwaka 1999 kwa mara ya kwanza kupanda international flight (KLM), Dar-Armsterdam-Dar. Nilidhani uwanja ni kama JKIA. Wakati wa kushuka mimi nilikuwa najiendea kufuata wasafiri tulikuwa pamoja. Kufika sehemu Fulani nikaona wanapungua, na kila mtu anajiendea ujuako.

Kumbe wenzangu walikuwa wanasoma monitors (computers) zinazoelekeza flight number na direction ya kutokea, au connection ya ndege nyingine. Nilibakaki nazungunguka humo kama dakika 30 hivi baadaye askari mmoja alikuja kuniokoa na knipeleka buggage section.

Hapo sehemu ya mizigo nilibaki peeke yangu kusubiri bag yangu kwenye conveyor ambayo nayo ilichukua takribani dakika 20 kufikisha kabegi kangu. Mpaka kutoka nje nilikuwa nimelowa ile mbaya pamoja na baridi la kule.TEMBEA UONE NA UJFUNZE.
 
Mimi ilikuwa 2007 nilipata ride ya kwenda serengeti, nikapiga suti na scaf; kuingia kwenye ndege (hizi ndogo za watu 12) nakuta watu wamevaa simple sana kwa kuwa wanaenda bush; nilijisikia vibaya sana...

Hahaha seronera air strip nimepiga sana hizo trip nikiwa na kandambili miguuni
 
kila kitu tulichonacho, tunachofanya au tulichokizoea kina siku ya kwanza,

mfano,

kubadili dini,
kufanya mapenzi,
kuangalia tv,
kupanda ndege/train
kushika komputer,
kuingia shule

.......

chochote kile.....

1. nakumbuka mara ya kwanza kuangalia movie nilijua STERRING (movie star) wa movie ni jina la mtu.
walivyoweka Movie nyingine sikuikubali nikaomba iwekwe movie ya STERRING.

unakumbuka nini kwa chochote kile ukikumbuka unacheka/unasikitika mwenyewe.
 
Mi nakumbuka siku yangu ya kwanza kwenda peponi.
 
Madereva taxi JKNIA ukishuka kwenye fastjet wala hawakuulizi kama unahitaji taxi maana wanajua abiria wa fastjet hali tete
 
Ndege ni usafiri wa kawaida sana,kwanza tuwashukuru fastjet kwa huduma yao ya usafiri.Just imagine kama tungekuwa na ATCL na Precision air, Watu wengi kwa sasa wanapaa kwa muda mfupi wako mwanza.

Hawa madereva Hawajawahi kupanda hata mara moja ndo wana kuwa na nyodo
 
Mi cku ya kwanza kugegeda niliona kama nipo wapi cjui nilikuwa na furaha ajabu nilimpigia dem magoti nikamshukuru sana kwa kunipa kitu kitamu sana cjawahi ona,leo nikikumbuka nacheka mwenyewe.
 
Mi siku ya kwanza kuingia GEREZANI nilikuwa natafuta kitu cha kujinyongea au cha kujichoma nijiue lakini sikupata na kila kona kuna wafungwa mara siku wiki ndo taratibu nikaanza kujilaumu kwann nilikuwa na mawazo yale
 
siku ya kwanza kupanda ndege nilifurahi LOL..nilidhani ningeogopa, sana sana wkt wa kupaa cz nilisikia wengne huwa wanatapika ila nilikuwa poa..nilikula chakula chote, kuingia toilet sasa hahahahaaaa uwiiii, i was so curious hadi nikaamua niende nijionee hahahaaa
 
ndege ina raha sana aisee, ila kwenye kutua pale meno huwa yanauma na huwa nakosa pumzi sijui ndo ushamba wenyewe huo
 
Back
Top Bottom