Viroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)

Viroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)

Da! Nimecheka mpaka basi.
Mimi mara ya kwanza kupanda ndege ilikuwa 2008 Precision Air. Dar to shy naenda Nzega Resolute Mine kufanya field. Kwanza nilipopata email ya tiketi yangu sikulala siku hiyo. Nilipofika airport ndio mara ya kwanza kuona ngazi za umeme. Sikuzitumia kwa sababu ya uoga. Nilikuwa nimebeba spray1 Dawa ya mswaki, Kulikuwa na nyembe na mkasi kwenye begi vyote niliviacha airport.
Nilipokuwa ndani ya ndege haikuwa shida but kuna moment nilipata mshtuko mkubwa kidogo nipige kelele kwa sababu ya ndege kuchange altitude. Niliona kama utumbo unataka kutoka.
Kituko kingine wakati narudi Dar kutoka shy. Kwa sababu tiketi nilikatiwa na kampuni na pesa ya taxi nilishakula. Sikuwa na pesa ya taxi toka shinyanga mjini kwenda airport na nilitaka kutunza pesa nilokuwa nayo kwa sababu nilikuwa narudi chuo na Boom halieleweki linatoka lini. Ilibidi niulize nauli ya baiskeli mpaka airport ni sh ngapi. Shinyanga daladala ni baiskeli tu mpaka leo.
Jamaa akaniambia ni 3000 tu badala ya 35000 ya taxi. Asubuhi akaniijia tukaanza safari. Balaa tukapita short kati kwenye mashamba ya mpunga. Si tukapotea? Tukatokezea kwenye fance ya nyuma ya uwanja maana hata jamaa wa baiskeli sikumwambia kana naenda kupanda ndege yeye alijua naenda kutembelea ndugu tu karibu na airport. So ikabidi tuzunguke fance mpaka getini.
Kama si ndege kubadili arrival time ningeachwa.
Nilipofika airport wafanyakazi wa pale walinicheka baalaa. Wakasema hawajawahi ona mtu anakuja airport kupanda ndege kwa usafiri wa baiskeli.
Tiketi ya hiyo safari nimeitunza mpaka leo kama kumbukumbu toka 2008.
But namshukuru Mungu kwa sasa atleast nimezoea mpaka hivi vindege vidogo.
Ha haaaaa
 
Mimi 2003 kwenye KLM kwenda Schiphol Amsterdam NETHERLAND nilitaka kula vitaulo vya kuoshea mikono, nijua chapati lakini ghafla nikaona jirani yangu anafuta mikono na kukirudisha kwenye tray nami chapchap nikamuiga.
Ha ha ha. Uuuuuwi. Hio KLM mie ndio ilinikomesha. Pata picha nimetoka msalani halafu nikapotea / nikasahau siti yangu iko wapi (usiniulize siti namba maana hata nilikuwa sijui kama kuna siti namba)😕, Balaa la pili kufika Amsterdam, hizo ngazi zao za kutambaa na kupanda ilikuwa majanga...
 
India kiukweli wamejipanga Mumbai airport nako si kama hapa kwetu JNIA
 
Tuisubirie dar airport mpya sijui itaitwa Ngosha Intl Airport?
 
Da! Nimecheka mpaka basi.
Mimi mara ya kwanza kupanda ndege ilikuwa 2008 Precision Air. Dar to shy naenda Nzega Resolute Mine kufanya field. Kwanza nilipopata email ya tiketi yangu sikulala siku hiyo. Nilipofika airport ndio mara ya kwanza kuona ngazi za umeme. Sikuzitumia kwa sababu ya uoga. Nilikuwa nimebeba spray1 Dawa ya mswaki, Kulikuwa na nyembe na mkasi kwenye begi vyote niliviacha airport.
Nilipokuwa ndani ya ndege haikuwa shida but kuna moment nilipata mshtuko mkubwa kidogo nipige kelele kwa sababu ya ndege kuchange altitude. Niliona kama utumbo unataka kutoka.
Kituko kingine wakati narudi Dar kutoka shy. Kwa sababu tiketi nilikatiwa na kampuni na pesa ya taxi nilishakula. Sikuwa na pesa ya taxi toka shinyanga mjini kwenda airport na nilitaka kutunza pesa nilokuwa nayo kwa sababu nilikuwa narudi chuo na Boom halieleweki linatoka lini. Ilibidi niulize nauli ya baiskeli mpaka airport ni sh ngapi. Shinyanga daladala ni baiskeli tu mpaka leo.
Jamaa akaniambia ni 3000 tu badala ya 35000 ya taxi. Asubuhi akaniijia tukaanza safari. Balaa tukapita short kati kwenye mashamba ya mpunga. Si tukapotea? Tukatokezea kwenye fance ya nyuma ya uwanja maana hata jamaa wa baiskeli sikumwambia kana naenda kupanda ndege yeye alijua naenda kutembelea ndugu tu karibu na airport. So ikabidi tuzunguke fance mpaka getini.
Kama si ndege kubadili arrival time ningeachwa.
Nilipofika airport wafanyakazi wa pale walinicheka baalaa. Wakasema hawajawahi ona mtu anakuja airport kupanda ndege kwa usafiri wa baiskeli.
Tiketi ya hiyo safari nimeitunza mpaka leo kama kumbukumbu toka 2008.
But namshukuru Mungu kwa sasa atleast nimezoea mpaka hivi vindege vidogo.
Ha ha ha ha
 
ushamba mbaya sana was 2008 yaan ndege ilipoacha aridhi nilicheka sana hadi niliyekaa nae akaniuliza vipi...nikamwambia we acha tu
Ha ha ha mama were umenifanya nionekane kituko hapa ..
 
Atc mkileta hizo ndege mpya tupande bure basi kwa angalau wiki 2 kama mabasi ya mwendokasi Dar au sukari ile iliyokamatwa kwenye magodauni
 
Mimi ilikuwa 2007 nilipata ride ya kwenda serengeti, nikapiga suti na scaf; kuingia kwenye ndege (hizi ndogo za watu 12) nakuta watu wamevaa simple sana kwa kuwa wanaenda bush; nilijisikia vibaya sana...
daaah nimecheka sana hahahah
 
Mimi ilikuwa 2007 nilipata ride ya kwenda serengeti, nikapiga suti na scaf; kuingia kwenye ndege (hizi ndogo za watu 12) nakuta watu wamevaa simple sana kwa kuwa wanaenda bush; nilijisikia vibaya sana...
Ha ha ha ha

Kimeo cha mwaka
 
Mie mbona sitasahau,,,,,,,,,,
cku iyo nilijipodoa kama naenda harusini kufika airport parfume yng ikawekwa kwny dustibini niliumia sana.............
nilipoingia ndani sijui ni uoga nikaita air host aje kunifunga mkanda kasheshe wkt wa kushuka mkanda ukanishinda kufungua ikabidi jirani yng kk mmoja anisaidie..
Ulijiona kama umejipaka majivu ama nini??? pole
 
Da! Nimecheka mpaka basi.
Mimi mara ya kwanza kupanda ndege ilikuwa 2008 Precision Air. Dar to shy naenda Nzega Resolute Mine kufanya field. Kwanza nilipopata email ya tiketi yangu sikulala siku hiyo. Nilipofika airport ndio mara ya kwanza kuona ngazi za umeme. Sikuzitumia kwa sababu ya uoga. Nilikuwa nimebeba spray1 Dawa ya mswaki, Kulikuwa na nyembe na mkasi kwenye begi vyote niliviacha airport.
Nilipokuwa ndani ya ndege haikuwa shida but kuna moment nilipata mshtuko mkubwa kidogo nipige kelele kwa sababu ya ndege kuchange altitude. Niliona kama utumbo unataka kutoka.
Kituko kingine wakati narudi Dar kutoka shy. Kwa sababu tiketi nilikatiwa na kampuni na pesa ya taxi nilishakula. Sikuwa na pesa ya taxi toka shinyanga mjini kwenda airport na nilitaka kutunza pesa nilokuwa nayo kwa sababu nilikuwa narudi chuo na Boom halieleweki linatoka lini. Ilibidi niulize nauli ya baiskeli mpaka airport ni sh ngapi. Shinyanga daladala ni baiskeli tu mpaka leo.
Jamaa akaniambia ni 3000 tu badala ya 35000 ya taxi. Asubuhi akaniijia tukaanza safari. Balaa tukapita short kati kwenye mashamba ya mpunga. Si tukapotea? Tukatokezea kwenye fance ya nyuma ya uwanja maana hata jamaa wa baiskeli sikumwambia kana naenda kupanda ndege yeye alijua naenda kutembelea ndugu tu karibu na airport. So ikabidi tuzunguke fance mpaka getini.
Kama si ndege kubadili arrival time ningeachwa.
Nilipofika airport wafanyakazi wa pale walinicheka baalaa. Wakasema hawajawahi ona mtu anakuja airport kupanda ndege kwa usafiri wa baiskeli.
Tiketi ya hiyo safari nimeitunza mpaka leo kama kumbukumbu toka 2008.
But namshukuru Mungu kwa sasa atleast nimezoea mpaka hivi vindege vidogo.
Hii kali kuliko zote
 
Duu kumbe ww ndio nilikubebea perfum zako kwenye kandoo kangu kasamaki wakati tunatoka Mwanza kuja dar
Naona wengi tumekamatwa na malotion na manukato....siku ya kwanza jamaa airport alinipa huo ujanja wa kumuomba mtu mwenye kandoo ka samaki(kama wewe)pale Mwanza anitunzie hadi Dar but nikaona udwanzi kufika Dar nianze kukutafuta tena hiyo kazi ngumu.
Nikatupia vyote kwenye ndoo la uchafu nikakwea pipa.
 
Back
Top Bottom