Danny Jully
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 4,416
- 3,860
Nakubaliana na wewe lakini unamjua alivyo kigeugeu?Mwenye amri ya kufunga mpaka ni Raisi tu, hivyo amini hiyo amri imetoka kwa Raisi, Magufuli hajatamka yeye ili Isionekna anashindana na Kenyata.
Ummy Hana jeuri ya kutoa amri kama hiyo hata siku moja.
Ni kweli...hadi vyombo vya Kenya vimeripoti nadhani na BBC pia.Source??
Kenyata kazingua sana... Hiki kinacho mkuta ni haki yake .... Wasiiishie hapo tu wapige ban wakenya wote kuingia tz ...nyambafuRais yupo poa na Yoweri ila sio Kenyata
Sasa hivi kila kitu kinatengenezwa hapa Tanzania iwe dawa ya mswaki au sabuni za unga. Wasidhanie ni miaka ya 1980's baada ya vita.Sisi Ndio walaji
Tukikataa kununua ma blue band,Colgate,nido kutoka kenya atayapeleka wapi zaidi ya kupnguza uzalishaji viwandani
Hili ni suala la prof wa jalalani sio Ummy. Kamwe Ummy asingethubutu kuzungumzia issue ya mpaka wakati hata issue ya corona tu amepigwa limit.Kasogezewa zigo lakini kila kitu kinaeleweka. Tusijerudi 1977.Naona hajataka kuonekana anashindana na Kenyata...ndio maana kampasia da Ummy .
Hilo jambo ni kubwa sana mkuu kufunga mpaka Mwenye mamlaka ya kufanya ivo ni Rais tu ni kama kutangaza hali ya hatari anaweza kufanya ivo ni rais au kutangaza vita, Amini hilo jambo limetoka kwa Mkuu wa nchi hapo ummy ametumika kama messenger tu ili kuondoa contradiction mana jana tu Kenyata ameongea kuhusu izo land borders.Siyo macho yako mkuu, nimemsikiliza rais mwanzo hadi mwisho. Kama rais hana taarifa ya hilo.......ooh!! Ummy atakuwa matatani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bwashee mbona unalikimbia swali?Wewe unachojua ni kutamka bwashee tu. Hayo mengine yapo juu ya kichwa chako. Labda chakubanga hapo lumumba utaelewana naye, Jaribu kuwasiliana naye.
Huo uharo ulimjibu ndio facts?[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Nimeshamjibu mhusika.
Take it easy country bumpkin
akikujibu naacha kunywa chibuku naamia kwenye bananaBwashee mbona unalikimbia swali?
Narudia tena, Tanzania itapoteza nini?
Hili ni swali rahisi sana kwa mchumi first class kama wewe, nashangaa unavyorukaruka kama supu ya kiti moto!
🤣 🤣 🤣 Huna uwezo wa kuelewa mambo ya kiuchumi. Ndio maana sikuambii. Mimi nakufahamu ndio maana nimekujibu hivyo.Bwashee mbona unalikimbia swali?
Narudia tena, Tanzania itapoteza nini?
Hili ni swali rahisi sana kwa mchumi first class kama wewe, nashangaa unavyorukaruka kama supu ya kiti moto!
Hilo la facts ni la kwako.
Si unajua Magufuli ni mzee wa jino kwa jino.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Huna uwezo wa kuelewa mambo ya kiuchumi. Ndio maana sikuambii. Mimi nakufahamu ndio maana nimekujibu hivyo.
Watanzania can you stop nonsense for a while and put your mind into work! All the time mizaha ushabiki! Kila mtu anajua! No wonder you are poor! Poverty starts on your brains.
Hujaelewa mchezo ndugu? Sisi tunaruhusu Wakenya waingie na hela yao wanunue wanachotaka waende kwao ila wasiingize mizigo yao (sabuni, dawa za meno n.k) Ina maana sisi tuwauzie ila wao wasituuzie.Wema uko wapi mzee mwenzangu?
Sisi tulisema hatufungi hata wengine wakifunga, tukampongeza rais wetu kwa hatua hiyo. Leo waziri amekurupuka huko tunapongeza pia. Sasa msimamo wetu ni upi?
Halafu umesikiliza hotuba yote ya rasi leo?
Huoni hapo waziri kajichanganya?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaaa..... hahahaaaa..... Wewe tuelimishe wana jf maana ulidandia comment ya mtu wakati wewe mwenyewe " ubongo wa kuku"🤣 🤣 🤣 Huna uwezo wa kuelewa mambo ya kiuchumi. Ndio maana sikuambii. Mimi nakufahamu ndio maana nimekujibu hivyo.