BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Nchi yenye ombwe la uongozi hili ni kawaida. Yoyote anaweza KUROPOKA chochote hata kama hana mamlaka husika.
Swala la mpaka limekuwa na mkoa tena? Hili swala zito, ndio maana hata wenzetu ni Rais ndio katangaza. Mama kashapona Korona huyu au karudi kazini mapema kabla ya wakati?