Tetesi: Virusi vya corona silaha mpya ya kibaiolojia toka Marekani

Tetesi: Virusi vya corona silaha mpya ya kibaiolojia toka Marekani

2019

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
3,130
Reaction score
4,735
Ukiwa unakimbizwa na mbwa wewe rusha mifupa nyuma tu,wakiwa bize kugombea ww tayari unachanja mbuga.

Hii ni moja ya mbinu mpya kabisa ambazo ni ngumu kujulikana na kila mtu.
Lengo la US ni kumdhoofisha Mchina kiuchumi baada ya kuona anakuja juu kama moto wa kifuu.

Kirusi icho inasemekana kimetengenezwa na maabara ya kijeshi kule Wuhan na kilenga kabisa kwa Uchina lakini wakitegemea kuwa kama kikiingia kwao watakidhibiti.
"Mbona kinaua kila mtu sasa" inasemekana kila muathirika mpya kina tabia ya kubadilika tabia ndo mana wataalamu wanachelewa kupata chanjo yake.

Eti wadau ni kweli au ndio vita baridi?

Source: Chinese diplomat accuses US Army of creating coronavirus epidemic in Wuhan
 
Una shida kichwani na haujajijua,
Kabla ya kukueleza hiyo shida naomba unielekeze hiyo unaita Wuhan ipo wapi
Ukiwa unakimbizwa na mbwa wewe rusha mifupa nyuma tu,wakiwa bize kugombea ww tayari unachanja mbuga.

Hii ni moja ya mbinu mpya kabisa ambazo ni ngumu kujulikana na kila mtu.
Lengo la US ni kumdhoofisha Mchina kiuchumi baada ya kuona anakuja juu kama moto wa kifuu.

Kirusi icho inasemekana kimetengenezwa na maabara ya kijeshi kule Wuhan na kilenga kabisa kwa Uchina lakini wakitegemea kuwa kama kikiingia kwao watakidhibiti.
"Mbona kinaua kila mtu sasa" inasemekana kila muathirika mpya kina tabia ya kubadilika tabia ndo mana wataalamu wanachelewa kupata chanjo yake.

Eti wadau ni kweli au ndio vita baridi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiwa unakimbizwa na mbwa wewe rusha mifupa nyuma tu,wakiwa bize kugombea ww tayari unachanja mbuga.

Hii ni moja ya mbinu mpya kabisa ambazo ni ngumu kujulikana na kila mtu.
Lengo la US ni kumdhoofisha Mchina kiuchumi baada ya kuona anakuja juu kama moto wa kifuu.

Kirusi icho inasemekana kimetengenezwa na maabara ya kijeshi kule Wuhan na kilenga kabisa kwa Uchina lakini wakitegemea kuwa kama kikiingia kwao watakidhibiti.
"Mbona kinaua kila mtu sasa" inasemekana kila muathirika mpya kina tabia ya kubadilika tabia ndo mana wataalamu wanachelewa kupata chanjo yake.

Eti wadau ni kweli au ndio vita baridi?
Hakuna ukweli wa moja kwa moja,lakini hawa wachina waliwahi kuugua ugonjwa wa kutisha sana unaitwa black death,mamilioni ya wachina walifariki kati ya mwaka 1300s hivi.

Dunia imewahi kupitia katika vipindi kama hivi hapo awali.

Kusema kuwa marekani katengeneza corona virus ili amuhujumu uchina na nadharia ambazo hazina ukweli ndani yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe umeandika bila evidence...umetumia..hisia zako binafsi...kuandika utopolo
 
Huu ofisini kwangu kuna mtumishi wa jamii ya mtoa maada,yeye akisikiliza story za kwenye kahawa bila kutumia akili ya kawaida anaanza kutembelea na kihadithia watu kama vile ni mtaalamu sana,aibu kwa mtoa mada
Kwani hayo maneno wewe umeyatoa chanzo gani?
Huoni kama umeeandika utumbo,kuna vitu haviitaji kuenda shule kujua.
Corona sio janga la kwanza kuikumba dunia, na wala haiui kama yalivyo magonjwa ya moyo. Kama huna cha kuandika kuwa msomaji.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiwa unakimbizwa na mbwa wewe rusha mifupa nyuma tu,wakiwa bize kugombea ww tayari unachanja mbuga.

Hii ni moja ya mbinu mpya kabisa ambazo ni ngumu kujulikana na kila mtu.
Lengo la US ni kumdhoofisha Mchina kiuchumi baada ya kuona anakuja juu kama moto wa kifuu.

Kirusi icho inasemekana kimetengenezwa na maabara ya kijeshi kule Wuhan na kilenga kabisa kwa Uchina lakini wakitegemea kuwa kama kikiingia kwao watakidhibiti.
"Mbona kinaua kila mtu sasa" inasemekana kila muathirika mpya kina tabia ya kubadilika tabia ndo mana wataalamu wanachelewa kupata chanjo yake.

Eti wadau ni kweli au ndio vita baridi?
Ebora ilitengenezwa nanani?,acha kupiga lamuli chonganishi,acha kuishi kwa hisia kama mdudu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chinese diplomat accuses US Army of creating coronavirus epidemic in Wuhan
Kahawa ni kahawa mzee.
Kuna jamaaa aliniiga kunywa vikombe vitano.
aliniambia moyo ulikuwa unamuenda mbio,kutetemeka na mwili kuisha nguvu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani hayo maneno wewe umeyatoa chanzo gani?
Huoni kama umeeandika utumbo,kuna vitu haviitaji kuenda shule kujua.
Corona sio janga la kwanza kuikumba dunia, na wala haiui kama yalivyo magonjwa ya moyo. Kama huna cha kuandika kuwa msomaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mods futaaa haya matapishi...

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee DW wameongelea jioni ya leo,kuna msemaji wa Serekali ya China ameituhumu USA. ....

Sent using Jamii Forums mobile app
Una shida kichwani na haujajijua,
Kabla ya kukueleza hiyo shida naomba unielekeze hiyo unaita Wuhan ipo wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom