Tetesi: Virusi vya corona silaha mpya ya kibaiolojia toka Marekani

Tetesi: Virusi vya corona silaha mpya ya kibaiolojia toka Marekani

Hawa wanaoitwa maDr. na maProf wa kwetu kufanya utafiti na siyo kukalia siasa.
 
kwenye kaukweli watu watasema uongo na kwenye uongo watu watasema ukweli!

mtoa mada usife moyo chochote kinaweza kuwa possible ingawa watu wengi wanajificha kwenye mwamvuli wa matukio ya nyuma

"knowledge isnt free! You have to pay attention"
 
Ukiwa unakimbizwa na mbwa wewe rusha mifupa nyuma tu,wakiwa bize kugombea ww tayari unachanja mbuga.

Hii ni moja ya mbinu mpya kabisa ambazo ni ngumu kujulikana na kila mtu.
Lengo la US ni kumdhoofisha Mchina kiuchumi baada ya kuona anakuja juu kama moto wa kifuu.

Kirusi icho inasemekana kimetengenezwa na maabara ya kijeshi kule Wuhan na kilenga kabisa kwa Uchina lakini wakitegemea kuwa kama kikiingia kwao watakidhibiti.
"Mbona kinaua kila mtu sasa" inasemekana kila muathirika mpya kina tabia ya kubadilika tabia ndo mana wataalamu wanachelewa kupata chanjo yake.

Eti wadau ni kweli au ndio vita baridi?

Source: Chinese diplomat accuses US Army of creating coronavirus epidemic in Wuhan
Una akili timamu ?
 
Marekani wanakambi ya jeshi nchini china(Wuhan)? Acha kuleta story za vijiwe vya kahawa
 
IMG_20200314_142919.JPG
IMG_20200314_142840.JPG
bado tu
 
Ni silaha mpya ya Wamarekani na imetengenezwa na maabara ya kijeshi kule Wuhan

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hata huko Marekani pia Kuna wagonjwa wengi tu wa Corona mpaka baadhi washafariki?
AU
Tuseme silaha yao imewageuka? 😂😂😂😂😂

Huu ni ugonjwa tu kama ilivyokuwa mafua ya nguruwe au mafua makali (SARS).
 
Haijawahi kusikia beki mzuri kabisa kwenye mpira lakini kajifunga?
Mbona hata huko Marekani pia Kuna wagonjwa wengi tu wa Corona mpaka baadhi washafariki?
AU
Tuseme silaha yao imewageuka? 😂😂😂😂😂

Huu ni ugonjwa tu kama ilivyokuwa mafua ya nguruwe au mafua makali (SARS).
 
Ukiwa unakimbizwa na mbwa wewe rusha mifupa nyuma tu,wakiwa bize kugombea ww tayari unachanja mbuga.

Hii ni moja ya mbinu mpya kabisa ambazo ni ngumu kujulikana na kila mtu.
Lengo la US ni kumdhoofisha Mchina kiuchumi baada ya kuona anakuja juu kama moto wa kifuu.

Kirusi icho inasemekana kimetengenezwa na maabara ya kijeshi kule Wuhan na kilenga kabisa kwa Uchina lakini wakitegemea kuwa kama kikiingia kwao watakidhibiti.
"Mbona kinaua kila mtu sasa" inasemekana kila muathirika mpya kina tabia ya kubadilika tabia ndo mana wataalamu wanachelewa kupata chanjo yake.

Eti wadau ni kweli au ndio vita baridi?

Source: Chinese diplomat accuses US Army of creating coronavirus epidemic in Wuhan
Vita baridi hiyo, propaganda za mtu mwenye vimacho vitudogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ngoma imeanzia hukohuko China,wachina wasitafute mchawi jamii ngani inakula kila kinachoonekana mbele yao! akipita mjusi wanae,duduwasha,mende ,nyoka,popo,uchafu wote wenyewe wanakaanga na kuhamishia tumboni,sasa kwanini wasiugua magonjwa ya ajabu.mwisho wasiku mtu anaibuka na hoja kuwa mtu mwingine ndo amemletea ugonjwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ngoma imeanzia hukohuko China,wachina wasitafute mchawi jamii ngani inakula kila kinachoonekana mbele yao! akipita mjusi wanae,duduwasha,mende ,nyoka,popo,uchafu wote wenyewe wanakaanga na kuhamishia tumboni,sasa kwanini wasiugua magonjwa ya ajabu.mwisho wasiku mtu anaibuka na hoja kuwa mtu mwingine ndo amemletea ugonjwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani wanakula bila kupika.Au virusi wanaurafiki na moto?
 
Back
Top Bottom