Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Mzee wa wivu alipeleka ventilators chato.
Hachelewi kulaZimisha mashine moja iende chato.
Chato 🦠🦠🦠🦠🦠✌️
Hachelewi kulaZimisha mashine moja iende chato.
Chato 🦠🦠🦠🦠🦠✌️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulikuwa Chato hii hii inayokaribia kuwa Jamuhuri!!! Hebu tutonye kidogo, eti nikweli jamaa hayupo hapo town kazamia kisiwani kabisa au ni ulongo?Nilikuwa chato Mkuu nabangaiza ila hapo kuja kisimposimpo tu nimetabasamu kwani ulitaka nitoe taarifa kama ipi na wapi? [emoji23][emoji23][emoji23]
Hata mimi nitaenda kupima ZanzibarUnavuka na boti ya asubuhi unapima jioni unarudi na korona yako
It is never too late to begin. Start now
Bila Tanganyika zanzibar si chochoteSasa naanza kuamini iwapo Zanzibar ingekuwa ni nchi Huru badala ya kuwa Koloni la Nchi isiyojulikana ya Tanganyika, huenda ingepiga hatua kubwa sana Kiuchumi, Kisiasa na pia Kijamii.