Visa, Mastercard zazuia Taasisi kadhaa za Kifedha za Urusi kutumia mifumo yao

Visa, Mastercard zazuia Taasisi kadhaa za Kifedha za Urusi kutumia mifumo yao

Ficha ujinga wako sababu wewe huna pesa za kigeni kwenye akaunti Zako una vishilingi na husafiri nje ya nchi wala hununui bidhaa nje ya nchi au kufanya biashara nje ya nchi unauza genge tu mitaani kwako tu

mtu kama wewe huwezi elewa chochote kuihusu Visa na master card vikwazo hivyo maana yake nini
Mzee wewe unajiona unaelewa vitu sio. Nimekwambia wewe, hujui technology. Nimekwambia tangu mwanzo nina miaka zaidi ya 5 situmii MasterCard wala Visa Card natumia Wechat na ninanunua vitu nje.

Jifunze technology mwanangu. Usibaki 1990s dunia ilishahama huko mzee.
 
marekani mpka jana bado ameendelea kununua mafuta russia lita million 170, kama haujui marekani na wapambe wake wanahiitaji russia kuliko russia inavyowaitaji wao,
Pro Russia mko so unrealistic kwa sababu mnaongozwa zaidi na hisia kuliko facts.
 
Mzee ninakuheshimu sana. Usiweke vitu simple kiasi hiki kama wale watoto wanao comment kwenye Facebook.
Ulishawahi ONA kampuni yeyote ya mafuta YA URUSI Africa nzima?
Makampuni wakubwa ya mafuta duniani ni ya nchi za Magharibi ndio yame dominate hiyo sector Afrika,nchi za Kiarabu,Ulaya na Urusi kwenyewe

Urusi baada ya ujamaa kusambaratika walibinafsisha mikampuni mengi kwa wawekezaji wa nchi Magharibi ikiweko mikampuni mafuta na gesi wao wakabakia kupokea kodi tu

Ina maana akisema wajibu mapigo wake vikwazo vya kufukuza hiyo mikampuni kuanzia Urusi yenyewe ndani kutakuwa na shida ya mafuta na gesi ndio maana Urusi wameufyata hadi sasa kuwekea vikwazo makampuni ya Magharibi ya mafuta na gesi na yanaendelea kuuzwa nchi za Magharibi hawana ujanja wanaona something is better than nothing walau waambulie chochote
Ubinafsishaji unawatokea Puani .Putin kabanwa kwenye kona
 
Putin ni chaguo la FSB SVR na amewekwa pale kwa masrahi ya russia wala hategemei kura za vikaratasi kubaki madarakani
FSB SVR herufi ngeni hizo kwangu. Dadavua tafadhali
 
Mzee wewe unajiona unaelewa vitu sio. Nimekwambia wewe, hujui technology. Nimekwambia tangu mwanzo nina miaka zaidi ya 5 situmii MasterCard wala Visa Card natumia Wechat na ninanunua vitu nje.

Jifunze technology mwanangu. Usibaki 1990s dunia ilishahama huko mzee.
Ujinga mtupu

Maduka wakubwa kama Amazon utatumia wechat? Unanunua kwa machinga online?
Utanunuaje wakati akaunti za hela za kigeni ziko blocked uko Russia.Hujui kuwa Russia wamewekewa vikwazo hawaruhusiwi kutumia pesa za Euro,Dollar,Pound na Yen ya Japan popte online or whatever ?hicho ki wechat chako utanunua nje kwa shilingi za Tanzania? Usiufiche ujinga kwenye teknolojia koko ya wechat
 
Ulishawahi ONA kampuni yeyote ya mafuta YA URUSI Africa nzima?
Makampuni wakubwa ya mafuta duniani ni ya nchi za Magharibi ndio yake dominate hiyo sector Afrika,nchi za Kiarabu,Ulaya na Urusi kwenyewe

Urusi baada ya ujamaa kusambaratika walibinafsisha mikampuni mingi kwa wawekezaji wa nchi Magharibi ikiweko mikampuni mafuta na gesi wao wakabakia kupokea kodi tu

Ina maana akisema wajibu mapigo wake vikwazo vya kufukuza hiyo mikampuni kuanzia Urusi yenyewe ndani kutakuwa na shida ya mafuta na gesi ndio maana Urusi wameufyata hadi sasa kuwekea vikwazo makampuni ya Magharibi ya mafuta na gesi na vinaendelea kuuzwa nchi za Magharibi hawana mjanja wanaona something is better than nothing walau waambulie chochote
Ubinafsishaji unawatokea Puani .Putin kabanwa kwenye kona
Tumaongelea MasterCard wewe unaongelea makampuni ya mafuta. Mzee usihamishe mada. Kama unataka tuongelee makampuni anzisha thread hiyo.
 
Ujinga mtupu

Maduka wakubwa kama Amazon utatumia wechat? Unanunua kwa machinga online?
Utanunuaje wakati akaunti za hela za kigeni ziko blocked uko Russia.Hujui kuwa Russia wamewekewa vikwazo hawaruhusiwi kutumia pesa za Euro,Dollar,Pound na Yen ya Japan popte online or whatever ?hicho ki wechat chako utanunua nje kwa shilingi za Tanzania? Usiufiche ujinga kwenye teknolojia koko ya wechat
Tatizo umekalili mzee. Hujui siku hizi kuna Alibaba!? Unajiaibisha mwanangu.
 
Tatizo umekalili mzee. Hujui siku hizi kuna Alibaba!? Unajiaibisha mwanangu.

Alibaba ni duka online kama Amazon nk yako mengi kuna eBay nk

Wamewekewa vikwazo Russia kufanya transaction yeyote ile kwa pesa za Euro,Dollar ,pound ya uingereza na Yen ya Japan popote online nk

Huyo Alibaba wako utamlipa kwa shilingi za Tanzania ukinunua vitu kwao?
Narudia usitumie teknolojia kuficha ujinga wako kuviita vikwazo mbuzi uko kwenye teknolojia Miaka mitano lakini iliyojaa ujinga
 
Alibaba ni duka online kama Amazon nk yako mengi kuna eBay nk

Wamewekewa vikwazo Russia kufanya transaction yeyote ile kwa pesa za Euro,Dollar ,pound ya uingereza na Yen ya Japan popote online nk

Huyo Alibaba wako utamlipa kwa shilingi za Tanzania ukinunua vitu kwao?
Narudia usitumie teknolojia kuficha ujinga wako kuviita vikwazo mbuzi uko kwenye teknolojia Miaka mitano lakini iliyojaa ujinga
Mzee mbona unakuwa mshamba sana. Hujui Renminbi (Yuan).
Yaani unaandika wewe naona aibu mimi. Ndio maana nakuwambia wewe bado mshamba sana kwenye mambo ya Technology. Jifunze kwanza ndio uje kujadiliana na mimi. Kwa mawazo yako haya ya kitoto hivi wazungu wataendelea kututawala.

Halafu unaichukulia Russia kama Mayotte siyo!?

Russia wanajitosheleza wao kiuchumi mzee. Hawakuhitaji wewe hapo kwa mtogole.
 
Wapumbavu wote wa Visa, MasterCard, Hta mashirikisho ya Soccer wamegeuka wanasiasa.
Geopolitics zunawahusu vipi?
 
Mzee mbona unakuwa mshamba sana. Hujui Renminbi (Yuan).
Yaani unaandika wewe naona aibu mimi. Ndio maana nakuwambia wewe bado mshamba sana kwenye mambo ya Technology. Jifunze kwanza ndio uje kujadiliana na mimi. Kwa mawazo yako haya ya kitoto hivi wazungu wataendelea kututawala.

Halafu unaichukulia Russia kama Mayotte siyo!?

Russia wanajitosheleza wao kiuchumi mzee. Hawakuhitaji wewe hapo kwa mtogole.
Yuan huwezi tumia kununua chochote Ulaya na marekani utaishia kuitumia kununua vitu low quality vya china vilivyozagaa mitaani
 
Yuan huwezi tumia kununua chochote Ulaya na marekani utaishia kuitumia kununua vitu low quality vya china vilivyozagaa mitaani
Mzee nani anakwambia anaenda kununua ulaya!? Mbona unabadilika badilika tu.

Russia wananunua nini ulaya!?
 
Wapumbavu wote wa Visa, MasterCard, Hta mashirikisho ya Soccer wamegeuka wanasiasa.
Geopolitics zunawahusu vipi?
Wanawaua wateja wao Ukraine wanaotumia Visana Mastercard hivyo kupunguza customers na wanashabulia majengo yenye ATM zao.kuvuruga biashara zao

Soka pia wanawaua wacheza mpira wa Ukraine na kuvuruga Ligi za Ukraine sababu haziwezi endelea kuchezwa wakati mabomu yanarindima.Viongozi wa mpira na wachezaji wengi wamekuwa wakimbizi na kuwa ulitaka wakae kimya?

Nadhani hauelewi mteja wako anauawa ,biashara zake zinaharibiwa ambaxo ndizo kufanya watumie Visacard na Mastercard halafu ukae kimya.Haiwezekani Mapato yao wameongea Ukraine yamepungua sababu ya vita shughuli za uchumi kuathirika wameanza nao kuanzia vitani
 
Wanawaua wateja wao Ukraine wanaotumia Visana Mastercard hivyo kupunguza customers na wanashabulia majengo yenye ATM zao.kuvuruga biashara zao

Soka pia wanawaua wacheza mpira wa Ukraine na kuvuruga Ligi za Ukraine sababu haziwezi endelea kuchezwa wakati mabomu yanarindima.Viongozi wa mpira na wachezaji wengi wamekuwa wakimbizi na kuwa ulitaka wakae kimya?

Nadhani hauelewi mteja wako anauawa ,biashara zake zinaharibiwa ambaxo ndizo kufanya watumie Visacard na Mastercard halafu ukae kimya.Haiwezekani Mapato yao wameongea Ukraine yamepungua sababu ya vita shughuli za uchumi kuathirika wameanza nao kuanzia vitani
Mzee nenda kasome uchumi. Hapa unajiaibisha mno. Ukiwa soba utakuwa unajicheka mwenyewe.
 
Mzee nenda kasome uchumi. Hapa unajiaibisha mno. Ukiwa soba utakuwa unajicheka mwenyewe.
Uchumi kwenye vita unaathirika ndio maana mwathirika lazima achukue hatua Visacard na Mastercard kila ukitoa pesa unakatwa

Ukraine wateja wao wanauawa kwa maelfu,mabomu yanapiga majengo yao ya biashara ilipokuwa ATM zao na maeneo ya biashara za wateja wao
Wa Ukraine wameathiriwa Hawana hela ATM hazifanyi vizuri wamaamua kuingia vitani

Pili benki za Urusi zimewekewa vikwazo vya Swift na nchi zao Visacard na Mastercard wanatokea nchi hizo weak vikwazo wanaungana naona part of solidarity kuwa tunasimama nanyi dhidi ya Russia .
 
Back
Top Bottom