Visa na Mikasa vya kusaka kwangu Utajiri toka Kigoma mpaka Kongo

true mkuu nilienda kikazi kule baa na gesti zipo mwanga kukle ujiji unafanya kazi kutwa kupumzika ni mwanga, mwenyeji mmoja alituambia kuna mtu alifungua baa akakomaliwa mpaka akaifunga
Sasa wanaishije Kama hakuna gesti? Inamaana ukimpata anayeufanya moyo wako dhaifu unampeleka wapi?
 
Mungu hawezi samehe wajinga wanaoabudu mashetani na mali mwisho wao Ni katika ziwa la moto na kiberiti.Umtese mwingine au jitese wewe imekula kwako.
 
Soon link ntapost na michango imeanza tayari sio buku tena ni jero tu kila kitu kitakaa sawa ukihitaji kuchangia namba iyo hapo 07090440890 hamsina kumi anzen kulusha michango jina (((zwange kapumbu)))
 
Tupate chai tu ambayo pia haitaisha. Mambo ya huyu jamaa huwa hivi hivi yalivyo. Uzi zake hazinaga uhai kwanza!!!
 
Umeishia part 3 au unaendelea?

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…