Visa na Mikasa vya kusaka kwangu Utajiri toka Kigoma mpaka Kongo

Visa na Mikasa vya kusaka kwangu Utajiri toka Kigoma mpaka Kongo

Kuna watu humu ni wajuaji kweli,kanda ya ziwa kuna ushirikina wa mamba,mamba anakuchukua mzima mzima anakupeleka kwa aliyemtuma.
Nilipokuwa kidato cha tatu, tulimpoteza mwenzetu ziwa Victoria walipokuwa wanaogelea na wenzio hadi leo hii hajapatikana.

Tulimtafuta kwa wiki mbili ufukweni, tulitafuta wavuvi wakajaribu kuzama katika hiyo sehemu bila mafanikio.

Wenzio walipohojiwa, kuna mmoja alidai walipokuwa wanaogelea, aliona kitu kikamfyatua jamaa haraka na kikachora mstari kwenye maji mithili ya kitu kikiogelea na kuacha alama ya mstari, Huyu jamaa alipoona hilo tukio hakusema hata kwa wenzio ila tulipokuja kugundua kuwa fulani hayupo kesho yake ndio wakatafutwa watu waliokuwa wanaogelea naye.

Wazazi wake walipewa taarifa wakapiga kambi ufukweni pamoja na uongozi wa shule na kufanya mambo ya kitamaduni ili aweze kupatikana lakini hakuna kilicho zaa matunda.

Mwishowe walikubaliana na tukio na kuondoka kurudi nyumbani na sisi shuleni tukaendelea na ishu za shule

Nikiunganisha dot za hiz stori natapa picha fulani
 
Mie mkuu naangalia how can I save my surrounding nimetokea jamii masikini so nawaza hata kuwajengea shule kama laizer anavyofanya kule kijijini kwao.pia wale Wazee Wangu waliovuka 65yrs kule kijijini niwe nawapa angalau posho ya kutumia kama lakairo anavyofanya kwao rorya.
Nawaza how can help like 1000 my village boys to get elimu mpaka chuo kikuu kwa nguvu zangu.
I feel urge to suffer just to rescue others mkuu. This is my burning desire. I'd like to make or leave a mark after my life hapa duniani.
Am ready to sacrifice my life for others this is my ambition.
So kila MTU ana dream zake just ni kuombeana tuzitimize usione za mwenzako hazifai za kwako ndo zinatakiwa kila MTU azifuate

Mkuu una mawazo kama yangu
 
Wewe jamaa umetelekeza uzi wako hapa wa kutunga umeenda kuanzisha mambo mengine tena huku ukisingizia kuumwa

Yaani huyu jamaa muongo haswa. Mara alikulia Sinza mara Wazungu. Hapa tunadanganywa tu nadhani stori imefika ukomo.

Chekini alichaonzisha jana tena

Thread 'Tufikie hatua tutumie akili na tuambiane ukweli. Wazungu wanatuua kirahisi tu' Tufikie hatua tutumie akili na tuambiane ukweli. Wazungu wanatuua kirahisi tu
Kuna Uzi alisema yeye ni mpare na huwa haendi kwao vile Kuna uchawi, hii story yake tena kakulia kigoma ujiji
 
Napokea vitisho toka juzi.najitahidi but nakuwa na wakati mgumu. Na wengine mpaka wanaandika mambo ya kipuuzi. Kama unaona nimetunga achana na story. Na wala silazimishi mtu aamini.mi silipwi chochote kile na sihitaji pesa yà mtu.watu wajiheshimu hamjui changamoto za ku reveal haya mambo. Na msidhani wanapenda yajulikane
View attachment 1689137
Makubwa kwahyo na wewe unawaogopa watu.
 
We jamaa hewa kweli. Sasa kama unapokea vitisho unajitesa na kujihangaisha kutuletea stories hizo ni nini sasa..si uache..au nayo ni usanii..mana kwa akili za kawaida kabisa wewe kama mlikula kiapo hakuna kutoa siri au mlikubaliana, wewe ni mwendawazimu kuja kutoa siri ambayo mmeshakubaliana, unless nayo hii ni usanii tu mnatumiana msg za uongo mnakuja kuweka humu
We boya jiheshim hata kama kumkosoa mtu sio unamkosoa kikuda hivyo....kama nawew unaumizwa na uzi huu tafuta namna nyingine sio kumshambulia mleta uzi kama hayawani
 
Nilipokuwa kidato cha tatu, tulimpoteza mwenzetu ziwa Victoria walipokuwa wanaogelea na wenzio hadi leo hii hajapatikana.

Tulimtafuta kwa wiki mbili ufukweni, tulitafuta wavuvi wakajaribu kuzama katika hiyo sehemu bila mafanikio.

Wenzio walipohojiwa, kuna mmoja alidai waliokuwa waogelea, aliona kitu kikamfyatua jamaa haraka na kikachora mstari kwenye maji mithili ya kitu kikiogelea na kuacha alama ya mstari, Huyu jamaa alipoona hilo tukio hakusema hata kwa wenzio ila tulipokuja kugundua kuwa fulani hayupo kesho yake ndio wakatafutwa watu waliokuwa wanaogelea naye.

Wazazi wake walipewa taarifa wakapiga kambi ufukweni pamoja na uongozi wa shule na kufanya mambo ya kitamaduni ili aweze kupatikana lakini hakuna kilicho zaa matunda.

Mwishowe walikunaliana na tukio na kuondoka kurudi nyumbani na sisi shuleni tukaendelea na ishu za shule

Nikiunganisha dot za hiz stori natapa picha fulani
Nakumbuka hiyo ilikuwa nsumba secondary swea
 
Why mnifuate PM kunitukana as if nimetumia pesa zenu? Natumia simu yangu,najiwekea bundle,natumia muda wangu. Sijaomba anything from yu. Still watu wanakuja andika texts za hovyo kwangu. Its just ok hamna shida.
Kama vipi walete Hao walikuwa kukutukana si wasubirie ama hawana kazi za kufanya kazi yao ni kusoma nyuzi za kichawi tu. Kama wanataka kuburudika kuna viburudisho
 
Kuna Uzi alisema yeye ni mpare na huwa haendi kwao vile Kuna uchawi, hii story yake tena kakulia kigoma ujiji
Huyu jamaa kimeo, Hayo matukio anayosimulia ni ya kufikirika. Ni uzushi tu anzia tukio la ziwani kumtosa mwenzao na kukamatwa na kuteswa na watu wasiojulikana kongo. Uzushi mtupu.

Huu uzi huyu Chizi Maarifa ndio kauacha alishajua wamemshtukia
 
Back
Top Bottom