Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Nimefuta kauli!Umeanza kutia mchanga na huku[emoji119]
Kule ulianza hivi hivi kiutani mwishoe mambo yakaharibika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimefuta kauli!Umeanza kutia mchanga na huku[emoji119]
Kule ulianza hivi hivi kiutani mwishoe mambo yakaharibika
AfadhaliNimefuta kauli!
Well saidUta-spoil kila kitu mkuu, sisi wa uchumi wa kati humu ndo tunasogezea siku,, iwe fiction or ukweli.
[emoji23][emoji23][emoji23]Malizia story kabla sijaenda xvideo
Nina homa Kali toka jana. Hata usiku sikuweza lala. Nikiwa vizuri ntaendelea.leo sijaweza enda hata kazini.
Nami naisubiri.Akiendelea nitag kama hutajaliPart 4
Baaba. Watu wa Kigoma Ni bad news. Hata ukipakana nae shamba au kiwanja ujipange. Bora hata upakane na mchaggaAiseee,kuna watu mmefika mpaka kuzimu kutafuta maisha
Distant Relatives hii ni album moja kali sanaKwamba nimtoe maza, akawe msukule huko chini ya ziwa huku mimi nakula goodtime, wakati kahangaika na mimi miezi 9, kaniza kwa uchungu(wewe ukitaka ujue uchungu wake imagine size ya K halaf na ukubwa wako akakutolea hapa). Kakunyonyesha, kakuosha mavi yako, kahangaika kwa dhiki zote. Halafu leo nimtoe. Acha niwe tu na maisha ya kukopa vocha, utajiri wa hivyo NEVER.
Duuuh aisee!! Wanaendekeza sana ushirikina inaonyeshaBaaba. Watu wa Kigoma Ni bad news. Hata ukipakana nae shamba au kiwanja ujipange. Bora hata upakane na mchagga