Visa na Mikasa vya kusaka kwangu Utajiri toka Kigoma mpaka Kongo

Visa na Mikasa vya kusaka kwangu Utajiri toka Kigoma mpaka Kongo

Mkuu Jimena mara nyengine mtu huleta story fulani hivi ya kutunga na akavaa uhalisia kama yeye ndo staring wa hiyo story, lakini mwisho wa siku ni kutaka tu kuburudisha wana jf na pia kupunguza stress kwa baadhi yao, kwa hiyo binafsi mwanajf mwenzetu chizi maarifa iwe halisi au fiction itakuwa imetufikia na pengine tukapata pia mafundisho ndani yake.
Kwa hiyo usishangae kila story anayoleta yeye ndio muhusika wa hiyo story.
Sawasawa mkuu nimekupata vyema[emoji120][emoji120]
 
Mimi nadhani kama una nia ya dhati ya kumsaidia mtu utamsaidia tu, sababu anachofanya ni maamuzi yake na sio yako, pia kiuhalisia unatakiwa kumpa namna ya kufika huko kwa mtaalam husika na yeye ndio atachagua mwenyewe, na sio unaanza kumpa tahadhari ambazo hazina msingi, mimi nadhani ni mmoja wa watu ambao niliwahi kukuomba connection lakini hukunipa na sidhani hata msg yangu ulijibu, embu mwisho wa siku tuache unafiki, mtu akikuomba kitu kama hutaki sema sitaki kukupa, sio unazunguka zunguka na kutoa vitisho na tahadhari ..kwani anayeamua kufuata hio njia hajui? Anyway ni makavu laivu nakupa mzee baba, na wengine wenye tabia kama yako, nimepata shida kupata connection lakini kuna wenye nia ya dhati ambao wamenisaidia.
mkuu agiza kinywaji nitalipa huyu bwana badala asidie mtu anabaki tu kutishia si bora asingesema watu tutafute kwingine
 
Na kinachofanya uhisi haya hajayapitia ni nini....haya maisha watu wanazunguka na wanapitia mengi chief
Aaah! si kwamba napinga kuwa mleta uzi hajayaishi haya madhila anayotuhadithia, ila niliandika vile kumtoa shaka mkuu mwenzetu humu kwa kuwa alionyesha wasiwasi kuwa muhusika aliwahi kuleta story hapo siku za nyuma ambayo ilionyesha maisha yake yote yalikiwa sinza, na ile story ilimuhusu moja kwa moja, mara tena kaja na story kuwa maisha yake ni kigoma, kama vile inachanganya na kuonesha usanii flani hivi.
Mtazamo wangu yaweza kuwa mleta uzi anavaa uhusika ili kunogesha uzi.
 
Hata Mimi,faida ya pesa kwangu Nile vizur,nivae vizur,nipge mbunye
Mie mkuu naangalia how can I save my surrounding nimetokea jamii masikini so nawaza hata kuwajengea shule kama laizer anavyofanya kule kijijini kwao.pia wale Wazee Wangu waliovuka 65yrs kule kijijini niwe nawapa angalau posho ya kutumia kama lakairo anavyofanya kwao rorya.
Nawaza how can help like 1000 my village boys to get elimu mpaka chuo kikuu kwa nguvu zangu.
I feel urge to suffer just to rescue others mkuu. This is my burning desire. I'd like to make or leave a mark after my life hapa duniani.
Am ready to sacrifice my life for others this is my ambition.
So kila MTU ana dream zake just ni kuombeana tuzitimize usione za mwenzako hazifai za kwako ndo zinatakiwa kila MTU azifuate
 
Back
Top Bottom