Visa na Mikasa vya kusaka kwangu Utajiri toka Kigoma mpaka Kongo

mkubwa fungua uzi ufafanue kwa kirefu, hii story yako nayo inaelekea ipo interesting, usisahau kunitag
 
Mtanisamehe kwa hati mbaya
Kuna point nimekutana nazo Mkuu wanao kupinga bado watoto wadogo kwenye mambo haya

binafsi nakumbuka mwaka 2005 kuna sehemu mtaani jamaa mmoja mtu wa kigoma huko mwenye mali za masharti
kuna siku nilienda kutatua short ya umeme nyumbani kwake yeye hakuwepo alikuwa mpangaji mmoja tu ndio anaamia.

Chakushangaza zaidi nyumba kubwa inavyumba kumi na mbili lakini wapangaji wote wameama

Nilipanda juu ya dali kwa kusoma dua sana kwa sisi waislamu (naas,falaq,ikhaalas ) mara tatu tatu
nikafanya kazi nimemaliza ile kushuka chini mwenye nyumba na mkuta kukasirika sana ana mwambia yule mpangaji huyu fundi(kijana jr) simjui nikakaa kimya wakasemana na mpangaji wake pale mm nikakaa kimya

Mwisho nikamwambia mzee juzi tu simekufungia feni pale dukani kwako mzee mbona leo unasema unijui
mzee akaendelea kukataa sikujui kabisa na sijawahi kukuona hapa mtaani
.akatoa simu na kupiga kisha huyo kasepa nikabaki mimi na yule mpangaji
ambaye anaamia nikaanza kumlaumu
kwanini umenidanganya kuwa umeshaongea na mwenye nyumba mimi nifanye kazi yule mpangaji akabaki ameduwaa tu kijana jr nimeongea nae na nikamwambia ni wewe akasema uje urekebishe na shangaa anasema kwamba hakujui. mimi nikasepa zangu home kesho yake nikaanza kuumwa moyo na kifua nikigeuka upande siwezi napata maumivu makali ya moyo kwa ndani nikikoa au kuongea ni maumivu per day kazi yangu ni kulala chali nikapelekwa mnazi mmoja kupiga x-lay nikaambiwa sina tatizo lolote kwenye moyo nikaandikiwa sindano tano za powercef aiseee sindano kali zinaumaaaa balaaa nikachomaa after five day nikamaliza ila maumivu ya moyo yapo pale pale kazi yangu ikawa ni kulala kuna siku bimkubwa akanifata kijana jr mara ya mwisho ulifanya kazi nyumba gani nikawa sina kumbukumbu vizuri kumbe yule mpangaji wa yule mzee alikuja home kuniulizia akaambiwa amelala anaumwa ndio akamwambia bi mkubwa yote yaliotokea Fasta tu bimkubwa wakanipeleka kwenye rukya(maombi ya kiislamu) ndio nikakaa sawa yule mzee nikikutana nae anashtuka sana mkuu wanao kupinga ndio hao hao wazee wa Ndago . mwaka jana mwishoni nyumba ameivunja amejenga kanisa baada ya ile nyumba kukosa wapangaji na siri mtaani kuvuja mauza uza ya mule ndani jamaa ana vx kali anauza kiduka anavaa ndala amegeuza za rangi tofauti
 
boss emu fungunga izo stori kiundani kidgo....
 
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Ifikie mahali Chizi Maarifa akianzisha nyuzi kama hizi Moderator wapigie pini tu.. Kuna ule uzi wake wa kushare mpenzi na jini kaishia njiani akasepa na sasa karudia upumbavu ule ule.

Mkimuuliza anajifanya mkali... Moderator piga pini huu uzi

Comment zinamkimbiza,pengine kwenye hili jambo anazungumza ukweli lakini jokes na masihara vimekua vingi hadi kuona ii hali mkuu
 
Comment zinamkimbiza,pengine kwenye hili jambo anazungumza ukweli lakini jokes na masihara vimekua vingi hadi kuona ii hali mkuu
Mkuu kwani usiposoma chapisho lake kuna tatizo unataka kusema wanaosimamia hili jukwaa hawajui kuna watu wanaandika maneno yasiyonastaha lakini hamsemi huwezi kuamini pamoja na mtiririko wa story ambao umekuwa sio wakuridhisha lakini kuna watu wanajifunza nawengine kufarijika msamehe tu ndugu huenda ndomapungufu yake tuombeane tu ili mungu akipenda dunia nzima tuwekitu kimoja
 
Doh sio poa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…