Visa na Mikasa vya kusaka kwangu Utajiri toka Kigoma mpaka Kongo

Wajinga wamekua wengi sana,
Nahis ni wageni toka facebook mana wanacoment ujinga mwingi sana kama vile ilikua lazima waandike kitu
Kabisa. Jamiiforums imejaa vitoto vidogo vinaharibu ladha ya JF ya miaka ile. Jamaa anasimulia kitu ambacho kipo na kinafanyika kabisa. Hilo la wahindi mimi nalifahamu kuna jamaa yangu alitolewa kafara mwaka flani kwa ajali ya ajabu ya pikipiki. Kazini kwao kila mwaka lazima mtu mmoja afe. Kila mwaka anaondoka mtu.
 
Jf imepoteza uhalisia wake kuna vitoto vyetu humu maadam kana diploma au bachelor kanakuja humu kusumbua Baba zake walahi ningewajua mama zao ningewatafuna wote ili hivi vinyamkera viwe na adabu[emoji34]
 
Kenge wewe mtoto haramu mnawakatisha tamaa watu wengi sana humu sababu ya u k wenu[emoji34]
 
Funguka mkuu tujifunze huenda tukabadilisha mawazo ya kwenda ziwa Tanganyika
 
Ulisahau kujipigia dua mkuu ya Guard
 
hata wabongo,o-level niliyosoma alikua Headmistress wetu,kila mwaka form one mmoja alikua lazima afe,mwezi wa sita ule mkienda likizo,wiki moja kabla ya kufungua shule lazima afe form mmoja... hiv vitu vipo mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…