Visa na Mikasa vya kusaka kwangu Utajiri toka Kigoma mpaka Kongo

Endelea sasa.....
 
Lwanda Magere kaanza kutiririka RFA kipindi cha sintasahau,tutamsikilizia huko maana Chizi Maarifa nae mzinguaji
Shida ya simulizi za redioni ni mtu kukatishwa kila baada ya dakika 5 na muda wa kipindi mfupii..na mtangazaji kumkatisha kwa maswali! Na msimuliaji kuruka baadhi ya "scene" kama mapenzi aaarrrh!
 
Wanaume wa jf watakupongeza hapo kumla shemeji yako kimasihara
 
Woga wako ndio umesikini wako toa anuani hapa tumtafute huyo mganga wako.
 
Woga wako ndio umesikini wako toa anuani hapa tumtafute huyo mganga wako.
Kwa jibu hili sisomi hii simulizi tena, na unsubscribe kabisa maana nahisi Kuna watu mashetani hapa.

[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Shida ya simulizi za redioni ni mtu kukatishwa kila baada ya dakika 5 na muda wa kipindi mfupii..na mtangazaji kumkatisha kwa maswali! Na msimuliaji kuruka baadhi ya "scene" kama mapenzi aaarrrh!
Hii kitu huwa inaniboa sana...yaani sana...msimuliaji anapambana kusimulia huyu nae anauliza maswali ya kijinga jinga....fu***#ck
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…