Tia tangawiziHii chai
...hakuwa na ushahidi wa kunifunga nao hivyo tukaona tuyamalize kishikaji!!Duh mbona ndogo
Yalishaisha rafiki yangu ,Sasa niko swafi kabisa ,sikupigwaBado una Manundu? Nasikia ulipigwa?
Dah! Uliwezaje kushuhudia ukatili wa namna hiyo.?Wake za watu ni watamu balaa tena sana tu... Ubaya ni pale ukifumaniwa. Sijawahi fumaniwa, lakini nimetoka nao si chini ya watano
Kwa sasa nimeacha baada ya kumshuhudia mwamba mmoja kijijini kwetu (kile kipindi cha rockdown ya korona 2020) akitenganishwa mwili na kichwa kwa shoka!
Sema sahv masingle mama na vitoto vya 2000 (above 18 and out of school maana nina areji na sketi za shule) ndo watanimaliza
Vijana walikuwa wengi pale wakimshambulia mwamba huyo kuwa ni tabia yake kutafuna wake za watu... Sasa yule mwenye mke aliyefumaniwa naye siku hiyo hatuelewi alichomoka saa ngap kwenda kuchukua shokaDah! Uliwezaje kushuhudia ukatili wa namna hiyo.?
Hapo nadhani watu wote mlitawanyika kwa dk kadhaa.Vijana walikuwa wengi pale wakimshambulia mwamba huyo kuwa ni tabia yake kutafuna wake za watu... Sasa yule mwenye mke aliyefumaniwa naye siku hiyo hatuelewi alichomoka saa ngap kwenda kuchukua shoka
Mwamba alikuwa kalazwa chini baada ya kipigo kikali. Mara tukashangaa mwamba anainua shoka kwa mwendo wa sekunde shoka likatua shingoni
Mpka leo nikikumbukaga mwili unanisisimka
JishikilieNa sisi sio sisi wanawake wanatufanyia vituko unakuta umejaa
Mfano upo zako sehem anapita anatikisa zegembe makusudi utamuacha
Chango ni nn?kuna Herode aliliwa na chango
Mbona makaveli unaonekana kama ww ni fundi wa kutibu wake za watuJitahidi ukae mbali na mke wa mtu mile 100, ikiwezekana ongeza na 50, kaa mbali sana na mwanamke aliyeolewa, wapo wenye akili timamu, wapo ambao hawawezi kujishikilia, unajikuta matatizoni.
Hapo kwenye bold, umesema Kisheria, hapa nchini, kulala na mke wa mtu si kosa la jinai. Swali langu, mume anawezaje kudai fidia mahakamani kwa kitendo hicho kama hakuna sheria iliyofunjwa na mgoni?Kufumaniwa na mke wa mtu ni jambo linaloweza kuleta madhara makubwa kijamii na kisheria. Katika jamii nyingi, kitendo hiki kinaweza kusababisha aibu, hasira, na hata ghasia. Kwa mfano, kuna visa ambapo watu wamepigwa, kujeruhiwa, au hata kuuawa kutokana na kufumaniwa na mke wa mtu
Kisheria, nchini kulala na mke wa mtu si kosa la jinai, lakini ni kosa kimaadili na kiimani. Hata hivyo, mume anaweza kudai fidia mahakamani kwa kitendo hicho1. Katika baadhi ya kesi, suala hili linaweza kusuluhishwa na viongozi wa dini, wazee wa familia, au viongozi wa mtaa
Kwa ujumla, ni vzr kuepuka vitendo vya aina hii ili kuepusha madhara na migogoro isiyo ya lazima. Ni fundisho kwamba uaminifu na heshima katika ndoa ni muhimu sana kwa amani na utulivu wa jamii.
Kusimulia visa vya kufumaniwa kunaweza kuwa njia nzuri ya kutoa mafunzo na kuonya wengine kuhusu madhara ya tabia hiyo
Ndugu zangu, naomba mwenye kisa cha kufumaniwa ili kutoa mafunzo na kuonya kuhusu madhara ya tabia hii. Tafadhali zingatieni kwamba visa hivi vinaweza kuwa na mambo mazito.
Asanteni
Aisee balaa Sana hii
Ni kujiheshimuJitahidi ukae mbali na mke wa mtu mile 100, ikiwezekana ongeza na 50, kaa mbali sana na mwanamke aliyeolewa, wapo wenye akili timamu, wapo ambao hawawezi kujishikilia, unajikuta matatizoni.