Visa vya kufumaniwa Jifunze

Visa vya kufumaniwa Jifunze

Wake za watu ni watamu balaa tena sana tu... Ubaya ni pale ukifumaniwa. Sijawahi fumaniwa, lakini nimetoka nao si chini ya watano

Kwa sasa nimeacha baada ya kumshuhudia mwamba mmoja kijijini kwetu (kile kipindi cha rockdown ya korona 2020) akitenganishwa mwili na kichwa kwa shoka!

Sema sahv masingle mama na vitoto vya 2000 (above 18 and out of school maana nina areji na sketi za shule) ndo watanimaliza
 
Wake za watu ni watamu balaa tena sana tu... Ubaya ni pale ukifumaniwa. Sijawahi fumaniwa, lakini nimetoka nao si chini ya watano

Kwa sasa nimeacha baada ya kumshuhudia mwamba mmoja kijijini kwetu (kile kipindi cha rockdown ya korona 2020) akitenganishwa mwili na kichwa kwa shoka!

Sema sahv masingle mama na vitoto vya 2000 (above 18 and out of school maana nina areji na sketi za shule) ndo watanimaliza
Dah! Uliwezaje kushuhudia ukatili wa namna hiyo.?
 
Dah! Uliwezaje kushuhudia ukatili wa namna hiyo.?
Vijana walikuwa wengi pale wakimshambulia mwamba huyo kuwa ni tabia yake kutafuna wake za watu... Sasa yule mwenye mke aliyefumaniwa naye siku hiyo hatuelewi alichomoka saa ngap kwenda kuchukua shoka

Mwamba alikuwa kalazwa chini baada ya kipigo kikali. Mara tukashangaa mwamba anainua shoka kwa mwendo wa sekunde shoka likatua shingoni

Mpka leo nikikumbukaga mwili unanisisimka
 
Vijana walikuwa wengi pale wakimshambulia mwamba huyo kuwa ni tabia yake kutafuna wake za watu... Sasa yule mwenye mke aliyefumaniwa naye siku hiyo hatuelewi alichomoka saa ngap kwenda kuchukua shoka

Mwamba alikuwa kalazwa chini baada ya kipigo kikali. Mara tukashangaa mwamba anainua shoka kwa mwendo wa sekunde shoka likatua shingoni

Mpka leo nikikumbukaga mwili unanisisimka
Hapo nadhani watu wote mlitawanyika kwa dk kadhaa.
 
Ukishagongewa umegongewa tu haina reverse . .. baada ya Fumanizi anayeteseka ni aliyefumania kuliko aliyefumaniwa..... .. ukiona mkeo Ana tabia za umalaya piga chini ... tafuta mwingine .. wanawake wachache sana wanachepuka kwa bahati mbaya... wengi ni mafundi anaweza kuwa na wanaume hata kumi mtaa mmoja na hawajuani ..na mumeo hawezi hata kumhisi .. KAKA MCHUNGE MKEO ATALIWA KWENYE MAJANI
 
Kufumaniwa na mke wa mtu ni jambo linaloweza kuleta madhara makubwa kijamii na kisheria. Katika jamii nyingi, kitendo hiki kinaweza kusababisha aibu, hasira, na hata ghasia. Kwa mfano, kuna visa ambapo watu wamepigwa, kujeruhiwa, au hata kuuawa kutokana na kufumaniwa na mke wa mtu

Kisheria, nchini kulala na mke wa mtu si kosa la jinai, lakini ni kosa kimaadili na kiimani. Hata hivyo, mume anaweza kudai fidia mahakamani kwa kitendo hicho1. Katika baadhi ya kesi, suala hili linaweza kusuluhishwa na viongozi wa dini, wazee wa familia, au viongozi wa mtaa

Kwa ujumla, ni vzr kuepuka vitendo vya aina hii ili kuepusha madhara na migogoro isiyo ya lazima. Ni fundisho kwamba uaminifu na heshima katika ndoa ni muhimu sana kwa amani na utulivu wa jamii.

Kusimulia visa vya kufumaniwa kunaweza kuwa njia nzuri ya kutoa mafunzo na kuonya wengine kuhusu madhara ya tabia hiyo

Ndugu zangu, naomba mwenye kisa cha kufumaniwa ili kutoa mafunzo na kuonya kuhusu madhara ya tabia hii. Tafadhali zingatieni kwamba visa hivi vinaweza kuwa na mambo mazito.

Asanteni
Hapo kwenye bold, umesema Kisheria, hapa nchini, kulala na mke wa mtu si kosa la jinai. Swali langu, mume anawezaje kudai fidia mahakamani kwa kitendo hicho kama hakuna sheria iliyofunjwa na mgoni?
 
Back
Top Bottom