Dong Jin
JF-Expert Member
- Jun 4, 2018
- 968
- 2,034
Wake za watu ni watamu balaa tena sana tu... Ubaya ni pale ukifumaniwa. Sijawahi fumaniwa, lakini nimetoka nao si chini ya watano
Kwa sasa nimeacha baada ya kumshuhudia mwamba mmoja kijijini kwetu (kile kipindi cha rockdown ya korona 2020) akitenganishwa mwili na kichwa kwa shoka!
Sema sahv masingle mama na vitoto vya 2000 (above 18 and out of school maana nina areji na sketi za shule) ndo watanimaliza
Kwa sasa nimeacha baada ya kumshuhudia mwamba mmoja kijijini kwetu (kile kipindi cha rockdown ya korona 2020) akitenganishwa mwili na kichwa kwa shoka!
Sema sahv masingle mama na vitoto vya 2000 (above 18 and out of school maana nina areji na sketi za shule) ndo watanimaliza