Visa vya mapenzi visivyosahaulika

Daaah nimecheka sana,,Et wamemtoa vijiji vya ujima hajui at a kiswahili vizuri[emoji23].Mara Ntakuchinja na msumeno [emoji23]daah,,Kwamba walikutafuta Tanzania bara na visiwani[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
 
Mimi kukomesha huyo anko ningeendelea na huyo msichana
 
Kuna demu nilimwelewa alikuwa anaishi nyumba ya kupanga yeye na Dada yake
Mimi pia nilikuwa mmoja wa wapangaji wa nyumba hiyo so nikaona kitonga hiki hapa

Me nikapiga sound akajaa...
Mtoto kila kitoka job anaingia geto nakula vitu...

Dada yake alikuwa na kawaida ya kwenda kwenye kazi zake za Barmaid aweza kukesha au akarudi muda umekwenda...

Siku ya tukio..
Mtu mbad siku hiyo nikamuita mtoto nakawanajipigia taratibu ..
Basi bwana tukanogewa tukahamishia majeshi chumbani show show..

Muda ukawa umekwenda kama saa 6 usiku tukasikia boda imesimama nje ya nyumba tukajua tu sister huyo nikajitahidi kumchomoa mtoto wapi!! Nikawa nimechelewa aisee mtoto akagoma kwenda usiku huo kwa sister akawa analia tu ....

Nikajifanya kidume kwenda kuongea na sister wapi sister akamsusia kwangu
Nikaona mambo si ndio haya
Nikanyandua mtoto usiku kucha huku tukifalijiana kuwa sister ataelewa tu ..

Kufupisha tu majanga niliyopata ilibidi tu nitandike daluga kuhama nyumba ile ...
Na nimejifunza cheap is cost...
 
Loooh πŸ€£πŸ€£πŸ™ŒπŸΎ
 
Aisee nipo ofisini nimecheka kama fala wazamu, eti lile lijamaa lilinirushia kitu kama rungu au kama sio mchikichi wa kinu, hii nchi inavijana wa hovyo sana akii
 
Hapo ulikua na chance ya kumla na dada mtu, Vipi demu hukumuuliza nini kiliendelea?
 
Nililipa kisasi kikubwa sana! Yule uncle mkewe alifariki Kama baada ya miaka 3 baadae akaoa mke mwingine binti tu kamzidi umri! Nilijiapiza kulipa kisasi ikibidi alee mtoto wangu!! Na Ndio ilivokua!
duh kanakwamba kuna siku utafuata mtoto wako kwake au sio
 
Daaah..mkuu umenichekesha sana yani
 
Daaah..mkuu umenichekesha sana yani
 

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hapo ulikua na chance ya kumla na dada mtu, Vipi demu hukumuuliza nini kiliendelea?
Anasema dada ake alichuna tu.
Nilivyomuhoji zaidi alisema, labda dada aliogopa akimwambia mumewe atakua kadhalilisha familia yotee.

#YNWA
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…