Visa vya mapenzi visivyosahaulika

Visa vya mapenzi visivyosahaulika

Daaah nimecheka sana,,Et wamemtoa vijiji vya ujima hajui at a kiswahili vizuri[emoji23].Mara Ntakuchinja na msumeno [emoji23]daah,,Kwamba walikutafuta Tanzania bara na visiwani[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
 
Nilipewa kesi ya kuvunja na kuiba sababu ya msichana, ilikua mwishoni mwa miaka ya tisini nipo form three kulikua na kidem flan hivi kichaga kinaitwa Rose!

Yule rose alikua anakaa kwa mjomba wake nikamuambia ha akakubali nikawa najisevia! Yule dada alikua home tu japo kua umri wake alitakiwa kua secondary lkn sikuwahi kumuona akiwa kama mwanafunzi.

Kumbe mjomba wake aliishapata taarifa kua kuna msela mita ya kati anamtindua mpwae!! Nilikua natabia moja nikipita Miata ya kwao napiga mruzi flan hivi dem lazima atoke!

Siku hio uncle wake akanistukia dah nilikula kichapo heavy! Huku naam kwa Kwanini unamsumbua mtoto wangu na wewe mwanafunzi. Baada ya kichapo ninatoka nduki. Kesho yake nipo class nashangaa polisi hao Mshkaji akaniambia polisi wamekufata wewe nikatokea dirishani mbio!

Nilihisi ni sababu ya yule dem! Kwenda home nakuja Polisi walifika hadi chumbani kwangu wakapekua eti nimevunja nyumba na nimeiba radio cassette na briefcase duh! Nikitetemeka hatari na mie mambo ya wizi sikua nayo!

Kesho yake ilikua jumamos saa nne nimeamka polisi hao na defender lao dadeki hadi kituoni mara ya kwanza hio naingia rumande! Polisi walipewa pesa ili tu kuniadhibu niachane na yule dem!

Maana nasikia dem alimtukana uncle wake kwa kile kipigo! Dah!! Baada ya kupewa dhamana nikatolewa ile kesi ilienda hadi mahakamani na lile jinga hata lilikua haliji mahakamani hadi mahakama ikaniachia baada ya miezi mitano! Sitasahau hicho kisa zile barehe za kwanza zilizoponza!
Mimi kukomesha huyo anko ningeendelea na huyo msichana
 
Kuna demu nilimwelewa alikuwa anaishi nyumba ya kupanga yeye na Dada yake
Mimi pia nilikuwa mmoja wa wapangaji wa nyumba hiyo so nikaona kitonga hiki hapa

Me nikapiga sound akajaa...
Mtoto kila kitoka job anaingia geto nakula vitu...

Dada yake alikuwa na kawaida ya kwenda kwenye kazi zake za Barmaid aweza kukesha au akarudi muda umekwenda...

Siku ya tukio..
Mtu mbad siku hiyo nikamuita mtoto nakawanajipigia taratibu ..
Basi bwana tukanogewa tukahamishia majeshi chumbani show show..

Muda ukawa umekwenda kama saa 6 usiku tukasikia boda imesimama nje ya nyumba tukajua tu sister huyo nikajitahidi kumchomoa mtoto wapi!! Nikawa nimechelewa aisee mtoto akagoma kwenda usiku huo kwa sister akawa analia tu ....

Nikajifanya kidume kwenda kuongea na sister wapi sister akamsusia kwangu
Nikaona mambo si ndio haya
Nikanyandua mtoto usiku kucha huku tukifalijiana kuwa sister ataelewa tu ..

Kufupisha tu majanga niliyopata ilibidi tu nitandike daluga kuhama nyumba ile ...
Na nimejifunza cheap is cost...
 
Loooh 🤣🤣🙌🏾
Mwaka huu mwezi wa 5 nilipata safari ya kikazi kwenda Dar.

Ila kabla ya hiyo safari mwezi wa 2 nilishasafiri kutoka Dar kuja Mkoani na kwenye siti nilikaa na mtoto mmoja hivi mzuriii.

Kwenye maongezi aliniambia yeye yupo UDSM anasoma mwaka wa pili bachelor.
Then huku Mkoani ni kwao.
Hivyo tulivyoshuka tukabadilishana namba na kila mtu akala njia yake.

Hivyo nilimpa taarifa kuwa nakuja Dar nitashukia guest.

Aliniomba nishukie kwa dada ake ila dada ake na shemeji hawapo wamesafiri.

Mwaka nikafika Mbezi nikachukua daladala mpaka kwao.

Nilifika mida ya saa 11 jioni.

Hivyo mpaka Saa 4 nilijihakikishia kweli hakuna mtu zaidi yake.

Basi akapika then tukala na kwenda kulala.

Bwanaa ile alfajiri nipo room ya demu napiga morning glory...
Ghafla mlango wa chumba cha demu unafunguliwa na dada ake demu anatukuta nipo juu ya kiuno cha mdogo ake napiga dog style..!!!

Kumbe dada mtu alikuwa na funguo then alifungua milango na mageti na alivyoingia ndani alienda direct kwenye chumba cha demu.

Sisi kwakuwa tulikuwa tunalizana hata hatukusikia milango ikifunguliwa.

Na bahati mbaya demu hakufunga mlango na funguo.

Dada mtu kuona vile alirudi haraka, aisee nilivaa fasta na kusepa.

Hata sijui ile nyumba nilitokaje mzima.

Ila ndani ya dakika 2 baada ya kufumaniwa nilikua nje Nina rasket yangu na nishavaa na kukimbia.

Dah ilikuwa nomaa sanaaa

#YNWA
 
Kuna demu nilikuwa napiga, alishakuja kulala kwangu mara kadhaa.

Nilikuwa nikitaka kumtia namtuma bodaboda ninaejuana nae anamfata anamleta geto.

Siku nimetoka safari, ilikuwa usiku na mkuyenge ulikuwa unahitaji, kama kawaida yangu nikamtuma boda wangu akamchukue yule dem, ilikuwa majira ya saa 4 usiku, lakini mpaka saa tano unusu boda hajafika na yule manzi, nikipiga simu ya yule manzi haipatikani, yule boda haipokelewi, nikajua huenda yule boda anamkaza yule demu, fasta tu nikachukua boda mpaka mazingira anayoishi yule duu, nikaenda hadi dirishani nasikiliza, nikawa nasikia kama miguno, hasira zikanipanda nikamuita yule demu kwa nguvu, nikazunguka hadi mlangoni.

Ile nakaribia tu mlangoni, mlango ukafunguliwa likatoka libraza tolu flani, nikaona hii ni hatari ikabidi nigeuze nianze kutoka mkuku, lile lijamaa lilirusha kitu kama rungu, kama sio mchi wa kinu, likanipiga begani, nilianguka, nikajitahidi kukimbia mpaka geto, hapo hadi ndala niliziacha palepale, geto pekupeku na pensi na tshirt, kesho nakuja kupata stori kwa yule boda kuwa kumbe jana yake lilimtaitisha, boda akajitetea sana ndo likamuacha, kumbe alikuwa mke wa lile jamaa.

Demu akaja kuniona geto nikamwambia aende tu kwa mumewe mana nilitaka kufa kwa ajili yake.

Niliuguza bega miezi mitatu.
Aisee nipo ofisini nimecheka kama fala wazamu, eti lile lijamaa lilinirushia kitu kama rungu au kama sio mchikichi wa kinu, hii nchi inavijana wa hovyo sana akii
 
Mwaka huu mwezi wa 5 nilipata safari ya kikazi kwenda Dar.

Ila kabla ya hiyo safari mwezi wa 2 nilishasafiri kutoka Dar kuja Mkoani na kwenye siti nilikaa na mtoto mmoja hivi mzuriii.

Kwenye maongezi aliniambia yeye yupo UDSM anasoma mwaka wa pili bachelor.
Then huku Mkoani ni kwao.
Hivyo tulivyoshuka tukabadilishana namba na kila mtu akala njia yake.

Hivyo huo mwezi wa 5 nilimpa taarifa kuwa nakuja Dar nitashukia guest.

Aliniomba nishukie kwa dada ake ila dada ake na shemeji hawapo wamesafiri.

Mwana nikafika Mbezi nikachukua daladala mpaka kwao.

Nilifika mida ya saa 11 jioni.

Hivyo mpaka Saa 4 nilijihakikishia kweli hakuna mtu zaidi yake.

Basi akapika then tukala na kwenda kulala.

Bwanaa ile alfajiri nipo room ya demu napiga morning glory...
Ghafla mlango wa chumba cha demu unafunguliwa na dada ake demu anatukuta nipo juu ya kiuno cha mdogo ake napiga dog style..!!!

Kumbe dada mtu alikuwa na funguo then alifungua milango na mageti na alivyoingia ndani alienda direct kwenye chumba cha demu.

Sisi kwakuwa tulikuwa tunalizana hata hatukusikia milango ikifunguliwa.

Na bahati mbaya demu hakufunga mlango wa chumba chake na funguo.

Dada mtu kuona vile alirudi haraka, aisee nilivaa fasta na kusepa.

Hata sijui ile nyumba nilitokaje mzima.

Ila ndani ya dakika 2 baada ya kufumaniwa nilikua nje Nina rasket yangu na nishavaa na kukimbia.

Dah ilikuwa nomaa sanaaa

#YNWA
Hapo ulikua na chance ya kumla na dada mtu, Vipi demu hukumuuliza nini kiliendelea?
 
Nililipa kisasi kikubwa sana! Yule uncle mkewe alifariki Kama baada ya miaka 3 baadae akaoa mke mwingine binti tu kamzidi umri! Nilijiapiza kulipa kisasi ikibidi alee mtoto wangu!! Na Ndio ilivokua!
duh kanakwamba kuna siku utafuata mtoto wako kwake au sio
 
Kuna demu nilikuwa napiga, alishakuja kulala kwangu mara kadhaa.

Nilikuwa nikitaka kumtia namtuma bodaboda ninaejuana nae anamfata anamleta geto.

Siku nimetoka safari, ilikuwa usiku na mkuyenge ulikuwa unahitaji, kama kawaida yangu nikamtuma boda wangu akamchukue yule dem, ilikuwa majira ya saa 4 usiku, lakini mpaka saa tano unusu boda hajafika na yule manzi, nikipiga simu ya yule manzi haipatikani, yule boda haipokelewi, nikajua huenda yule boda anamkaza yule demu, fasta tu nikachukua boda mpaka mazingira anayoishi yule duu, nikaenda hadi dirishani nasikiliza, nikawa nasikia kama miguno, hasira zikanipanda nikamuita yule demu kwa nguvu, nikazunguka hadi mlangoni.

Ile nakaribia tu mlangoni, mlango ukafunguliwa likatoka libraza tolu flani, nikaona hii ni hatari ikabidi nigeuze nianze kutoka mkuku, lile lijamaa lilirusha kitu kama rungu, kama sio mchi wa kinu, likanipiga begani, nilianguka, nikajitahidi kukimbia mpaka geto, hapo hadi ndala niliziacha palepale, geto pekupeku na pensi na tshirt, kesho nakuja kupata stori kwa yule boda kuwa kumbe jana yake lilimtaitisha, boda akajitetea sana ndo likamuacha, kumbe alikuwa mke wa lile jamaa.

Demu akaja kuniona geto nikamwambia aende tu kwa mumewe mana nilitaka kufa kwa ajili yake.

Niliuguza bega miezi mitatu.
Daaah..mkuu umenichekesha sana yani
 
Kuna demu nilikuwa napiga, alishakuja kulala kwangu mara kadhaa.

Nilikuwa nikitaka kumtia namtuma bodaboda ninaejuana nae anamfata anamleta geto.

Siku nimetoka safari, ilikuwa usiku na mkuyenge ulikuwa unahitaji, kama kawaida yangu nikamtuma boda wangu akamchukue yule dem, ilikuwa majira ya saa 4 usiku, lakini mpaka saa tano unusu boda hajafika na yule manzi, nikipiga simu ya yule manzi haipatikani, yule boda haipokelewi, nikajua huenda yule boda anamkaza yule demu, fasta tu nikachukua boda mpaka mazingira anayoishi yule duu, nikaenda hadi dirishani nasikiliza, nikawa nasikia kama miguno, hasira zikanipanda nikamuita yule demu kwa nguvu, nikazunguka hadi mlangoni.

Ile nakaribia tu mlangoni, mlango ukafunguliwa likatoka libraza tolu flani, nikaona hii ni hatari ikabidi nigeuze nianze kutoka mkuku, lile lijamaa lilirusha kitu kama rungu, kama sio mchi wa kinu, likanipiga begani, nilianguka, nikajitahidi kukimbia mpaka geto, hapo hadi ndala niliziacha palepale, geto pekupeku na pensi na tshirt, kesho nakuja kupata stori kwa yule boda kuwa kumbe jana yake lilimtaitisha, boda akajitetea sana ndo likamuacha, kumbe alikuwa mke wa lile jamaa.

Demu akaja kuniona geto nikamwambia aende tu kwa mumewe mana nilitaka kufa kwa ajili yake.

Niliuguza bega miezi mitatu.
Daaah..mkuu umenichekesha sana yani
 
Kuna demu nilikuwa napiga, alishakuja kulala kwangu mara kadhaa.

Nilikuwa nikitaka kumtia namtuma bodaboda ninaejuana nae anamfata anamleta geto.

Siku nimetoka safari, ilikuwa usiku na mkuyenge ulikuwa unahitaji, kama kawaida yangu nikamtuma boda wangu akamchukue yule dem, ilikuwa majira ya saa 4 usiku, lakini mpaka saa tano unusu boda hajafika na yule manzi, nikipiga simu ya yule manzi haipatikani, yule boda haipokelewi, nikajua huenda yule boda anamkaza yule demu, fasta tu nikachukua boda mpaka mazingira anayoishi yule duu, nikaenda hadi dirishani nasikiliza, nikawa nasikia kama miguno, hasira zikanipanda nikamuita yule demu kwa nguvu, nikazunguka hadi mlangoni.

Ile nakaribia tu mlangoni, mlango ukafunguliwa likatoka libraza tolu flani, nikaona hii ni hatari ikabidi nigeuze nianze kutoka mkuku, lile lijamaa lilirusha kitu kama rungu, kama sio mchi wa kinu, likanipiga begani, nilianguka, nikajitahidi kukimbia mpaka geto, hapo hadi ndala niliziacha palepale, geto pekupeku na pensi na tshirt, kesho nakuja kupata stori kwa yule boda kuwa kumbe jana yake lilimtaitisha, boda akajitetea sana ndo likamuacha, kumbe alikuwa mke wa lile jamaa.

Demu akaja kuniona geto nikamwambia aende tu kwa mumewe mana nilitaka kufa kwa ajili yake.

Niliuguza bega miezi mitatu.

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hapo ulikua na chance ya kumla na dada mtu, Vipi demu hukumuuliza nini kiliendelea?
Anasema dada ake alichuna tu.
Nilivyomuhoji zaidi alisema, labda dada aliogopa akimwambia mumewe atakua kadhalilisha familia yotee.

#YNWA
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🏾🙌🏾
 
Back
Top Bottom