Kuna demu nilikuwa napiga, alishakuja kulala kwangu mara kadhaa.
Nilikuwa nikitaka kumtia namtuma bodaboda ninaejuana nae anamfata anamleta geto.
Siku nimetoka safari, ilikuwa usiku na mkuyenge ulikuwa unahitaji, kama kawaida yangu nikamtuma boda wangu akamchukue yule dem, ilikuwa majira ya saa 4 usiku, lakini mpaka saa tano unusu boda hajafika na yule manzi, nikipiga simu ya yule manzi haipatikani, yule boda haipokelewi, nikajua huenda yule boda anamkaza yule demu, fasta tu nikachukua boda mpaka mazingira anayoishi yule duu, nikaenda hadi dirishani nasikiliza, nikawa nasikia kama miguno, hasira zikanipanda nikamuita yule demu kwa nguvu, nikazunguka hadi mlangoni.
Ile nakaribia tu mlangoni, mlango ukafunguliwa likatoka libraza tolu flani, nikaona hii ni hatari ikabidi nigeuze nianze kutoka mkuku, lile lijamaa lilirusha kitu kama rungu, kama sio mchi wa kinu, likanipiga begani, nilianguka, nikajitahidi kukimbia mpaka geto, hapo hadi ndala niliziacha palepale, geto pekupeku na pensi na tshirt, kesho nakuja kupata stori kwa yule boda kuwa kumbe jana yake lilimtaitisha, boda akajitetea sana ndo likamuacha, kumbe alikuwa mke wa lile jamaa.
Demu akaja kuniona geto nikamwambia aende tu kwa mumewe mana nilitaka kufa kwa ajili yake.
Niliuguza bega miezi mitatu.