Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahah..Mkuu mm kwakwel huwa naepusha shari mapema sanaa.Huwa sipendelei mazoea kabisaa na hawa watoto.hata kwa mbaki yan siwataki.iwe kazi au kitaan nacheza nao mbal maana mwisho wa siku ndio wanaishia huku kwenye kupiga mizinga.Na mm sipendi kabisaa kuombwa hela.yan nachukia sana kuombwa hela na mabinti.so ukitaka usiliwe vyako na ww usile vya watu.Mimi huwa nikipigiwa simu na mpenzi wangu(mchepuko) nikisikia tu "mpenzi nikuambie kitu" najua huyu anataka kunidanganya nimpe hela ndefu basi hapohapo nakata simu haraka natoa betri na line naficha kabisa uvunguni mwa kitanda kama wiki hivi ndiyo nawasha simu tena
Kilw kisa ulichosema ukisafir watoto wa nje wanapaka dawa kwenye maziwa ila kuna mmoja ulikutana nae yakaenda fresh ulikimalizia maana nakitafuta sikion nataka kujifunza jambo ilikuweje[emoji23][emoji23][emoji23]niliwahi kufanya biashara ya maiti... Nikapeleka maiti feki usiku wa manane eneo la tukio nikalipwa changu nikasepa kufika home nimelipwa pesa feki[emoji24][emoji24][emoji23][emoji23]
Jr[emoji769]
Watapeli tu chamdeko, wajinga ndio waliwao, sasa wewe utafanyaje na mapopoma wanajileta wenyewe
Sent using my nokia ya tochi
Ipo siku Tuu!Mimi bingwa wa kutapeli wanaume wa mitandaoni wanitumie nauli.
Kama ni utapeli basi na mimi nipo kwenye hilo kundi najiuliza nini sababu mbna kazi ninayo pesaa ninazo lakini natapeli hela za nauli?
Basi najikuta na kesho naendelea tu kutapeli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ipo siku Tuu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kisha jamaa wakanitext sisi sio maboya kihivyo... Tulikuwa tunakufuatilia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jr[emoji769]
Post za mwanzoni ngoja nikutafutieKilw kisa ulichosema ukisafir watoto wa nje wanapaka dawa kwenye maziwa ila kuna mmoja ulikutana nae yakaenda fresh ulikimalizia maana nakitafuta sikion nataka kujifunza jambo ilikuweje
Sent using Jamii Forums mobile app
Ww tukikukamata tuta kusu.gu.aMimi bingwa wa kutapeli wanaume wa mitandaoni wanitumie nauli.
Kama ni utapeli basi na mimi nipo kwenye hilo kundi najiuliza nini sababu mbna kazi ninayo pesaa ninazo lakini natapeli hela za nauli?
Basi najikuta na kesho naendelea tu kutapeli.
Sent using Jamii Forums mobile app
😎😎 sio muda mrefu.Ngoja nikuache ujisahau kwanza.Nitakukumbusha hil wakat ushaelekea kibla tayar kuchinjwa
😎😎 sio muda mrefu.Ngoja nikuache ujisahau kwanza.Nitakukumbusha hil wakat ushaelekea kibla tayar kuchinjwa
Moyo uligoma kabisa kumpa kitu yanguMimi hapo ndio hua mnanishangaza dada zangu. Sasa wewe unachukua laki ya mtu mwenye hela nyingi halafu unakimbia badala ungempa papuchi ungekua unajivutia zako mpunga wa maana kiulainii ungekuta saiz kashakujengea nyumba n.k. Wakati huo huo utakuta kuna kijamaa kinakutafuna bure bure tuu ata hakikupi kitu wewe ndio unakihudumia
Ni kwamba jamaa hatazamiki au ni mbinu alikosa? Maana kama ni hela anazo 😂Moyo uligoma kabisa kumpa kitu yangu
Huwezi amini ni handsome jamaa ila moyo wangu tu haukumpendaNi kwamba jamaa hatazamiki au ni mbinu alikosa? Maana kama ni hela anazo 😂
Hua inatokea lakiniHuwezi amini ni handsome jamaa ila moyo wangu tu haukumpenda
Hainaga formula mkuu, anaweza toa na habari ndio ikaishia hapo hapoMimi hapo ndio hua mnanishangaza dada zangu. Sasa wewe unachukua laki ya mtu mwenye hela nyingi halafu unakimbia badala ungempa papuchi ungekua unajivutia zako mpunga wa maana kiulainii ungekuta saiz kashakujengea nyumba n.k. Wakati huo huo utakuta kuna kijamaa kinakutafuna bure bure tuu ata hakikupi kitu wewe ndio unakihudumia
[emoji16]Biashara ya maiti ikoje mkuu?[emoji23][emoji23][emoji23]niliwahi kufanya biashara ya maiti... Nikapeleka maiti feki usiku wa manane eneo la tukio nikalipwa changu nikasepa kufika home nimelipwa pesa feki[emoji24][emoji24][emoji23][emoji23]
Jr[emoji769]