Visa vya matapeli na watoto wa mjini

Visa vya matapeli na watoto wa mjini

NGOJA NIWAPE MKASA MMOJA

kuna boss wangu juzi nimemtapeli kazi aliyoniandikia pamoja na 50000 ya lodge.

Alikuwa ananitongoza nikakubali nikamwambia aniandalie document flani ambazo nilitakiwa nikaguliwe kazini kwa kuwa alijua atapata mzigo akaniandalia hizo document.

Siku ya kuzifata akaniambia yupo pale Madengo bar ya Dodoma wengi wanaifahamu. Basi nikaenda pale nikaagiza savvana kama mbili na Kitimoto rost nikazifukia nikala nikashiba.

Nikamwambia document zikwapi akasemaa hizi hapa kwenye bahasha nikazichukua nikaweka kwenye mkoba nikatulia.

Akasema tutafute lodge tukalale mm nikamwambia kwa sababu wewe ni mheshimiwa watu wakikuona itakuwa shida unatengeneza skendo nipe hela mm nikachukue chumba pale Simba hotel alafu nakupigia simu unakuja.

Akawa amenipa elfu 50000 ya chumba mm nikachukua pikpik ndruuuuki mpaka Geto kwangu.

Nilivyofik ninatumia sms usinitafute mm nipo nyumbani.

Hapa nilipo nawaza siku nikipata shida ya kikazi yeye ndiye boss wa hicho kitengo atanisaidia?

Maana alimpigia simu mpaka kiongozi wa ofisi yetu kumwambia jinsi mfanyakazi wake nilivyomtapeli.
Kwani wewe Muzine ungepata hasara gani ungempa mwana?
Angekojoa Tena sio ndani kwako Ila kwenye kondom na kukuachia papuchi yako ambapo ungeipiga maji ya Moto ingerudi kwenye Khali yake ya zamani Kama OG kabisa.
 
Kuna bar moja ilikua Sam Nujoma inaitwa Cafe Latino. Kuna mdada mmoja siku moja alivalia Kama ma barmaid wa pale. Alipoingia tu akaanza kuchukua order kwa kila aliyejipendekeza Kisha akasepa na hela zote.
Hslafu pale ni barabarani ilikuwa ni rahisi tu kusepa na usafiri wowote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na mm nilishawahi kutapeliwa pale ubungo nakumbuka nilitoka kukata tiketi ya kurudi shule mbeya natoka nakutana na teja teja fulani kabeba simu nzuri kabisa aiseee. Ananiomba kuwa yuko alosto nimsaidie akazimue anajisikia vibaya. Basi nilikua na shoga angu akasema nunua tuu hela yenyewe ndogo si tumeshakata tiketi simu kama hyo madukani utapata kwa hela hyo wapi??? Basi ndo kumpa hela sijui hata walibadilisha saa ngapi na akili sijui zilipotea saa ngapi maana hata ku reason hatu ku reason, alinipa kibahasha kimefungwa ila shape ni kama simu!!! heee si akasepa na sisi tukasema tusogee mbele tukafungulie kule lahaulaaa kufungua sabuni hiyooooo Isopooo mweee. Sikucheka wala kulia ila nilikenua tuu haieleweki ni kicheko au kilio maana hela ya pocket money ndo nshaipoteza hivyooo.
Ule ni uchaw wakununua unauzwa pale k koo ukitaka kumkomesha akitaka kuweka simu kwenye mwambie hpn mkono kwamkono hakubali ng'o
 
Nilimfanyia ushenzi dada mmoja aliyetaka kujifanya yeye ni mtoto wa mjini, baada ya kumtia swaga akaeleweka lakini eti kwa kuwa alikuwa anataka aende kwanza nyumbani kuwapelekea hela, nikamuuliza ulikuwa unataka kupeleka sh ngapi akasema elfu 80 lakini hapo alikuwa ana sh elfu 50 tu so kama nitamuongezea 30 itakuwa vzr.

Nikamwambia asiwe na tatizo nitamwambia kijana wangu wa m pesa awatumie yote elfu 80 wala asiwe na wasiwasi.......basi nikampigia jamaa yangu mmoja hivi ambae kwa kweli akili zake anazijuaga yeye mwenyewe tu nikamuelezea shida yangu akasema haina shida tumtumia hyo namba, mdada akanipa mimi ndo niitume .......basi nikaituma kwa sms kwenda kwa huyo jamaa yangu mwehu mwehu, halafu kwa chini nikaongezea maneno USITUME HELA NI MISSION MAALUM.......baada ya muda tukajisogeza sehemu kupata kilaji, halafu nikampigia tena jamaa yangu nikamwambia ukishatuma elfu 80 kwenye ile namba na mi nitumie elfu 80 jamaa akakubali, nikamwambia kimwali kwamba wakati nasubiri muamala wangu basi tuagize kwa sababu yeye ana ile elfu 50 hela ikitumwa namrudishia.......kweli bana .........tukaanza kukata miti na kupanda miti huku nyama yetu pendwa ya kitimoto ikizidi kuteketea mezani, nikamshawishi tuchukue room akakubali, wakati huo kasahau na kuulizia kwenye ile namba aliyonipa kama imepokea elfu 80 au la.

Room akalipia yeye na nilivomuona alikuwa ana zaidi ya ile elfu 50 alonambia kuwa anayo, tukaendelea kupiga mtu kwa fujo, ili kumkoleza nikamtext jamaa yangu nikamwambia anitumie fasta laki moja, dakika chache tu muamala ukasoma 105,000/= nikamuonesha bi mdada akazidi kupagawa........ikawa kampa kampa tena mara akaachia mzigo, nilisimamia show kibabe maana nilikuwa nimepiga balimi mdogo mixing na jibapa........nikamuacha hoi, tukapumzika kidogo halafu nikamwambia twende nje tukaendelee kunywa, tukatoka nikamwambia aagize, nae akaagiza mi nikamwambia naenda kutoa ile hela tuendelee kupombeka.........hajaniona hadi leo na hiyo ilikuwa 2013

komando kinjekitile ngwale
Halafu tukisikia kwenye vyombo vya habari kuwa wameua mtu tunawaona ni viumbe katili saana. Unaweza kukuta alibeba mimba pia siku hii.
 
NGOJA NIWAPE MKASA MMOJA

kuna boss wangu juzi nimemtapeli kazi aliyoniandikia pamoja na 50000 ya lodge.

Alikuwa ananitongoza nikakubali nikamwambia aniandalie document flani ambazo nilitakiwa nikaguliwe kazini kwa kuwa alijua atapata mzigo akaniandalia hizo document.

Siku ya kuzifata akaniambia yupo pale Madengo bar ya Dodoma wengi wanaifahamu. Basi nikaenda pale nikaagiza savvana kama mbili na Kitimoto rost nikazifukia nikala nikashiba.

Nikamwambia document zikwapi akasemaa hizi hapa kwenye bahasha nikazichukua nikaweka kwenye mkoba nikatulia.

Akasema tutafute lodge tukalale mm nikamwambia kwa sababu wewe ni mheshimiwa watu wakikuona itakuwa shida unatengeneza skendo nipe hela mm nikachukue chumba pale Simba hotel alafu nakupigia simu unakuja.

Akawa amenipa elfu 50000 ya chumba mm nikachukua pikpik ndruuuuki mpaka Geto kwangu.

Nilivyofik ninatumia sms usinitafute mm nipo nyumbani.

Hapa nilipo nawaza siku nikipata shida ya kikazi yeye ndiye boss wa hicho kitengo atanisaidia?

Maana alimpigia simu mpaka kiongozi wa ofisi yetu kumwambia jinsi mfanyakazi wake nilivyomtapeli.
Malaya wenye tabia chafu kama wewe wanajionaga wajanja, mpaka pale wanapokuja kutekwa,kubakwa nyuma na mbele. Halaf wanaingiziwa chupa iliyovunjwa na jipande la mti. Wanakutwa wamekufa kifo cha kinyama,watu wanashangaa imekuaje. Jiandae kisaikolojia maana sio wote unao wafanyia hivyo wana moyo wa kusamehe
 
Mshana Jr hiki kisa ni cha kweli na kilitokea kama miaka kumi iliyopita pale Kariakoo. Alikuwepo bwana mmoja ana duka lake akiuza nguo za jumla. Wateja wake wengi walikuwa watu wa mikoani na wengine kutoka nje ya nchi kama Zambia. Biashara ilikuwa inachanganya kweli kweli. Nje ya duka lake alikuwepo mzee mmoja vijana wakimwita babu. Huyo mzee kazi yake ilikuwa ni kufunga mafurushi ya nguo za wateja walizonunua tayari kwa kusafirisha kwenda mikoani. Alikuwa maarufu na mwuungwana kweli kweli na wateja wengi walikuwa wanamtumia kufunga mizigo yao. Lakini huyu mzee alikuwa na kazi nyingine ya ziada i.e. alikuwa anatumiwa na mwenye duka kupeleka fedha za mauzo benki. Ilikuwa hivi: kwa vile duka lilikuwa linauza mauzo mengi, mwenye duka alikuwa anaogopa kutoka na fedha yeye mwenyewe kupeleka bank kwa kuogopa majambazi (yalishatokea matukio mengi ya watu kuvamiwa wakati wa kupeleka fedha bank). Hivyo alikuwa anakusanya mauzo ya hata wiki moja halafu anafunga kwenye mfuko mchafu chafu anampa yule mzee anapeleka bank ambako mke wa mwenye duka alikuwa anatangulia ili ku-deposit. . Lakini kuna kitu kimoja. Yule mzee alikuwa anasema ni mtu wa Morogoro lakini hakuna aliyekuwa anajua hasa undani wake. Hata nyumba aliyokuwa anaishi haswa hakuna aliyekuwa anajua ila ilifahamika tu kuwa anaishi Manzese Midizini. Kusema kweli alikuwa ni mtu mzima na hakuna aliyefikiri hata kidogo angeweza kuasi. Na pale mtaani alikuwa maarufu sana na alikuwa amefanya kazi ya kufunga mizigo kwa muda mrefu. Kumbe alikuwa anawalia timing... siku moja akapewa sh milioni 24 apeleke bank (kipindi hicho ni fedha nyingi). Akatokomea anakojua mwenyewe. Mke wa mwenye duka akasuburi bank wee alipoona hatokei ndiyo wakashtuka. Wakajaribu kufuatilia mpaka nyumba aliyokuwa anaishi Manzese lakini wakaambia alishahama kama miezi mitatu iliyopita. Walijaribu kufuatilia sana mpaka Morogoro lakini hakuna aliyekuwa anajua hasa ni mwenyeji wa Morogoro sehemu gani.
Moyo wa mtu ni kiza kinene sana na kwenye pesa hufai kumwamini yoyote awaye yote
 
Bora umeleta huu Uzi. Ktk Uzi wetu ile wa dar na vituko vyake nilikugusia kuhusu utapeli uliokuwa unafanyika pale sokoni manzese kituo cha Bakhresa. Aisee ktk dunia ya utapeli mpaka tunaingia mitamboni mhaya anaongoza na hakimbii kesi.

Pale kulikuwa na wazee watu wazima wahaya ndiyo walikuwa wanaongoza jahazi na wengine wanafuatia. Hivi ulishawai kutapeliwa na mzee wa miaka 60-70 basi hiyo ni manzese. Nitakuwa natupia kidogokidogo as I could remember and get them from the original source. Ila kwa hint tuu JB muigizaji alikuwa anafundishwa utapeli manzese.

Matapeli wazoefu walikuwa wanaitwa walimu na wale wasiowazoefu walikuwa wanaitwa wanafunzi.


Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Matapeli wazoefu walikuwa wanaitwa walimu na wale wasiowazoefu walikuwa wanaitwa wanafunzi.😀
 
1741972278650.jpg
 
Jamaa mmoja alipanda zile flats za Ubungo zile za zamani mpaka juu halafu akaaza kushuka taratibu kidogo kuna muuza mayai akapita na baiskeli yake... (Ilikuwa ratiba yake kupita kila siku kumbe jamaa kamlia timing)
Akiwa ghorofa ya tatu akamuita apandishe tray 2 za mayai ghorofa ya nne... Halafu akajifanya kumuita mkewe ayapokee... Wakapishana ghorofa ya pili akamwambia atamkuta chini anamlindia baiskeli na mayai yake kisha atamlipa
Kwa mwonekano wake wa kipapaa muuza mayai hakumtilia shaka... Lakini kufika ghorofa husika hakuna watu wote wameshaondoka kurudi chini hakuna baiskeli wala mayai

Jr[emoji769]
Dah, huyu jamaa ana roho ya kikatili sana aisee 😃
 
Ukisikia mjini shule, shamba darasa. Jiulize hao waliotunga huo usemi walikuwa na maana gani ama walikutana na masahabu gani!

Akili ya binadamu ni kitu cha kushangaza mno. Kina uwezo wa ajabu hasa pale mtu anapokutana na changamoto mbalimbali. Huko vijijini akili nyingi zimelala kutokana na kukosa changamoto za kimaisha.

Kijijini hata kama huna kazi huna pesa utaishi tu... Sio mjini! Mjini tangu kunapambazuka mpaka kunakuchwa kila kitu ni shekeli. Hakuna cha bure mjini. Lakini vilevile mjini kila mtu anatamani kuishi maisha fulani lakini changamoto ya elimu kipato na ajira ndio kikwazo.

Hivyo basi kuweza kukabiliana na changamoto hizo watu kila uchao hubuni mbinu mpya za kuingiza kipato. Kuanzia utapeli, wizi, ujambazi, kukaba, kurubuni nknk. Kila mmoja wetu hawezi kukosa kisa cha hawa jamaa wanaoishi kwa ujanja ujanja. Nitaaza mimi kwa kusimulia vichache

Kisa cha kwanza
Huyu jamaa yeye hakuwa na kazi maalum. Ila muda wote ni msafi akionekana kama afisa fulani hivi. Siku moja akawa kakosa nauli kabisa ya kurudi nyumbani kwake Tabata na yuko kijitonyama.

Alichofanya ni kuwarubuni wale jamaa wa magari ya majitaka kuwa anataka huduma hiyo Tabata... Wakapatana bei akaenda nao mpaka mtaa wa pili kufika kwake.

Akashuka huku akiwaelekeza uchochoro mmoja kuwa ndio kwake... Akaingia hapo akatokea upande wa pili akasepa mazima.... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kisa cha pili.
Ni wale jamaa wanaorubuni watoto kuwanunulia chakula ama chochote. Ataenda na mtoto hapo mahali ataagiza kama ni bidhaa ama chakula.... Kisha atasepa na kumuacha bond mtoto wa watu..

Karibu nawe kabla sijaendelea na visa vingine

Jr[emoji769]
Iko kisa cha kwanza noma saana😀😀 duuh!!!
 
Naona visa vingi hapa ni vya mapenzi basi ngoja nami nitoe changu
Binti mmoja mkazi wa kino shombe fulani hivi alikuwa na trick yake moja kujifanya ana maruhani.. Anakunywea na kukulia vyako lakini kila ukitaka mchezo anakupanga au anakusubirisha.. Akishakufanyia hivyo kama mara nne ya tano atakubali ila mkifika gesti anapandisha maruhani yake majini mpaka mashetani... Kwa jinsi alivyo msanii itabidi tu utoke nduki umwachie na chumba
Kupata hizi habari nikasema subiri huyu nitamkomesha...
Tukafanya mitoko kama miwili hivi ananipanga... Mimi sikuwa na pressure nikamwambia ngono kwangu sio kipaumbele... Nyoko zake akahadaika... Mtoko wa tatu tukatoka mpaka gesti moja Mandela road...
Baada ya kula na kunywa tukazama ndani.... Kufika ndani akaona sina pressure naye.... Nilikuwa na kibegi changu nimeweka mambo yangu kiko mezani... Basi akaanza vituko... Mara akaanza kujinyoosha na kujinyonga kama nyoka huku anapiga miayo ya kujilazimisha...
Mara akasema anasikia joto, mara baridi halafu taratibu akaanza kupandisha madude yake
Kwenye kibegi changu kulikuwa na joka jeusi la plastic, kinyonga mfu, na mahirizi kibao.... Basi wakati anaendelea kupandisha Mimi nikachukua kibegi changu na kutoa zana niague mgonjwa.....
Kuliona lile joka nilisikia tu akisema mama nakufa... Halafu mashetani, majini na maruhani yote yakaingia mitini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa mshtuko alioupata mpaka namaliza round ya kwanza ndio nikaona anaanza kutoa ushirikiano... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....

Jr[emoji769]
Ama kweli maandishi hayafutiki😀😀😀👐🏿👐🏿👐🏿👐🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿
 
Back
Top Bottom