Mwingine huu hapa, ni juzi tu bwana mmoja alienda M-pesa akaomba huduma ya k utoa akaambiwa sawa, wakati akiendelea utaratibu wa kutoa, mara aaah shit! Imezimika,akamwomba m pesa am-boostie, akajieleza ana mgonjwa wamemleta hosp jirani na hapo akaomba 20000 apeleke hosp. zinahitajika haraka, akampa namba ya siri ili cm ikpt chaji amtolee laki, akapewa alizoomba akaondoka, dada wa m pesa akaendelea kuchaji huku akimsbr, sbr jamaa hakuonekana, dada akaamua kuichunguza cm maana haikuwa na dalili ya kuchaji kumbe ilikuwa ni kopo kwenye betr aliweka kicherema cha sabuni
Sent using
Jamii Forums mobile app