Visa vya matapeli na watoto wa mjini

Visa vya matapeli na watoto wa mjini

Hahahahhaha aiseee
Kiukweli kutapeliwa na mwanamke kwenye kabila yetu ya kanda ya ziwa ni ufahari, hasa kama demu mwenyewe ni bomba kama Demiss, Issue ni kutapeliwa na mwanaume mwenzako, ni hasira mpaka kutetemeka na kukubali kweli duniani kuna wajanja kuliko wewe...
 
Hahahahhaha aiseee
Charm decor by then....!! [emoji173]
1556721528905.jpeg
 
Mimi bingwa wa kutapeli wanaume wa mitandaoni wanitumie nauli.

Kama ni utapeli basi na mimi nipo kwenye hilo kundi najiuliza nini sababu mbna kazi ninayo pesaa ninazo lakini natapeli hela za nauli?

Basi najikuta na kesho naendelea tu kutapeli.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe si uliingizwa mjini na yule jamaa kutoka Canada, au nimekuchanganya?
 
Leo nimeingia Supermarket nikachukua Mkate Mkubwa na Maji,
Ajabu tangu nachagua bidhaa kwenye Shelf kuna Mzee mmoja alikuwa ananifuata nyuma mpaka nikaogopa,
nikaenda kaunta kwa Cashier bado ananifuata nyuma!,
Nikarudi kwenye Shelf kuchukua Soda bado Mzee yupo! Duh!
MZEE : Sory kijana kama nimekutisha, unafanana sana na Mwanangu aliyefariki juzi na kuzikwa Makaburi ya Kinondoni,
MIMI: kwa hiyo mzee unataka kusema nini?
MZEE : bahati mbaya Mwanangu amefariki bila hata kusema bai, naomba unisaidie kitu kimoja, wakati naondoka nikikupa Mgongo walau useme BAI BABA! Ili nijisikie kama niliagwa na Marehemu Mwanangu jamani!, nisaidie (akatokwa machozi)
MIMI: hilo tu? Usijali Mzee!.
Kisha Mzee yule akachukua bidhaa zake mafurushi kibao mpaka pale kaunta akahesabiwa vitu vyake akabeba na kunipa Mgongo ili nitimize alichoomba.
MIMI : Bai baba!
MZEE: Bai Mwanangu Mpenzi, asante!!
Mzee yule alipoondoka nikaenda Kwa Cashier na kupigiwa hesabu
CASHIER : Kaka Unadaiwa Tsh 238,500/=
MIMI : kivipi? Yaani Mkate, Maji na Soda pesa yote hiyo? Acha Wizi wewe dada!!
CASHIER: wewe unadaiwa sh 8500 na Baba yako amesema unamlipia bili yake sh 230,000/
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bai BABA!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
 
Kaambiwa akalizike hilo jeneza siku saba kisha akilifukua atayakuta manoti kama yote
tapatalk_1574916696077~2.jpeg
 
Best angu kanieleza Kuna simu nzuri Sana inahitaji laki, nikaagiza na elfu Saba juu ya kutolea, Mara hapokei Mara nipo Safari Mara nilikuwa wapi cjui.... [emoji51][emoji51]Ni mshikaji tulietoka naye mbali mwisho nikajumlisha nabkuongeza nikajua NSHATAPELIWA HAPA ulikuwa mwezi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tulikuwa msibani.. Ni msiba wa jirani, basi bajeti ikawa kidogo imebana sasa wakati wa kuona wapi tutapata jeneza kwa bei nafuu akajitokeza jamaa aliyejifanya marehemu alimsaidia sana kipindi fulani hata kazi ya muhimbili ni yeye alimpa connection
Basi akasema mchango wake yeye ni Kusaidia kupatikana kwa jeneza standard, maua na gharama za mochwari mpaka dawa kwa laki NNE tuu.. Ila akaomba kama ikiwezekana usafiri familia ndio itoe
Mzee mmoja yeye akajitolea pickup.. Jamaa akapewa laki nne na shukrani kama zote... Alienda kumwacha dereva wa pickup kwenye parking za mochwari muhimbili
Best angu kanieleza Kuna simu nzuri Sana inahitaji laki, nikaagiza na elfu Saba juu ya kutolea, Mara hapokei Mara nipo Safari Mara nilikuwa wapi cjui.... [emoji51][emoji51]Ni mshikaji tulietoka naye mbali mwisho nikajumlisha nabkuongeza nikajua NSHATAPELIWA HAPA ulikuwa mwezi

Sent using Jamii Forums mobile app

Jr[emoji769]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]watu wanaroho mbaya sana Aiseee
Tulikuwa msibani.. Ni msiba wa jirani, basi bajeti ikawa kidogo imebana sasa wakati wa kuona wapi tutapata jeneza kwa bei nafuu akajitokeza jamaa aliyejifanya marehemu alimsaidia sana kipindi fulani hata kazi ya muhimbili ni yeye alimpa connection
Basi akasema mchango wake yeye ni Kusaidia kupatikana kwa jeneza standard, maua na gharama za mochwari mpaka dawa kwa laki NNE tuu.. Ila akaomba kama ikiwezekana usafiri familia ndio itoe
Mzee mmoja yeye akajitolea pickup.. Jamaa akapewa laki nne na shukrani kama zote... Alienda kumwacha dereva wa pickup kwenye parking za mochwari muhimbili

Jr[emoji769]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom