Visa vya matapeli na watoto wa mjini

Visa vya matapeli na watoto wa mjini

UTAPELI WA CLUB

ilikuwa tabia yangu na marafiki zangu kutapeli wanaume pale club 7 ya kibo complex
Mwanamme anakufata unacheza anakununulia bia unakunywaa weee anazani baadae mtaondoka wotee
Basi unamtambulisha na rafiki yako mnakunywa bia za bureee mkishalewa mmepombeka vya kutosha mnabonyezana mm namwambia rafiki yangu ngoja nikakojoe huko huko natorokea napanda lift huyo naenda kujipanza kule kwenye parking ambayo ni chombingo letu la kukutana

Na rafiki yangu anasema oooh ngoja nikamtafute G mbna harudi hebu tusubirie hapo kwenye meza tumeacha savvana zipo nusu mwanamme anajua bado tupo tupo.

Baada ya muda mwanamme anakuja kushtuka ameshatorokwa mudaa na sisi hao home.

Club tunanunua savvana moja tu zingine tunatapeli na kutoroka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huu mchezo mbaya sana na tunaumia mioyoni mwetu.

Nilifanyiwa hivi Bukoba, ila mhusika alitokomea rafiki yake kumbe anaililia nafasi.

Nilimaliza shida zangu kwa rafiki yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu mchezo mbaya sana na tunaumia mioyoni mwetu.

Nilifanyiwa hivi Bukoba, ila mhusika alitokomea rafiki yake kumbe anaililia nafasi.

Nilimaliza shida zangu kwa rafiki yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji44][emoji44][emoji87][emoji87][emoji848][emoji23]

Jr[emoji769]
 
UTAPELI WA CLUB

ilikuwa tabia yangu na marafiki zangu kutapeli wanaume pale club 7 ya kibo complex
Mwanamme anakufata unacheza anakununulia bia unakunywaa weee anazani baadae mtaondoka wotee
Basi unamtambulisha na rafiki yako mnakunywa bia za bureee mkishalewa mmepombeka vya kutosha mnabonyezana mm namwambia rafiki yangu ngoja nikakojoe huko huko natorokea napanda lift huyo naenda kujipanza kule kwenye parking ambayo ni chombingo letu la kukutana

Na rafiki yangu anasema oooh ngoja nikamtafute G mbna harudi hebu tusubirie hapo kwenye meza tumeacha savvana zipo nusu mwanamme anajua bado tupo tupo.

Baada ya muda mwanamme anakuja kushtuka ameshatorokwa mudaa na sisi hao home.

Club tunanunua savvana moja tu zingine tunatapeli na kutoroka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umaskini wa hali ya juu.
 
NGOJA NIWAPE MKASA MMOJA

kuna boss wangu juzi nimemtapeli kazi aliyoniandikia pamoja na 50000 ya lodge.

Alikuwa ananitongoza nikakubali nikamwambia aniandalie document flani ambazo nilitakiwa nikaguliwe kazini kwa kuwa alijua atapata mzigo akaniandalia hizo document.

Siku ya kuzifata akaniambia yupo pale Madengo bar ya Dodoma wengi wanaifahamu. Basi nikaenda pale nikaagiza savvana kama mbili na Kitimoto rost nikazifukia nikala nikashiba.

Nikamwambia document zikwapi akasemaa hizi hapa kwenye bahasha nikazichukua nikaweka kwenye mkoba nikatulia.

Akasema tutafute lodge tukalale mm nikamwambia kwa sababu wewe ni mheshimiwa watu wakikuona itakuwa shida unatengeneza skendo nipe hela mm nikachukue chumba pale Simba hotel alafu nakupigia simu unakuja.

Akawa amenipa elfu 50000 ya chumba mm nikachukua pikpik ndruuuuki mpaka Geto kwangu.

Nilivyofik ninatumia sms usinitafute mm nipo nyumbani.

Hapa nilipo nawaza siku nikipata shida ya kikazi yeye ndiye boss wa hicho kitengo atanisaidia?

Maana alimpigia simu mpaka kiongozi wa ofisi yetu kumwambia jinsi mfanyakazi wake nilivyomtapeli.
😂😂😂😂😂 aise wewe mdada ni kiboko, mpaka boss wako daaa 😂😂😂😂
 
Huu uongo wa kuiga stories za kitaa unaleta huku ni utoto.

Kuna utaperi mwingininge inalazima..kwani njaa kibiko.nakumbuka mwaka1998 niliwa safari kuelekea mikoa LINDI NA MTWARA kwenye Mishe zangu za biashara.nilipo fika pale RUFIJI pantoni limealibika,ikalazima watu kukaa kwa siku kazaa,kilicho nikuta sikua na namna,nikaaza utapeli.
Asubuhi,sijakunya chai,sina ela nimeishiwa na njaa bado. hakuna dalili za kuondoka Leo wala kesho,nikaona hapa mtoto wa mjini nashikishwa ukuta.nikaona isiwe shida liwalo na liwe.nikazunguka kwenye vibana ghara namuona mjusi kafiri,nikaua,nikamchukua,nikaweka kwenye karatasi vizuri,nikaingia mgahawani,nikaagiza wali samaki plat mbili,nikazipiga fast a,mwishoni nikaweka yule mjusi kwenye sahani,kwa ujasiri nikamuita muhudum nikamuonyesha,aisee yule dada alistuka,na nikamuambia naenda kuita polisi.matokea yake sikulipa na aliniomba nisitoe siri.na akaniahidi niwe nakula pale bure mpaka siku ya kuondoka.DAAAH UKIZALIWA NJINI UFI NJAA.

Sent using Jamii Forums mobile app
Your
 
NGOJA NIWAPE MKASA MMOJA

kuna boss wangu juzi nimemtapeli kazi aliyoniandikia pamoja na 50000 ya lodge.

Alikuwa ananitongoza nikakubali nikamwambia aniandalie document flani ambazo nilitakiwa nikaguliwe kazini kwa kuwa alijua atapata mzigo akaniandalia hizo document.

Siku ya kuzifata akaniambia yupo pale Madengo bar ya Dodoma wengi wanaifahamu. Basi nikaenda pale nikaagiza savvana kama mbili na Kitimoto rost nikazifukia nikala nikashiba.

Nikamwambia document zikwapi akasemaa hizi hapa kwenye bahasha nikazichukua nikaweka kwenye mkoba nikatulia.

Akasema tutafute lodge tukalale mm nikamwambia kwa sababu wewe ni mheshimiwa watu wakikuona itakuwa shida unatengeneza skendo nipe hela mm nikachukue chumba pale Simba hotel alafu nakupigia simu unakuja.

Akawa amenipa elfu 50000 ya chumba mm nikachukua pikpik ndruuuuki mpaka Geto kwangu.

Nilivyofik ninatumia sms usinitafute mm nipo nyumbani.

Hapa nilipo nawaza siku nikipata shida ya kikazi yeye ndiye boss wa hicho kitengo atanisaidia?

Maana alimpigia simu mpaka kiongozi wa ofisi yetu kumwambia jinsi mfanyakazi wake nilivyomtapeli.
Hivi nyie wanawake matapeli wa mapenzi, kwanini huwaga hamna hofu ya kuacha wazi simu zenu baada ya kutapeli?
Unakuta mwanamke kakutapeli halafu hajihangaishi kufunga simu ama kubadili line!
Huku keshakutapeli, ila ukimpigia eti anakujibu kwamba " nimekwambia nakuja usitoke hapo, kuna kazi namalizia na ukiondoka nitakulaumu!"
Halafu mwanamke unaelewa kabisa penzi jipya la mara ya kwanza linavyokuwaga kivuruge kichwani pa mwanaume!
Acheni kutesa watoto wa wanawake wenzenu kuwatapeli mapenzi,vibaya hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nisamehe jaman
Hivi nyie wanawake matapeli wa mapenzi, kwanini huwaga hamna hofu ya kuacha wazi simu zenu baada ya kutapeli?
Unakuta mwanamke kakutapeli halafu hajihangaishi kufunga simu ama kubadili line!
Huku keshakutapeli, ila ukimpigia eti anakujibu kwamba " nimekwambia nakuja usitoke hapo, kuna kazi namalizia na ukiondoka nitakulaumu!"
Halafu mwanamke unaelewa kabisa penzi jipya la mara ya kwanza linavyokuwaga kivuruge kichwani pa mwanaume!
Acheni kutesa watoto wa wanawake wenzenu kuwatapeli mapenzi,vibaya hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukisikia mjini shule, shamba darasa. Jiulize hao waliotunga huo usemi walikuwa na maana gani ama walikutana na masahabu gani!

Akili ya binadamu ni kitu cha kushangaza mno. Kina uwezo wa ajabu hasa pale mtu anapokutana na changamoto mbalimbali. Huko vijijini akili nyingi zimelala kutokana na kukosa changamoto za kimaisha.

Kijijini hata kama huna kazi huna pesa utaishi tu... Sio mjini! Mjini tangu kunapambazuka mpaka kunakuchwa kila kitu ni shekeli. Hakuna cha bure mjini. Lakini vilevile mjini kila mtu anatamani kuishi maisha fulani lakini changamoto ya elimu kipato na ajira ndio kikwazo.

Hivyo basi kuweza kukabiliana na changamoto hizo watu kila uchao hubuni mbinu mpya za kuingiza kipato. Kuanzia utapeli, wizi, ujambazi, kukaba, kurubuni nknk. Kila mmoja wetu hawezi kukosa kisa cha hawa jamaa wanaoishi kwa ujanja ujanja. Nitaaza mimi kwa kusimulia vichache

Kisa cha kwanza
Huyu jamaa yeye hakuwa na kazi maalum. Ila muda wote ni msafi akionekana kama afisa fulani hivi. Siku moja akawa kakosa nauli kabisa ya kurudi nyumbani kwake Tabata na yuko kijitonyama.

Alichofanya ni kuwarubuni wale jamaa wa magari ya majitaka kuwa anataka huduma hiyo Tabata... Wakapatana bei akaenda nao mpaka mtaa wa pili kufika kwake.

Akashuka huku akiwaelekeza uchochoro mmoja kuwa ndio kwake... Akaingia hapo akatokea upande wa pili akasepa mazima.... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kisa cha pili.
Ni wale jamaa wanaorubuni watoto kuwanunulia chakula ama chochote. Ataenda na mtoto hapo mahali ataagiza kama ni bidhaa ama chakula.... Kisha atasepa na kumuacha bond mtoto wa watu..

Karibu nawe kabla sijaendelea na visa vingine

Jr[emoji769]
Dah nimecheka sana!!!!
 
Hivi nyie wanawake matapeli wa mapenzi, kwanini huwaga hamna hofu ya kuacha wazi simu zenu baada ya kutapeli?
Unakuta mwanamke kakutapeli halafu hajihangaishi kufunga simu ama kubadili line!
Huku keshakutapeli, ila ukimpigia eti anakujibu kwamba " nimekwambia nakuja usitoke hapo, kuna kazi namalizia na ukiondoka nitakulaumu!"
Halafu mwanamke unaelewa kabisa penzi jipya la mara ya kwanza linavyokuwaga kivuruge kichwani pa mwanaume!
Acheni kutesa watoto wa wanawake wenzenu kuwatapeli mapenzi,vibaya hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]

Jr[emoji769]
 
Leo nimeingia Supermarket nikachukua Mkate Mkubwa na Maji,
Ajabu tangu nachagua bidhaa kwenye Shelf kuna Mzee mmoja alikuwa ananifuata nyuma mpaka nikaogopa,
nikaenda kaunta kwa Cashier bado ananifuata nyuma!,
Nikarudi kwenye Shelf kuchukua Soda bado Mzee yupo! Duh!
MZEE : Sory kijana kama nimekutisha, unafanana sana na Mwanangu aliyefariki juzi na kuzikwa Makaburi ya Kinondoni,
MIMI: kwa hiyo mzee unataka kusema nini?
MZEE : bahati mbaya Mwanangu amefariki bila hata kusema bai, naomba unisaidie kitu kimoja, wakati naondoka nikikupa Mgongo walau useme BAI BABA! Ili nijisikie kama niliagwa na Marehemu Mwanangu jamani!, nisaidie (akatokwa machozi)
MIMI: hilo tu? Usijali Mzee!.
Kisha Mzee yule akachukua bidhaa zake mafurushi kibao mpaka pale kaunta akahesabiwa vitu vyake akabeba na kunipa Mgongo ili nitimize alichoomba.
MIMI : Bai baba!
MZEE: Bai Mwanangu Mpenzi, asante!!
Mzee yule alipoondoka nikaenda Kwa Cashier na kupigiwa hesabu
CASHIER : Kaka Unadaiwa Tsh 238,500/=
MIMI : kivipi? Yaani Mkate, Maji na Soda pesa yote hiyo? Acha Wizi wewe dada!!
CASHIER: wewe unadaiwa sh 8500 na Baba yako amesema unamlipia bili yake sh 230,000/
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bai BABA!
 
Leo nimeingia Supermarket nikachukua Mkate Mkubwa na Maji,
Ajabu tangu nachagua bidhaa kwenye Shelf kuna Mzee mmoja alikuwa ananifuata nyuma mpaka nikaogopa,
nikaenda kaunta kwa Cashier bado ananifuata nyuma!,
Nikarudi kwenye Shelf kuchukua Soda bado Mzee yupo! Duh!
MZEE : Sory kijana kama nimekutisha, unafanana sana na Mwanangu aliyefariki juzi na kuzikwa Makaburi ya Kinondoni,
MIMI: kwa hiyo mzee unataka kusema nini?
MZEE : bahati mbaya Mwanangu amefariki bila hata kusema bai, naomba unisaidie kitu kimoja, wakati naondoka nikikupa Mgongo walau useme BAI BABA! Ili nijisikie kama niliagwa na Marehemu Mwanangu jamani!, nisaidie (akatokwa machozi)
MIMI: hilo tu? Usijali Mzee!.
Kisha Mzee yule akachukua bidhaa zake mafurushi kibao mpaka pale kaunta akahesabiwa vitu vyake akabeba na kunipa Mgongo ili nitimize alichoomba.
MIMI : Bai baba!
MZEE: Bai Mwanangu Mpenzi, asante!!
Mzee yule alipoondoka nikaenda Kwa Cashier na kupigiwa hesabu
CASHIER : Kaka Unadaiwa Tsh 238,500/=
MIMI : kivipi? Yaani Mkate, Maji na Soda pesa yote hiyo? Acha Wizi wewe dada!!
CASHIER: wewe unadaiwa sh 8500 na Baba yako amesema unamlipia bili yake sh 230,000/
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bai BABA!
Bai mwanangu
 
Kiukweli kutapeliwa na mwanamke kwenye kabila yetu ya kanda ya ziwa ni ufahari, hasa kama demu mwenyewe ni bomba kama Demiss, Issue ni kutapeliwa na mwanaume mwenzako, ni hasira mpaka kutetemeka na kukubali kweli duniani kuna wajanja kuliko wewe...
 
Kiukweli kutapeliwa na mwanamke kwenye kabila yetu ya kanda ya ziwa ni ufahari, hasa kama demu mwenyewe ni bomba kama Demiss, Issue ni kutapeliwa na mwanaume mwenzako, ni hasira mpaka kutetemeka na kukubali kweli duniani kuna wajanja kuliko wewe...
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji848][emoji848][emoji848][emoji87][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom