Visa vya matapeli na watoto wa mjini

Ahahah..Mkuu mm kwakwel huwa naepusha shari mapema sanaa.Huwa sipendelei mazoea kabisaa na hawa watoto.hata kwa mbaki yan siwataki.iwe kazi au kitaan nacheza nao mbal maana mwisho wa siku ndio wanaishia huku kwenye kupiga mizinga.Na mm sipendi kabisaa kuombwa hela.yan nachukia sana kuombwa hela na mabinti.so ukitaka usiliwe vyako na ww usile vya watu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]niliwahi kufanya biashara ya maiti... Nikapeleka maiti feki usiku wa manane eneo la tukio nikalipwa changu nikasepa kufika home nimelipwa pesa feki[emoji24][emoji24][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]
Kilw kisa ulichosema ukisafir watoto wa nje wanapaka dawa kwenye maziwa ila kuna mmoja ulikutana nae yakaenda fresh ulikimalizia maana nakitafuta sikion nataka kujifunza jambo ilikuweje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moyo uligoma kabisa kumpa kitu yangu
 
Hainaga formula mkuu, anaweza toa na habari ndio ikaishia hapo hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…