Me too
JF-Expert Member
- Feb 9, 2015
- 7,388
- 9,333
😂😂😂😂 nakusalimu mkuu khaaaaNingeweza nimetafuta kisiwa unawachukua mashoga na mabwana zao unawetupa huko. Waishi maisha yao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂 nakusalimu mkuu khaaaaNingeweza nimetafuta kisiwa unawachukua mashoga na mabwana zao unawetupa huko. Waishi maisha yao
Uje ili mafedhuli wote wafahamike na kuchukuliwa hatua kali za kisheria..Huko Uingereza umelipuka ugonjwa wa smallpox aina ya monkeypox.
Ugonjwa huu, madaktari wamethibitisha unawaathiri zaidi mashoga.
Sasa hivi vyombo vya habari kama kawaida yao, huko Uingereza wameanza kutupia lawama kuwa ugonjwa huu umetoka Afrika.
Kitu ambacho ni kukwepa ukweli.
Tujihadhari na tuchukue hatua serikali yetu kupitia wizara ya Afya kuliweka hili latika look out.
Outbreak in Europe and North America
The first case of monkeypox in Europe was confirmed on May 7. The infected person was an individual who returned to England from Nigeria, where monkeypox is endemic.
The disease was then confirmed in Portugal, with 14 cases, all young males. Spain has reported seven confirmed cases, while one case has since been reported in Sweden and Italy, respectively.
jcg, wd/rt (Reuters, dpa, AP)
Wazungu walivyo washenzi, ugonjwa huu sasa hivi unaenea Ulaya na Marekani, hasa kwa mashoga.Sasa kwa nini tuchukue tahadhari na ugonjwa huu unawatesa mashoga
HuyoKuna mtu natamani nimtag hapa..au basi![emoji2960]
True kutokana na jinsi ilivyoumbwa mfumo wa uke ndio unaoweza himili zile kemikali za shahawa tofauti na mfereji maana mfereji umeumbwa kutoa uchafu na sio kuingiza uchafu.Mashoga wanaathirika sana na tuvirusi tuzembetuzembe ambato tunaathi...[embu niache kuvidogosha sana mwe😂]...
Wanaathiriwa na virus kizembe Kwa sababu kinga ya mwili wao mara nyingi inashuka hadi wanaathirika na vidudu vinavyosumbuaga watoto watoto.
Kinga ya mwili inashuka kwa sababu nyinginyingi ikiwamo matumizi ya madawa ya kulevya, kuwa na wapenzi wengi na pia kutokana na shahawa kwenda maeneo yasiyotakiwa. Mfano shahawa ikipita haja kubwa kemikali zake husharabiwa kirahisi sana kwenye damu na hivyo kupunguza kinga ya mwili. Hata zikikaa tu humohumo kwenye mfumo wa utumbo na kuishusha kinga yake. Basi hupelekea kushindikana kucontrol bakteria waliomo tumboni hivyo kuzidi na kusababisha maambukizi pia katika damu 'septicemia'. Na hii imewezekana kwa sababu kinga ilishapunguzwa damuni kwa madawa na kemikali za shahawa pia.
It is still a theory mazee, maelezo hapo juu bado ni nadharia tu
@witnessj ni mwanamke bwana
Wazungu walivyo washenzi, ugonjwa huu sasa hivi unaenea Ulaya na Marekani, hasa kwa mashoga.
Hii kuwaingiza sijui waafrika ni kutaka kujikosha tu.
"Since early May 2022, many countries in Europe, as well as Australia, and the U.S. have reported an increasing number of monkeypox cases.As a viral disease native to Africa, monkeypox is usually transmitted by animal-to-human contact, producing skin lesions, fever, and body aches in people the virus infects.Some recent cases of monkeypox have involved men who have had sex with men, however, experts say the disease is not a sexually transmitted infection but can spread via direct contact during sex"
Ref mtandaoni
Huu utafiti kiboko. Shahawa zinashusha kinga ya mwili? Mashoga hawafai kwa Tabia zao chafu Ila tusilete utafiti feki. Tukemee vitendo vya ushoga kwa nguvu zote kwa kuwa ni chukizo mbele za MUNGU.Mashoga wanaathirika sana na tuvirusi tuzembetuzembe ambato tunaathi...[embu niache kuvidogosha sana mwe😂]...
Wanaathiriwa na virus kizembe Kwa sababu kinga ya mwili wao mara nyingi inashuka hadi wanaathirika na vidudu vinavyosumbuaga watoto watoto.
Kinga ya mwili inashuka kwa sababu nyinginyingi ikiwamo matumizi ya madawa ya kulevya, kuwa na wapenzi wengi na pia kutokana na shahawa kwenda maeneo yasiyotakiwa. Mfano shahawa ikipita haja kubwa kemikali zake husharabiwa kirahisi sana kwenye damu na hivyo kupunguza kinga ya mwili. Hata zikikaa tu humohumo kwenye mfumo wa utumbo na kuishusha kinga yake. Basi hupelekea kushindikana kucontrol bakteria waliomo tumboni hivyo kuzidi na kusababisha maambukizi pia katika damu 'septicemia'. Na hii imewezekana kwa sababu kinga ilishapunguzwa damuni kwa madawa na kemikali za shahawa pia.
It is still a theory mazee, maelezo hapo juu bado ni nadharia tu
Yeah labda zinashusha kinga zikiingia sehemu siko utajuaje?zile ni kwa ajili ya ya mwanamke tena ziingie ukeni binadamu waliokosa stara wamegeuza kuziweka sehemu isiyostahili.Huu utafiti kiboko. Shahawa zinashusha kinga ya mwili? Mashoga hawafai kwa Tabia zao chafu Ila tusilete utafiti feki. Tukemee vitendo vya ushoga kwa nguvu zote kwa kuwa ni chukizo mbele za MUNGU.
Haaa sisi hayo magonjwa vitu vidogo kwetu. If you deny nature, nature will deny you. Ukiishi maisha ambayo unatumia vitu treated sana, maji treated, kila eneo furmigation, basi ukiwa exposed hata kwa bacteria ambao ni wa kawaida lazima uipate pateNa hivi huku kwetu tuna nyani wengi,sijui itakuawaje?