Visa vya MonkeyPox vyaongezeka Ulaya na Marekani

Visa vya MonkeyPox vyaongezeka Ulaya na Marekani

Huko Uingereza umelipuka ugonjwa wa smallpox aina ya monkeypox.
Ugonjwa huu, madaktari wamethibitisha unawaathiri zaidi mashoga.

Sasa hivi vyombo vya habari kama kawaida yao, huko Uingereza wameanza kutupia lawama kuwa ugonjwa huu umetoka Afrika.
Kitu ambacho ni kukwepa ukweli.

Tujihadhari na tuchukue hatua serikali yetu kupitia wizara ya Afya kuliweka hili latika look out.

Outbreak in Europe and North America

The first case of monkeypox in Europe was confirmed on May 7. The infected person was an individual who returned to England from Nigeria, where monkeypox is endemic.

The disease was then confirmed in Portugal, with 14 cases, all young males. Spain has reported seven confirmed cases, while one case has since been reported in Sweden and Italy, respectively.

jcg, wd/rt (Reuters, dpa, AP)
Uje ili mafedhuli wote wafahamike na kuchukuliwa hatua kali za kisheria..
 
Sasa kwa nini tuchukue tahadhari na ugonjwa huu unawatesa mashoga
Wazungu walivyo washenzi, ugonjwa huu sasa hivi unaenea Ulaya na Marekani, hasa kwa mashoga.

Hii kuwaingiza sijui waafrika ni kutaka kujikosha tu.

"Since early May 2022, many countries in Europe, as well as Australia, and the U.S. have reported an increasing number of monkeypox cases.As a viral disease native to Africa, monkeypox is usually transmitted by animal-to-human contact, producing skin lesions, fever, and body aches in people the virus infects.Some recent cases of monkeypox have involved men who have had sex with men, however, experts say the disease is not a sexually transmitted infection but can spread via direct contact during sex"

Ref mtandaoni
 
Kuna mtu natamani nimtag hapa..au basi![emoji2960]
Huyo
Screenshot_20220514-174340.jpg
 
Hizo ndizo laana za Mwenyezi Mungu. Hata Biblia inasema hakuna shoga yaani mfiraji na mlawiti ataingia peponi. Dhambi hii ni laana itafunayo kizazi hadi kizazi, msipende kusafisha mitaro mnaleta laana ya ushoga kwenye uzao wenu. Maana ushoga ni roho na sio asilia.
Ushoga ni tabia inayoambukizwa na sio asilia. Ewe mwanamke na mwanaume usipende kufukuliwa nawe mwanaume usipende kufukua, dhambi ni tamu lakini mwisho wake ni kuileta ile laana ya ushoga kwenye uzao wako. Je utafurahi kunyooshewa kidole mwanao shoga?
 
Mashoga wanaathirika sana na tuvirusi tuzembetuzembe ambato tunaathi...[embu niache kuvidogosha sana mwe😂]...

Wanaathiriwa na virus kizembe Kwa sababu kinga ya mwili wao mara nyingi inashuka hadi wanaathirika na vidudu vinavyosumbuaga watoto watoto.

Kinga ya mwili inashuka kwa sababu nyinginyingi ikiwamo matumizi ya madawa ya kulevya, kuwa na wapenzi wengi na pia kutokana na shahawa kwenda maeneo yasiyotakiwa. Mfano shahawa ikipita haja kubwa kemikali zake husharabiwa kirahisi sana kwenye damu na hivyo kupunguza kinga ya mwili. Hata zikikaa tu humohumo kwenye mfumo wa utumbo na kuishusha kinga yake. Basi hupelekea kushindikana kucontrol bakteria waliomo tumboni hivyo kuzidi na kusababisha maambukizi pia katika damu 'septicemia'. Na hii imewezekana kwa sababu kinga ilishapunguzwa damuni kwa madawa na kemikali za shahawa pia.

It is still a theory mazee, maelezo hapo juu bado ni nadharia tu
True kutokana na jinsi ilivyoumbwa mfumo wa uke ndio unaoweza himili zile kemikali za shahawa tofauti na mfereji maana mfereji umeumbwa kutoa uchafu na sio kuingiza uchafu.
 
Wazungu walivyo washenzi, ugonjwa huu sasa hivi unaenea Ulaya na Marekani, hasa kwa mashoga.

Hii kuwaingiza sijui waafrika ni kutaka kujikosha tu.

"Since early May 2022, many countries in Europe, as well as Australia, and the U.S. have reported an increasing number of monkeypox cases.As a viral disease native to Africa, monkeypox is usually transmitted by animal-to-human contact, producing skin lesions, fever, and body aches in people the virus infects.Some recent cases of monkeypox have involved men who have had sex with men, however, experts say the disease is not a sexually transmitted infection but can spread via direct contact during sex"

Ref mtandaoni

Hivi hawa ujawajua tu ajenda zao.zote hizi ni Kazi za darksiders hapo kuna ajenda wanataka kuipenyeza duniani.Hawa jamaa ni calculated sana.Walileta corona wakapiga promo wee duniani nzima ikalert kupitia media zao za propaganda mfano BBC, CNN,hizi media zikiripot kiti media zote duniani ufuata,wametimiza malengo yao kutest mitambo ya 666 kupitia chanjo leo corona haipo wapo wanapima matokeo ya test. Mimi sichanji na sitochanja wapumbavu Sana hawa darksiders, tunaijua michezo yao ya kuichezea Dunia.
 
Haya masuala ya kuishi na wanyama wameyaanzisha wao. Mtu anaishi na tumbili ati mwanae wacha wapate magonjwa ya ajabu ajabu
 
Nimeona watoto wana hivyo vipele vipele, je nao ni mashoga?
 
Hapa Tanzania watoto umeanza kuwapata kwa wingi ukiwatoa vipele na homa za kuchemka sana haswa usiku.
 
Mashoga wanaathirika sana na tuvirusi tuzembetuzembe ambato tunaathi...[embu niache kuvidogosha sana mwe😂]...

Wanaathiriwa na virus kizembe Kwa sababu kinga ya mwili wao mara nyingi inashuka hadi wanaathirika na vidudu vinavyosumbuaga watoto watoto.

Kinga ya mwili inashuka kwa sababu nyinginyingi ikiwamo matumizi ya madawa ya kulevya, kuwa na wapenzi wengi na pia kutokana na shahawa kwenda maeneo yasiyotakiwa. Mfano shahawa ikipita haja kubwa kemikali zake husharabiwa kirahisi sana kwenye damu na hivyo kupunguza kinga ya mwili. Hata zikikaa tu humohumo kwenye mfumo wa utumbo na kuishusha kinga yake. Basi hupelekea kushindikana kucontrol bakteria waliomo tumboni hivyo kuzidi na kusababisha maambukizi pia katika damu 'septicemia'. Na hii imewezekana kwa sababu kinga ilishapunguzwa damuni kwa madawa na kemikali za shahawa pia.

It is still a theory mazee, maelezo hapo juu bado ni nadharia tu
Huu utafiti kiboko. Shahawa zinashusha kinga ya mwili? Mashoga hawafai kwa Tabia zao chafu Ila tusilete utafiti feki. Tukemee vitendo vya ushoga kwa nguvu zote kwa kuwa ni chukizo mbele za MUNGU.
 
Ahsante Mungu.

Haujafika Africa?naomba leo kesho ufike maana hawa wanaochomekana wanazidi kujidhihirisha ktk hili bara letu.
 
Huu utafiti kiboko. Shahawa zinashusha kinga ya mwili? Mashoga hawafai kwa Tabia zao chafu Ila tusilete utafiti feki. Tukemee vitendo vya ushoga kwa nguvu zote kwa kuwa ni chukizo mbele za MUNGU.
Yeah labda zinashusha kinga zikiingia sehemu siko utajuaje?zile ni kwa ajili ya ya mwanamke tena ziingie ukeni binadamu waliokosa stara wamegeuza kuziweka sehemu isiyostahili.
 
Hiyo inaitwa monkey pox, Tanzania walipeleka watu > 200 USA royal tour wakaishi huko kwa zaidi ya Wiki 2, labda waliwapelekea monkey pox!

1653130567293.png


1653130618512.jpeg
 
Na hivi huku kwetu tuna nyani wengi,sijui itakuawaje?
Haaa sisi hayo magonjwa vitu vidogo kwetu. If you deny nature, nature will deny you. Ukiishi maisha ambayo unatumia vitu treated sana, maji treated, kila eneo furmigation, basi ukiwa exposed hata kwa bacteria ambao ni wa kawaida lazima uipate pate
 
Huu ugonjwa ulipukutisha nusu ya Raia huko ulaya miaka mingi iliyopita.
 
Back
Top Bottom