Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yap atupe hoja tujuwe zaidi.Wanasema sababu ya kuathiri zaidi mashoga ni ipi?
Ukimwi ulianza hivi hivi, visingizio vingi kwamba ni kutoka Afrika.Walioleta corona sasa wanataka kuleta ugonjwa wa mashoga. Maana ndio hao hao walioleta ushoga Ili agenda zao zitimie
Ndo hukumu yao ila hayakomiHizo ndizo laana za Mwenyezi Mungu. Hata Biblia inasema hakuna shoga yaani mfiraji na mlawiti ataingia peponi. Dhambi hii ni laana itafunayo kizazi hadi kizazi, msipende kusafisha mitaro mnaleta laana ya ushoga kwenye uzao wenu. Maana ushoga ni roho na sio asilia.
Ushoga ni tabia inayoambukizwa na sio asilia. Ewe mwanamke na mwanaume usipende kufukuliwa nawe mwanaume usipende kufukua, dhambi ni tamu lakini mwisho wake ni kuileta ile laana ya ushoga kwenye uzao wako. Je utafurahi kunyooshewa kidole mwanao shoga?
Mambo mengine yanachekesha sana,
Yaani Monkey Pox ni Ugonjwa wa Mashoga!!? Lol,
UK wamepokea wagonjwa wawili ambao wameambukizwa huo Ugonjwa, wagonjwa hao walitokea Nchini Nigeria na waliporudi kwao UK ndio wakaanza kupata dalili za ugonjwa huo na Wagonjwa hao ni Waume wanaoshiriki Mapenzi ya Jinsia Moja,
Hatujui Safari yao Nchini Nigeria walienda kufanya nini hadi kukumbwa na gonjwa hilo na hatujui walikua wangapi na umesambaa kwa kiasi gani,
Aliyetoa tahadhari bado hajui ni Mashoga hao pekee ndio walikwenda Nigeria ama ni kikundi? akasisitiza kwa kusema kama wengine wakiona dalili zisizoeleweka kwenye miili yao basi waripoti haraka sana,
Kumbuka huo sio ugonjwa wa Mlipuko bali ni Wazungu waliosafiri kwenda Africa Nigeria na kubeba gonjwa hilo.
Me nahisi id yake ina anza na C inaishia na .. au basi.Kuna mtu natamani nimtag hapa..au basi![emoji2960]
Kinachoniuzi ni kuweke picha za watu weusi tu ili kuonyesha kama ugonjwa umetoka Afrika badala ya kwao, chanzo ni kujamiana na wanyama, hawa watu weupe si watu wazuri, hapa ndio nitazidi kumfagilia mwendazake,narudia tena hawa watu weupe si wazuri shauri yao wanaowashobokea.Huko Uingereza umelipuka ugonjwa wa smallpox aina ya monkeypox.
Ugonjwa huu, madaktari wamethibitisha unawaathiri zaidi mashoga.
Sasa hivi vyombo vya habari kama kawaida yao, huko Uingereza wameanza kutupia lawama kuwa ugonjwa huu umetoka Afrika.
Kitu ambacho ni kukwepa ukweli.
Tujihadhari na tuchukue hatua serikali yetu kupitia wizara ya Afya kuliweka hili latika look out.
Outbreak in Europe and North America
The first case of monkeypox in Europe was confirmed on May 7. The infected person was an individual who returned to England from Nigeria, where monkeypox is endemic.
The disease was then confirmed in Portugal, with 14 cases, all young males. Spain has reported seven confirmed cases, while one case has since been reported in Sweden and Italy, respectively.
jcg, wd/rt (Reuters, dpa, AP)
Kuna wanataka kulianzisha afrika hao hilo ni trela.Sio ajabu kesho wakaleta mpango wa kuonekana unawasaidia mashoga kumbe unapromote ushoga.Ni kama pil 2 lengo la nje kuzuia mimba la ndani kupromote ngono.Mfano condoms inapromote ngono, pasingekuwepo condoms watu wangeacha uzinzi,maana ukizini tu Ukimwi.Ukimwi ulianza hivi hivi, vidingixio vingi kwamba ninkutoka Afrika.
Huko Uingereza umelipuka ugonjwa wa smallpox aina ya monkeypox.
Ugonjwa huu, madaktari wamethibitisha unawaathiri zaidi mashoga.
Sasa hivi vyombo vya habari kama kawaida yao, huko Uingereza wameanza kutupia lawama kuwa ugonjwa huu umetoka Afrika.
Kitu ambacho ni kukwepa ukweli.
Tujihadhari na tuchukue hatua serikali yetu kupitia wizara ya Afya kuliweka hili latika look out.
Outbreak in Europe and North America
The first case of monkeypox in Europe was confirmed on May 7. The infected person was an individual who returned to England from Nigeria, where monkeypox is endemic.
The disease was then confirmed in Portugal, with 14 cases, all young males. Spain has reported seven confirmed cases, while one case has since been reported in Sweden and Italy, respectively.
jcg, wd/rt (Reuters, dpa, AP)
Nasikia nageria wanabaka hadi mbuzi ukute walimpitia nyani huko[emoji15][emoji15][emoji15]Dada zao tu wanalala na mbwa hatar sana Mungu atulinde[emoji1374]
Mbona mashoga hawajatajwa hapa? Au kuna taarifa yao pembeni?Huko Uingereza umelipuka ugonjwa wa smallpox aina ya monkeypox.
Ugonjwa huu, madaktari wamethibitisha unawaathiri zaidi mashoga.
Sasa hivi vyombo vya habari kama kawaida yao, huko Uingereza wameanza kutupia lawama kuwa ugonjwa huu umetoka Afrika.
Kitu ambacho ni kukwepa ukweli.
Tujihadhari na tuchukue hatua serikali yetu kupitia wizara ya Afya kuliweka hili latika look out.
Outbreak in Europe and North America
The first case of monkeypox in Europe was confirmed on May 7. The infected person was an individual who returned to England from Nigeria, where monkeypox is endemic.
The disease was then confirmed in Portugal, with 14 cases, all young males. Spain has reported seven confirmed cases, while one case has since been reported in Sweden and Italy, respectively.
jcg, wd/rt (Reuters, dpa, AP)
[emoji38]Sio eti mna nyani wengi, nyie ndo nyani wenyewe….. mnaitwa hivyo huko Ulaya.
Hata malaria ikimpata mzungu inammaliza mapema,wakati sisi watu weusi tunatembea na malaria 8, typhoid,ukosefu wa hela na hatufi.Huu ugonjwa ulipukutisha nusu ya Raia huko ulaya miaka mingi iliyopita.