Visa vyangu vya mapenzi: Harakati za kusaka mume

Visa vyangu vya mapenzi: Harakati za kusaka mume

FB_IMG_1719557793598.jpg
 
Umeona Kama mie,huyu anajua kuolewa ni kupewa kazi,why asijilipie nauli kwani yeye hamhitaji mwanaume ama me ndiye pekee ana shida na ke,
Pia hajiamini kuulizwa nyumba unayokaa,gari lako na bank statement hizo mambo ni kawaida kwa nje sema huku gizani unaogopa kurogwa. Anuani unapokaa ni coordinates tu mtu anakuja mpaka ndani yako
Usijishebendue na wewe. Nimesoma nje miaka 5 hamna aliewahi niuliza nimpigie picha nyumbani kwangu. Wala kuomba bank statement lol. Kwani naomba mkopo?
 
Ila me sio wa kuzaliwa jana 🤣nikuwekee visa yangu hapa yenye details zangu hapa kwenye public platform🤣🤣🤣🤣 mtego huu siiingi kamwe kama shida ni kujua ka nimefika marekani, ni waliofika tu marekani au wanaoishi wataweza kuniambia hili jiji gani na hapo ni wapi ili wakupe majibu ka nimefika marekani, hizi picha nimepiga na simu mwaka jana tuView attachment 3081182View attachment 3081183
Kufika USA sio big ishu dada hapa nazungumzia mtu mwenye exposure kubwa unayoizungumzia na vitu unavyotafuta kama haviusiani..ila endelea kutafuta huyo mume..
 
Umeona Kama mie,huyu anajua kuolewa ni kupewa kazi,why asijilipie nauli kwani yeye hamhitaji mwanaume ama me ndiye pekee ana shida na ke,
Pia hajiamini kuulizwa nyumba unayokaa,gari lako na bank statement hizo mambo ni kawaida kwa nje sema huku gizani unaogopa kurogwa. Anuani unapokaa ni coordinates tu mtu anakuja mpaka ndani yako
Mhh wewe jamaa uko vizuri kweli kichwani? Maisha yangu Sijawahi muomba mwanamke yote hayo bank statement ya bidada unapeleka wapi, aje kukwambia ana overdraft umsaidie kulipa 🤣 Dada Chenkov hapa unapotezewa muda, hao wanaume wote sio. Hawa wakaka wanaokubeza hapa achana nao, mwanaume anaekutaka atakugharamia full stop. Hao hawana pesa wanakutunishia tu. Sali piga goti Mungu atakupa wakwako na kama we mtafutaji atakupa mtaftaji kama wewe, usiombe ushauri kwa binadamu omba kwa Mungu. Me nimeoa na nakuelewa uko nje kugumu ila pambana na life lako, ukiona mchizi humuelewi usipoteze muda tupa kulee. Ni pili kwaa mandiko yako naona wewe ni mtu wa kuweka pesa mbele, acha! Unaona jinsi wanaume wanavogongana kukupiga knockout apa. ivo sasa kwenye mapenzi utafanyiwa hivo hivo . Wanaume wi wachache sana tuliona hali nzuri kimaisha ambayo mtoto wa kike mwenye mapene hatutetereshi . Asa we ukiendelea kujitunisha watakula kichwa. Be humble, pray. Mwanaume rijali hatajali pesa zako. Me mpenzi wangu alikua mwalimu leo anaendesha v8. Anaepima uwezo wako kifedha mwanzoni sio mume.
 
Kufika USA sio big ishu dada hapa nazungumzia mtu mwenye exposure kubwa unayoizungumzia na vitu unavyotafuta kama haviusiani..ila endelea kutafuta huyo mume..
Kaka mbona unabadilisha gia angani🤣🤣🤣🤣 usikimbie ebu nieleze huo mji gani. Si unasema unasema sijawahi fika na hio visa sina? Yani naomba ushauri unaanza kubisha stori ya uongo. Nikudanganye afu nipate nini? Shwain. Kama hauna mawazo ya kuniongeza basi waache wengine wanieleweshe mbona ni simpo tu, hujalazimishwa kuamini na sipewi pesa wala tuzo wewe ukiamini au usipoamini
 
Jamani eeh, dada yenu niko singo na niko kwenye haraki za kutafuta mpenzi! Ninajiweza niko sawa kifedha na la hasha navutia kwa kudra za mwenyezi Mungu ila usumbufu naouona ni bab kubwa. Ntakuwa nahadithia hapa muwe mnanipa ushauri wa kumchagua. Wanaume hawa wote ni wabongo kasoro baadhi. Mpaka natamani kuhama mkoa mwingine kutafuta mwenza wa maisha ila sasa kazi hizi jamani doh

Mwanaume wa kwanza: Agel
Agel ni mkristo mzuri tu tulisoma wote chuo huko Dom ye akapata scholarship kwenda majuu akabaki huko,Agel hajawahi hata kuniongelesha tulivokuwa chuo ila tulikutana mtandaoni siku moja akaulizia niko vipi anaona mihangaiko yangu na anapenda sana navojishughukisha ( me nauza nguo na vitu vya ndani ) basi bwana ye anaishi majuu na ana cheo kweli kweli, kupewa cheo nchi za watu sio rahisi cv imeshiba, ni executive fortune 500 company huko yeye ni mambo ya first class na kuendeshwa na dereva, ana hadi chef wa kumpikia .

Katika majadiliano siku moja akaniambia me Chenko nakuelewa mwenzako. Nikashangaaa nikamuliza why? Akasema wewe mpambanaji nimekupenda sana na nimekuwa nakupenda toka chuo basi tu ulikua mkimya mnoo… basi mtoto nikaona yes nimepata fortune 500 husband.

Ila katika maongezi jamaa nikawa simuelew elewi, kwanza ni mkali mlalamisha usipopokea simu anaandika message ndefu barua, tuko masaa 10 nyuma sasa ni ngumu kweli mawasiliano me nimelala yeye ndo anaenda kazini, pili kila saa ananisifia uko vizuri sana kifedha nakuadmire sijawahi pata mwanamke alie kama mimi, kidogo sikupenda hii statement… halafu kila saa anataka nimwoneshe napokaaa nyumba nimpe tour eh jamani, (hata ye alitaka kunipa tour nyumba ake nkasema ya nini jamani siku ukiniliaka si ntapaona?), gari naloendesha anataka address ya nyumbani kwangu kabisa , halafu maongezi yake mhhh mara ananimiss anataka kuhug sijui hajaona mwanamke miezi 6 toka kaachwa dah hasa nikawa nakuwa uncomfortable.. (hatujaonana miaka 12) huko nikawa nakausha basi akanialika niende majuu tupate our first date angalau, mhh nikasita kidogo sababu sijawahi fika marekani na anaishi new york kabisa ila nikapiga moyo konde sababu ni mualiko wacha tuone , nikatafuta visa nikapata.. khaaa kaka si ananiambia nijilipie ticket? Ye atagharamia kila kitu cha malazi nikifika.

Huyu Agel sijamuelewa yani unanifuata wewe una hamu kuniona wewe unanitongoza wewe unanisumbua nije tuwe na first date wewe afu nijilipie ticket? Akaniambia im sure unaweza kulipia haina shida kwako, doh statement imenikata mbaya…Hela ninayo ila sina shida ya kwenda marekani saa hiii, ndo kwanza nina safari ya china mwezi ujao kuchukua mzigo. Kanidissapoint, nimwache au nimwambie tukutane dubai afu nimsikilizie?
Akili ni kipimo cha maisha
 
Mhh wewe jamaa uko vizuri kweli kichwani? Maisha yangu Sijawahi muomba mwanamke yote hayo bank statement ya bidada unapeleka wapi, aje kukwambia ana overdraft umsaidie kulipa 🤣 Dada Chenkov hapa unapotezewa muda, hao wanaume wote sio. Hawa wakaka wanaokubeza hapa achana nao, mwanaume anaekutaka atakugharamia full stop. Hao hawana pesa wanakutunishia tu. Sali piga goti Mungu atakupa wakwako na kama we mtafutaji atakupa mtaftaji kama wewe, usiombe ushauri kwa binadamu omba kwa Mungu. Me nimeoa na nakuelewa uko nje kugumu ila pambana na life lako, ukiona mchizi humuelewi usipoteze muda tupa kulee. Ni pili kwaa mandiko yako naona wewe ni mtu wa kuweka pesa mbele, acha! Unaona jinsi wanaume wanavogongana kukupiga knockout apa. ivo sasa kwenye mapenzi utafanyiwa hivo hivo . Wanaume wi wachache sana tuliona hali nzuri kimaisha ambayo mtoto wa kike mwenye mapene hatutetereshi . Asa we ukiendelea kujitunisha watakula kichwa. Be humble, pray. Mwanaume rijali hatajali pesa zako. Me mpenzi wangu alikua mwalimu leo anaendesha v8. Anaepima uwezo wako kifedha mwanzoni sio mume.
Asante kwa ushauri! Nitafuata, nimesoma ushari wako wote. Nimekuelewa
 
Mfano kuna bi mdada mkoa x mara aje na HELCOPTER na wazungu wanashukia uwanjani mara nini yani anapesa huwez kumuona humu kwa kina sugu
 
Kaka mbona unabadilisha gia angani🤣🤣🤣🤣 usikimbie ebu nieleze huo mji gani. Si unasema unasema sijawahi fika na hio visa sina? Yani naomba ushauri unaanza kubisha stori ya uongo. Nikudanganye afu nipate nini? Shwain. Kama hauna mawazo ya kuniongeza basi waache wengine wanieleweshe mbona ni simpo tu, hujalazimishwa kuamini na sipewi pesa wala tuzo wewe ukiamini au usipoamini
Dada narudi tena mimi sio wa kusema tubishane picha za USA hayo wafanye watoto wangu na wenzao yaani nianze kumeza majiji ya USA ambayo unakaa mwezi tu ili kuja kusimulia Tanzania ushamba huo mimi sina bhana..mimi nimeanza safari 1998 na huu ni 2024 bado nasafiri..
 
Jamani eeh, dada yenu niko singo na niko kwenye haraki za kutafuta mpenzi! Ninajiweza niko sawa kifedha na la hasha navutia kwa kudra za mwenyezi Mungu ila usumbufu naouona ni bab kubwa. Ntakuwa nahadithia hapa muwe mnanipa ushauri wa kumchagua. Wanaume hawa wote ni wabongo kasoro baadhi. Mpaka natamani kuhama mkoa mwingine kutafuta mwenza wa maisha ila sasa kazi hizi jamani doh

Mwanaume wa kwanza: Agel
Agel ni mkristo mzuri tu tulisoma wote chuo huko Dom ye akapata scholarship kwenda majuu akabaki huko,Agel hajawahi hata kuniongelesha tulivokuwa chuo ila tulikutana mtandaoni siku moja akaulizia niko vipi anaona mihangaiko yangu na anapenda sana navojishughukisha ( me nauza nguo na vitu vya ndani ) basi bwana ye anaishi majuu na ana cheo kweli kweli, kupewa cheo nchi za watu sio rahisi cv imeshiba, ni executive fortune 500 company huko yeye ni mambo ya first class na kuendeshwa na dereva, ana hadi chef wa kumpikia .

Katika majadiliano siku moja akaniambia me Chenko nakuelewa mwenzako. Nikashangaaa nikamuliza why? Akasema wewe mpambanaji nimekupenda sana na nimekuwa nakupenda toka chuo basi tu ulikua mkimya mnoo… basi mtoto nikaona yes nimepata fortune 500 husband.

Ila katika maongezi jamaa nikawa simuelew elewi, kwanza ni mkali mlalamisha usipopokea simu anaandika message ndefu barua, tuko masaa 10 nyuma sasa ni ngumu kweli mawasiliano me nimelala yeye ndo anaenda kazini, pili kila saa ananisifia uko vizuri sana kifedha nakuadmire sijawahi pata mwanamke alie kama mimi, kidogo sikupenda hii statement… halafu kila saa anataka nimwoneshe napokaaa nyumba nimpe tour eh jamani, (hata ye alitaka kunipa tour nyumba ake nkasema ya nini jamani siku ukiniliaka si ntapaona?), gari naloendesha anataka address ya nyumbani kwangu kabisa , halafu maongezi yake mhhh mara ananimiss anataka kuhug sijui hajaona mwanamke miezi 6 toka kaachwa dah hasa nikawa nakuwa uncomfortable.. (hatujaonana miaka 12) huko nikawa nakausha basi akanialika niende majuu tupate our first date angalau, mhh nikasita kidogo sababu sijawahi fika marekani na anaishi new york kabisa ila nikapiga moyo konde sababu ni mualiko wacha tuone , nikatafuta visa nikapata.. khaaa kaka si ananiambia nijilipie ticket? Ye atagharamia kila kitu cha malazi nikifika.

Huyu Agel sijamuelewa yani unanifuata wewe una hamu kuniona wewe unanitongoza wewe unanisumbua nije tuwe na first date wewe afu nijilipie ticket? Akaniambia im sure unaweza kulipia haina shida kwako, doh statement imenikata mbaya…Hela ninayo ila sina shida ya kwenda marekani saa hiii, ndo kwanza nina safari ya china mwezi ujao kuchukua mzigo. Kanidissapoint, nimwache au nimwambie tukutane dubai afu nimsikilizie?
Hebu wrka picha yako kwanza kabla hatujaanza kukupa ushauri
 
Jamani eeh, dada yenu niko singo na niko kwenye haraki za kutafuta mpenzi! Ninajiweza niko sawa kifedha na la hasha navutia kwa kudra za mwenyezi Mungu ila usumbufu naouona ni bab kubwa. Ntakuwa nahadithia hapa muwe mnanipa ushauri wa kumchagua. Wanaume hawa wote ni wabongo kasoro baadhi. Mpaka natamani kuhama mkoa mwingine kutafuta mwenza wa maisha ila sasa kazi hizi jamani doh

Mwanaume wa kwanza: Agel
Agel ni mkristo mzuri tu tulisoma wote chuo huko Dom ye akapata scholarship kwenda majuu akabaki huko,Agel hajawahi hata kuniongelesha tulivokuwa chuo ila tulikutana mtandaoni siku moja akaulizia niko vipi anaona mihangaiko yangu na anapenda sana navojishughukisha ( me nauza nguo na vitu vya ndani ) basi bwana ye anaishi majuu na ana cheo kweli kweli, kupewa cheo nchi za watu sio rahisi cv imeshiba, ni executive fortune 500 company huko yeye ni mambo ya first class na kuendeshwa na dereva, ana hadi chef wa kumpikia .

Katika majadiliano siku moja akaniambia me Chenko nakuelewa mwenzako. Nikashangaaa nikamuliza why? Akasema wewe mpambanaji nimekupenda sana na nimekuwa nakupenda toka chuo basi tu ulikua mkimya mnoo… basi mtoto nikaona yes nimepata fortune 500 husband.

Ila katika maongezi jamaa nikawa simuelew elewi, kwanza ni mkali mlalamisha usipopokea simu anaandika message ndefu barua, tuko masaa 10 nyuma sasa ni ngumu kweli mawasiliano me nimelala yeye ndo anaenda kazini, pili kila saa ananisifia uko vizuri sana kifedha nakuadmire sijawahi pata mwanamke alie kama mimi, kidogo sikupenda hii statement… halafu kila saa anataka nimwoneshe napokaaa nyumba nimpe tour eh jamani, (hata ye alitaka kunipa tour nyumba ake nkasema ya nini jamani siku ukiniliaka si ntapaona?), gari naloendesha anataka address ya nyumbani kwangu kabisa , halafu maongezi yake mhhh mara ananimiss anataka kuhug sijui hajaona mwanamke miezi 6 toka kaachwa dah hasa nikawa nakuwa uncomfortable.. (hatujaonana miaka 12) huko nikawa nakausha basi akanialika niende majuu tupate our first date angalau, mhh nikasita kidogo sababu sijawahi fika marekani na anaishi new york kabisa ila nikapiga moyo konde sababu ni mualiko wacha tuone , nikatafuta visa nikapata.. khaaa kaka si ananiambia nijilipie ticket? Ye atagharamia kila kitu cha malazi nikifika.

Huyu Agel sijamuelewa yani unanifuata wewe una hamu kuniona wewe unanitongoza wewe unanisumbua nije tuwe na first date wewe afu nijilipie ticket? Akaniambia im sure unaweza kulipia haina shida kwako, doh statement imenikata mbaya…Hela ninayo ila sina shida ya kwenda marekani saa hiii, ndo kwanza nina safari ya china mwezi ujao kuchukua mzigo. Kanidissapoint, nimwache au nimwambie tukutane dubai afu nimsikilizie?
Mwambieni atume kwanza nayakutolea
 
Dada narudi tena mimi sio wa kusema tubishane picha za USA hayo wafanye watoto wangu na wenzao yaani nianze kumeza majiji ya USA ambayo unakaa mwezi tu ili kuja kusimulia Tanzania ushamba huo mimi sina bhana..mimi nimeanza safari 1998 na huu ni 2024 bado nasafiri..
Msafiri tusiende mbali maana hii ligi umeianza wewe, imalize. Hapo wapi?
 
Mfano kuna bi mdada mkoa x mara aje na HELCOPTER na wazungu wanashukia uwanjani mara nini yani anapesa huwez kumuona humu kwa kina sugu
Nikupe username ya gsm uone utopolo anaoandikaga. Ebu tulia kalale kama hauna mchango wa ushauri
 
Usijishebendue na wewe. Nimesoma nje miaka 5 hamna aliewahi niuliza nimpigie picha nyumbani kwangu. Wala kuomba bank statement lol. Kwani naomba mkopo?
Kuzaliwa ama kuishi karibu na mahakama sio ticket ya kuijua Sheria.
Inabidi na wewe aone utachangia nini kwenye family yenu na sio kuleta mwili tu.
Unamuona Beyonce and Jay- Z. Hii dunia ni ya 50/50 hata Kenya ndoa ikivunjika unachukua ulichovuna kwenye ndoa.
Yaani wewe unao mwili uliozaliwa nao Halafu uolewe na mwanaume akahaso anamiliki billions/millions of dollars wewe ukale,kulala,kuishi kwenye kivuli tu na kesho mkiachana unasema kuwa mlichuma wote.
Wenzako wako nje milongo iyo miaka kwanza ulikuwa shuleni and you experienced nothing about Western life
 
Kuzaliwa ama kuishi karibu na mahakama sio ticket ya kuijua Sheria.
Inabidi na wewe aone utachangia nini kwenye family yenu na sio kuleta mwili tu.
Unamuona Beyonce and Jay- Z. Hii dunia ni ya 50/50 hata Kenya ndoa ikivunjika unachukua ulichovuna kwenye ndoa.
Yaani wewe unao mwili uliozaliwa nao Halafu uolewe na mwanaume akahaso anamiliki billions/millions of dollars wewe ukale,kulala,kuishi kwenye kivuli tu na kesho mkiachana unasema kuwa mlichuma wote.
Wenzako wako nje milongo iyo miaka kwanza ulikuwa shuleni and you experienced nothing about Western lif

Hio speech kawape watoto wa chuo. Sie tulio na nyumba gari na biashara hatuulizwi tunaleta nini mezani 🤣🤣🤣 sie ndio meza .unadhani nina wenge na billions za mtu🤣🤣🤣 babu nina zangu 🙈
 
Back
Top Bottom