Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Ohh sorry 😢Huyo huwezi maana alishatangulia mbele ya haki miaka 24 iliyopita.
Naheshimu marehemu, basi sawa mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ohh sorry 😢Huyo huwezi maana alishatangulia mbele ya haki miaka 24 iliyopita.
Why are u so angry that a woman is doing good? U have to call her liar? Is it so peculiar? Mara sijafika huko marekani nakuonesha picha ooh marekani kitu kidogo… shida yako nini? Get well and heal! I did genuinly need advice in those 3 men and im glad to know what i was feeling was right! I chose a public platforms and remained anonymous to see real feedback! U will probably never know me or see me but stop arguing with women online u dont know because of ur own insecurities! HEAL! Mimi niko vizuri tu nimeishi nje nimesoma nje sina wenge na mtu yeyote. Wapo wanawake wapambanaji wana maisha yao na wako vizuri na hawana shida na mtu! Tupo ila marafiki na wanaume wanatutumia kama stepping stone, inauma sana hence sometimes nahitaji honest persoective ya watu. Na nashkutu nimepata. ila nyie ambao mpo hapa kutuambia sijui hichi sijui kile ebo tupishe. Kama hauna ushauri acha na kugombana na watu ambao huwajui!Ligi na wewe wa juzi sina bhana nimeangalia picha za hapo sina..
Kwamba ukiwa una hela huhitaji mawazo ya watu ni ujinga! Thread ziko kibao za watu wakiomba ushauri, wakwangu una tofauti gani? Kwamba sio kweli nina pesa ni sawa, haina shida. Kwanza haina umuhimu ni kweli sina. Sema lingineMfano kuna bi mdada mkoa x mara aje na HELCOPTER na wazungu wanashukia uwanjani mara nini yani anapesa huwez kumuona humu kwa kina sugu
Lingine nakupendaKwamba ukiwa una hela huhitaji mawazo ya watu ni ujinga! Thread ziko kibao za watu wakiomba ushauri, wakwangu una tofauti gani? Kwamba sio kweli nina pesa ni sawa, haina shida. Kwanza haina umuhimu ni kweli sina. Sema lingine
Nimekulewa sana 🙏🏽🙏🏽 asante sanaWanaume wa jf hawapatani na wadada wanaojiweza kimaisha, kwa vile wao wamefeli huko waliko wanajikongoja wanaona hakuna anaestahili kupata maisha mazuri hasa akiwa mwanamke, hapo watakuponda wakuvurugie mood yako na hiyo heading imekaa km unatafuta mume lakini kwa kusoma visa vyako sijaona km una haraka hiiiyo, basi wao wanaona raha kweli vile hujapata mtu wa kukusitiri, humu kumejaa wachawi acha kuwajibu wala kujaribu kuwahakikishia kuwa unaishi maisha gani,
Kwenye kukushauri jaribu kupunguza kuonekana uko stable financially wanaume wetu bado wanaogopa wanawake aina yako, kuwa submissive usijipandishe sana mabega mbona waume wapo tu kingine mwanaume wa peke yako km roho hayupo we hata akiwa na girlfriend hawaeleweki hawa, ukimuelewa vamia kambi kalia kiti kuwa mwenyekiti
Dada mbona unahangaika na mimi sina stress yeyote na kitu chochote fanya life yako bhana toka juzi upo na meseji za kitoto toto..Why are u so angry that a woman is doing good? U have to call her liar? Is it so peculiar? Mara sijafika huko marekani nakuonesha picha ooh marekani kitu kidogo… shida yako nini? Get well and heal! I did genuinly need advice in those 3 men and im glad to know what i was feeling was right! I chose a public platforms and remained anonymous to see real feedback! U will probably never know me or see me but stop arguing with women online u dont know because of ur own insecurities! HEAL! Mimi niko vizuri tu nimeishi nje nimesoma nje sina wenge na mtu yeyote. Wapo wanawake wapambanaji wana maisha yao na wako vizuri na hawana shida na mtu! Tupo ila marafiki na wanaume wanatutumia kama stepping stone, inauma sana hence sometimes nahitaji honest persoective ya watu. Na nashkutu nimepata. ila nyie ambao mpo hapa kutuambia sijui hichi sijui kile ebo tupishe. Kama hauna ushauri acha na kugombana na watu ambao huwajui!
Mwanaume akishakusifia ulivyo mpambanaji ujue kaona kitonga hata kama ana hela vipi.Jamani eeh, dada yenu niko singo na niko kwenye haraki za kutafuta mpenzi! Ninajiweza niko sawa kifedha na la hasha navutia kwa kudra za mwenyezi Mungu ila usumbufu naouona ni bab kubwa. Ntakuwa nahadithia hapa muwe mnanipa ushauri wa kumchagua. Wanaume hawa wote ni wabongo kasoro baadhi. Mpaka natamani kuhama mkoa mwingine kutafuta mwenza wa maisha ila sasa kazi hizi jamani doh
Mwanaume wa kwanza: Agel
Agel ni mkristo mzuri tu tulisoma wote chuo huko Dom ye akapata scholarship kwenda majuu akabaki huko,Agel hajawahi hata kuniongelesha tulivokuwa chuo ila tulikutana mtandaoni siku moja akaulizia niko vipi anaona mihangaiko yangu na anapenda sana navojishughukisha ( me nauza nguo na vitu vya ndani ) basi bwana ye anaishi majuu na ana cheo kweli kweli, kupewa cheo nchi za watu sio rahisi cv imeshiba, ni executive fortune 500 company huko yeye ni mambo ya first class na kuendeshwa na dereva, ana hadi chef wa kumpikia .
Katika majadiliano siku moja akaniambia me Chenko nakuelewa mwenzako. Nikashangaaa nikamuliza why? Akasema wewe mpambanaji nimekupenda sana na nimekuwa nakupenda toka chuo basi tu ulikua mkimya mnoo… basi mtoto nikaona yes nimepata fortune 500 husband.
Ila katika maongezi jamaa nikawa simuelew elewi, kwanza ni mkali mlalamisha usipopokea simu anaandika message ndefu barua, tuko masaa 10 nyuma sasa ni ngumu kweli mawasiliano me nimelala yeye ndo anaenda kazini, pili kila saa ananisifia uko vizuri sana kifedha nakuadmire sijawahi pata mwanamke alie kama mimi, kidogo sikupenda hii statement… halafu kila saa anataka nimwoneshe napokaaa nyumba nimpe tour eh jamani, (hata ye alitaka kunipa tour nyumba ake nkasema ya nini jamani siku ukiniliaka si ntapaona?), gari naloendesha anataka address ya nyumbani kwangu kabisa , halafu maongezi yake mhhh mara ananimiss anataka kuhug sijui hajaona mwanamke miezi 6 toka kaachwa dah hasa nikawa nakuwa uncomfortable.. (hatujaonana miaka 12) huko nikawa nakausha basi akanialika niende majuu tupate our first date angalau, mhh nikasita kidogo sababu sijawahi fika marekani na anaishi new york kabisa ila nikapiga moyo konde sababu ni mualiko wacha tuone , nikatafuta visa nikapata.. khaaa kaka si ananiambia nijilipie ticket? Ye atagharamia kila kitu cha malazi nikifika.
Huyu Agel sijamuelewa yani unanifuata wewe una hamu kuniona wewe unanitongoza wewe unanisumbua nije tuwe na first date wewe afu nijilipie ticket? Akaniambia im sure unaweza kulipia haina shida kwako, doh statement imenikata mbaya…Hela ninayo ila sina shida ya kwenda marekani saa hiii, ndo kwanza nina safari ya china mwezi ujao kuchukua mzigo. Kanidissapoint, nimwache au nimwambie tukutane dubai afu nimsikilizie?