Visa vyangu vya mapenzi: Harakati za kusaka mume

Huyo huwezi maana alishatangulia mbele ya haki miaka 24 iliyopita.
 
Wanaume tfuteni pesa acheni kupenda mseleleko

Juzi kuna binti kanisimulia kisa kimoja na mchepuko wake anasema kila wakikutana kwanza wanafanya mapenzi kwenye gari halafu wakimaliza kijana analialia apewe hela ya mafuta ya gari muda wote huyo kaka kigari chake premio hakina mafuta eti sasa huko si kujidhalilisha kweli

Huyo kaka hajawahi kumtoa date yoyote huyo dada wala kumpa chochote ila yeye kutwa kuomba atolewe dinnner na awekewe mafuta kwenye premio yake hivi kuna mapenzi kweli hapo mwanaume gani unakuwa omba omba
 
Kama ata umewahi enda sauzi apo niite UMBWA, kwa wenge lako na watu wanavokushushua ungekua ushatupia picha ata inaonesha chakula ata room uliyofikia mana uko eager to prove. Hakuna slay queen kahaba akodishe ata lodge ya elf 35 asiji snap chooni kwenye kioo

Uongo wa pili ni kutumia picha za mdada wa watu kumletea mikosi tu na mastory ya kusadikika kifuniko aka kizibo wee
 

picha tu? La hasha haya hizi hapa. Asa niambie kama hizi sehemu zote unazitambua ili tujue nani muongo. Sio kila mtu ana dhiki ndugu yangu! Dhiki yako muombe Allah akufanyie wepesi, haya sema ingine
 
It's okay to be dumb and beautiful. Not dumb and ugly.
 
Kwa kisa cha pili bora yule wa marekani, huyu wa pili hana interest na wewe anaweza kuwa hit and run.
Ingawa mtiririko wa visa kuna namna maelezo yanapandana ndio maana wengi tuna sema ni visa vya kutunga.
Ni sawa tu usipoamini nachohitaji ni ushauri na ushauri nimepokea 👏
 
chai mbona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…