Visent Kigosi (Ray) Nyota yake ilikuwa inazunguka kwa Mgongo wa Kanumba. Kifo cha Kanumba kimeleta shida sana kwake

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nakubaliana na wewe mfano mzuri wa Turkey kama Ertugrul unaweza kulia mbele ya watoto na wakati mwingine wanakufanya unasahau kuwa hii ni tamthilia tu na unakuwa mkali na kupanic sasa hawa ndio waigizaji. Mimi siangalii bongo movie ila nimeshawahi kutizama miaka ya nyuma sababu ilikuwa ni kitu kigeni nchini unatamani kuona tukoje lakini experiance yangu haikuwa nzuri sababu kila picha ikiendelea naanza kucheka kwa kuona hakuna uhalisia katika mambo mengi sehemu ya huzuni badala ya kulia unacheka jinsi wanavyoigiza. Kuna picha nimeona jamaa ka act mlinzi lakini unaona kabisa huyu mtu kapitia saloon apendeze kwanza nywele zinawaka na heleni kavaa, jambazi lazima avae koti kubwa na miwani yaani picha yetu wote wamepita saloon na kunyoa fresh ili aonekani mzuri wakato role yake ni kucheza mlinzi au mtu maskini ana shida kibao. Hakuna uhalisia watu wanataka kuuza sura
 
Hapo ndipo wanapofail wabongo kwani baadhi yao hawana uhalisia kabisa kwenye kuigiza, hicho ndicho kilichoififiisha industry ila pongezi ziende kwa Azam tv kwani kimtindo wanajaribu kuiweka sawa industry ila wasanii wenyewe hawapo teyali
 
Ukiwa muangalia sinema mzuri, Nollywood wanasoma sana novels za Kizungu na kunvert scene nyingine katika mazingira ya Kiafrika. Kwakweli hata kama wana copy lakini wanaongeza manjonjo na Kiingereza chao hata Wazungu wanakielewa.
ku copy hakujawahi kuwa tatizo kwenye sanaa, hata wao Hollywood, Bollywood na hata European CInema wana copy kazi za wengine kuanzia story mpaka screenplay. Tatizo linakuja kutengeneza kazi mbovu.
 
Nimemsoma huyo shabiki w kiba enzi hizo anaimba na rkelly,umemsagia kunguni
 
ku copy hakujawahi kuwa tatizo kwenye sanaa, hata wao Hollywood, Bollywood na hata European CInema wana copy kazi za wengine kuanzia story mpaka screenplay. Tatizo linakuja kutengeneza kazi mbovu.
Huwa nikiangalia Wild Flower na mambo yao ya ugaidi, wizi, huwa nashindwa kuamini kuwa sikweli cinema wanavyoitendea haki, na waigiza sauti wa kibongo akina nyama yao wameipatia kweli. Napenda yule mzee mtaka madaraka alivyokatili hata kwa wanae
.
 
Cha ajabu kanumba na Ray walikuwa marafiki hadi nje ya tasnia ya filamu.
Pia walitoa movie pamoja zaidi ya mara 10.
Pia kaole walikuwa pamoja sana.

Bongo movie ilikufa kwa sababu ya elimu ndogo ya waigizaji...
Unauzaje hakimiliki zote kwa kampuni ya usambazaji?
 
Mkojani na vituko vyake kawafunika. Siku hizi hata Johari anaomba kumpata mme yeyote mwenye akili timamu tu amuoe ili amsitiri kachoka kudanga
Johari alikua anatoka na Ray ,wakamdhulumugu baba mmoja km 30m hivi!maana huyo baba aliingia kingi kwa johar akawa anatoka nae ,hvyo wakawa wanamzunguka mbaba alipagawa alilia km mtoto vile anaitwa MacDonald nafkiri ni mnyaki...zile pesa Johar alidanganya anaenda kuzalisha movie watagawana faida,mbaba wakampiga hawakumpa ht 100 yeye na Ray..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale waigizaji wa Nollywood wengi wana shahada na uigizaji kwao ni vipaji. Hapa kwetu Bongo Movie ni mlango wa kutokea huna cheti chochote.
Sure wengine waliingia bongo muvi kutokea somewhere leo ni mamantilie
 
Siku mtandale akiyeyuka toka uso wa dunia there will no kibakuli no njomba nchumali
 
Tive ake mdananda pimp wa mademu wakali miini
 

Kwani Q Chilla nayeye si alianza kabla ya Mondi?mbona yeye kapotea?hatuongelei nani kwanza game tunaongelea ku maintain ile status yako,KIUKWELI KIBA bila Mondi angeendelea kuwa MwanaBongo flavor lakini asingekuwa hapo alipo sasa
 
Waliotaka kufungwa Ray na jihadi sijui kesi ilizimwa bipi. Utapeli wao Mungu kawanyoosha
 
Hv Dotnata yupo wapi?
 
[emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…